Arsenal (The Gunners) | Special Thread

naona kama raya anacheza pembeni sana na goli wakati wa build-up yaani analiacha wazi sana. tukipressiwa au tukipoteza mpira katika hii phase, kufungwa ni rahisi sana
 
Good game kwa Kai leo.

Ila acha niungane na akina Hamisi (masingeli by flano), kuhusu kumpa muda Kai na kuzidi kumpa sapoti.

Some of Arsenal fans ni kama tunataka afeli jamaa. Huku banda umiza, Kai akiwa na mpira tuu, basi mashabiki zaidi ya 10 unawasikia wakisema "anapoteza sasa hivi".Mara amefanya hivi, angefanya vile.

Nadhani tunachokitaka fans kutoka kwa Kai, na anachokitaka Arteta ni tofauti kabisa kama alivyowahi kugususia mkorea (chawa wa masingeli by flano) Its better tukaendelea kumuamini Arteta.
 
Siku hizi ukimuona Raya golini ujue clean sheet tayari!

Asubuhi nilibeti game yetu itoe GG nikijua leo lazima ataanza Ramsdale golini, lakini baada ya kikosi kutoka ndio namuona Raya.. nikajua tayari shughuli ishaharibika.

Siku nyengine Arteta awe anasema mapema anamchezesha kipa yupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…