Wote tunacheza mpira pale mido, hii ndio tatizo
It's okey, Basi nafasi tuzitumie vizuri
Jesus, saka na Nketiah still wapo low sana
Mfumo wa Spurs leakage ipo upande wa saka, Kule ndio inabidi kuwa na supply kubwa ya mipira
Spurs kutotaka kucheza counter hii ndio inabidi iwe advantage yetu