Good game kwa Kai leo.
Ila acha niungane na akina Hamisi (masingeli by flano), kuhusu kumpa muda Kai na kuzidi kumpa sapoti.
Some of Arsenal fans ni kama tunataka afeli jamaa. Huku banda umiza, Kai akiwa na mpira tuu, basi mashabiki zaidi ya 10 unawasikia wakisema "anapoteza sasa hivi".Mara amefanya hivi, angefanya vile.
Nadhani tunachokitaka fans kutoka kwa Kai, na anachokitaka Arteta ni tofauti kabisa kama alivyowahi kugususia mkorea (chawa wa masingeli by flano) Its better tukaendelea kumuamini Arteta.