Nina ID moja ,mm Ni kampuniID yako ya Aaron ndiyo imekaa kiuchambuzi nguli hii ya MC hamis imejaa mipasho
Mara ya mwisho alidai kaibiwa sim, ndio akapotea mazima.Hivi aaron arsenal aliendaga wapi
Ukweli Ni hivoIla Masingeli kukosena kwa Masebene pale unyumbuni timu imeyumba sana, yule jamaa pamoja na mapungufu yake ila uwepo wake uwanjani hua unasaidia sana, hata nyinyi mlipata jeuri ya kutufunga baada ya masebene kutolewa na hii inajirudia hata msimu ulioisha mambo yalikua hivihivi ni vile Mayai7 tu anapenda kukaza fuvu, Ila Masebe kwenye timu yetu ni kama centre bolt akikosekana lazima gari ilale upande mmoja.
Upuuzi mtupu. Timu inaweza kwenda mbele lakini inafanya ujinga wa ku recycle mpira kwenye half yao..Burnley imekosa watu ila inacheza vizuri
Kuna tetes Kuna injury,yule alivujisha injury ya Partey kabla ya mech na man u alishambuliwa Sana siku ile Maana Arsenal walificha waje waseme baada ya mechi ,akavujisha siku moja kabla na kwenye picha za mazoezi alionekanaMbona Trossard nimemuona mazoezini
Nelson namkubali kwa sub aisee, asubiri jumatano CARABAO Cup,Kama kaumia basi mchezaji wa kucheza eneo la pembeni ya uwanja tena akatoa impact kubwa ni Nelson hao wengine Arteta asilazimishe lazimishe tu
Huyu mwandishi wa habari za academy ya Arsenal,anasema amemuona Jana kwenye mazoeziMbona Trossard nimemuona mazoezini
Hamtaki kukubali ukweliID yako ya Aaron ndiyo imekaa kiuchambuzi nguli hii ya MC hamis imejaa mipasho
Haiwezekani kila siku nasema nketiah na jesus ni daraja tofauti kabisa, nketiah afikie huko ajitoe na ajitume kimazoezi na kujifunza kwa kiwango alichofanya cr7 kuusaka ubora wake.USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
kwa mujibu Mchezaji wa Zamani wa Arsenal na Balozi wa Arsenal kwa sasa pia mchezaji anayeshika nafasi pili kufunga magoal mengi akiwa Arsenal nyuma Henry huyu ni Ian Wright
Anasema " When Gabriel Jesus is full fit is undroppable" hii statement ina uzito fulani ukizingatia aliyeongea hivi ni nani
Yote hii inakuja kwa performance ya Jesus juzi UCL ni Mchezaji ambae ni Mnyumbulifu ambae anaweza kuwafanya wanao mzunguka kuwa bora hapa ndipo kuna utofauti wake na Nketiah
Ball Control Jesus ni kiwango kikubwa mno Ni mchezaji ambae anaweza kujitengenezea nafasi kufunga yeye mwenyewe ategemei tap ins tu
Ndio maana Wright anasema jamaa akiwa full Fit ni hatari wengine kufikia hatua kufananisha aina uchezaji wake na Delima Nazario
Lakini pia ukitaja wachezaji ambao wamesaidia kiasi kikubwa kuleta improvement kikosi msimu jana na huu basi Zin pamoja Jesus hawawezi kukosa
Kilichopo Nketiah kwa vile ni crinical basi akipata nafasi ahakikishe anaitumia one mistake uyu Jesus akirudi uwanjani anachukua nafasi kiulaini sababu ni flexible sio limited
Amigos
Bora aanze smith rowe kwa kweliNasikia Trossard kaumia
Predicted lineup for tomorrow:
Raya
White
Saliba
Gabriel
Zinchenko
Rice
Vieira
Ødegaard
Saka
Havertz
Jesus
Kama dirisha la January watampata Toney na winger kama Mbuemo hawashuki.Upuuzi mtupu. Timu inaweza kwenda mbele lakini inafanya ujinga wa ku recycle mpira kwenye half yao..
Tatizo lake Kompany anataka acheze mpira wa City, ndo inapokuja shida.
Nilizungumza muda mrefu tu, mpaka sasa timu zilizopanda ndio hizo hizo zitakazoshuka. Sio Luton, Sheffield wala hawa Burnley.. Labda waamue kubadilika.
Iko wazi.sawa tutorial wake Ambangile.
Ila binafsi kwenye tetesi za usajili ndio niliunganisha dot kua Masingeli ni new version ya Aaron Arsenal.
Kai mechi ya mwisho kacheza vzrBora aanze smith rowe kwa kweli