Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ngao tumechukua wakiwa full fit ama?
 
Ndo maana nikasema we have a chance....sijasema tutashinda....fully fit squad against them then unaweza ukapata kitu....ila tukianza na hiki kikosi kilichomaliza leo...aisee Saliba na Malgalhaes watakuwa na siku ndefu sana siku hyo

Nyie wapumbavu hamuwezi mshinda Spurs.
Bingwa ni Liverpool
 
Sasa unashindwa kumfunga Spurs halafu uutake ubingwa.

Game week 6 droo 2 bado hujacheza na City, Liverpool, Newcastle, Brighton. Amkeni nyie mwaka huu hamna ubavu wa kugombania ubingwa.
Timu yako ishacheza na Spurs?
 
Jesus yeye na kipa kapaisha

Nketiah yeye na kipa kamlenga kipa
Pale wa kuondoka ni Nketiah...hata akiwa na mpira unajua uhakika wa kufanya jambo sahihi ni mdogo sana....ESR akipata dakika za kutosha we have a baller in him....anaficha mpira....anapiga pasi sahihi na akiwa karibu na lile goli unajua linaweza kutokea lolote....ila braza Nketiah Sasa....yy anajua kutoka nduki tu ndo silaha yake
 
Ndo maana nikasema we have a chance....sijasema tutashinda....fully fit squad against them then unaweza ukapata kitu....ila tukianza na hiki kikosi kilichomaliza leo...aisee Saliba na Malgalhaes watakuwa na siku ndefu sana siku hyo
Still hio mechi naiona ni draw au city atashinda kwa low margin 1-0 au 2-1

Mostly pep atakuja kubeba draw ila kwa kasi anayokuja nayo Liverpool ahaha hapa ndo napo pata mashaka aisee kama pep atakubali ku drop point kizembe anamjua liver vizur akishikilia bomba hapo juu kutoka mpaka wakutane wenyewe kwa wenyewe
 
Sasa Emile namba yake si ndiyo anakaa Kai fundi
 
Kwamba spurs walikuja wakiwa na uhakika wa kushinda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mnadroo ndio mnajifanya ma underdog 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…