Hyu msela mi namshangaa sana....Kila nikijaribu kufanya analysis ya kile kikosi cha Nyukesto....sioni hata mchezaji kabisa unayeweza kusema hyu ataibeba timu....simuoni....ni kagrup ka wahamasishaji kamekusanywa kakafundishwa namna ya kukimbia vzuri halafu kakapelekwa uwanjani...ushahidi angalia mechi zao....tangu ligi inaanza mi naangalia mechi zao zte yaani sioni kitu special kabisa cha kushuka....yaani hakuna
Mkuu, Arshavin alikuwa mzuri lkn hakuwa mzuri kiasi hicho tulichokitegemea. Ilifika muda mpaka mashabiki wakaanza kumshambulia wenger juu ya Arshavin na muda ya utetezi wake ilikuwa kwamba watu wanalaum kumpanga captain wa timu ya taifa. Kwahiyo RVP alikuwa na misimu bora zaidi ArshavinKuna muda nilijipa kazi ya kupitia highlights za strikers waliopita arsenal kuanzia miaka 15 iliyopita up to the moment and nikajifunza kitu.
Jamani arshavin alikuwa mtu hasa.ni rahisi kumuona van persie ila that arshavin was superb.
Kukokota,kasi,jicho na accuracy yake was next level.kama ulitamani kuona wachezaji waliokuwa na uwezo mkubwa wa link up play jamaa alijua sana.
Muda ni hatari sana ukipita umepita acha tupambane na nketiah wetu.liverpool wanamjua huyu jamaa
Kufungua Leo sio rahisi, timu ipo vizuri Sasa hiviila UCL ya moto aisee. nadhani kutokuwepo kwa muda mrefu kunaweza kutuathiri kisaikolojia leo, tukacheza hovyo na kufungwa. tutaanza kuamka game ya pili.
vijana watakuwa na wenge.Kufungua Leo sio rahisi, timu ipo vizuri Sasa hivi
Haya mambo tuliyamiss sana kama mashabiki.
Declan Rice ndio kwanza anayaona akiwa Arsenal.
It's your time now skipper.
View attachment 2755774
Unaumia kutokea wapi mkuu?Mambo yenyewe ni mipira ya uefa na si kombe . Sio Rice pekee ake kuna kina saka, martinelli ndo the first time kugusa mpira wa uefa leo
Mambo yenyewe ni mipira ya uefa na si kombe . Sio Rice pekee ake kuna kina saka, martinelli ndo the first time kugusa mpira wa uefa leo
Unaumia kutokea wapi mkuu?
Jana saa nne usiku kulikuwa kuna mechi kati ya mshindi wa kwanza wa group na WA pili....mshindi wa pili akafungwa goli 2 bila....ww na wale liwalo na liwe wenzako mtagawana nafasi ya 3 na 4🤠🤠🤠....anayeibeba timu pale Arsenal kwa Sasa ni Odegaard mkuu....siku akiwa na siku mbaya kazini timu inakuwa kama ime paralyze hvi...Wewe hapo arsenal una mchezaji gani ambae anaweza kubeba timu mwaka jana si mlikua mnalalamika mmekosa kombe kisa hakuna mtu anayeweza kubeba timu kwahiyo mkamchukua havertz anayejua kubeba timu.
Newcastle 16 lazima tuwepo bana mbupu uwezavyo lakini 16 round we will be there.
Ukiona AC MILAN hao tunaongelea timu iliyofika semi final last season, Arsenal ina miaka zaidi ya 17 haijafika hio semi final .
Ni kwli kabisa hatujacheza UEFA mda mrefu kidogo🤠🤠🤠....ndo tumerudi rasmi kuungana na wenzetu....ila nyny kimbienikimbieni mara ya mwsho hii....maana kuja kupata hyo nafasi tena labda mpk yqchezwe makombe ya Dunia kama matano hvSasa maumivu yanatoka wapi mkuu? Mimi nimekupa random fact yaani leo saka, gabriel, martineli na wengine wengi wanagusa mpira wa uefa kwa mara ya kwanza.
Hio clip inaonyesha rowe na rice wanashangaa mpira wa uefawakati hayo yakiendelea hapo Colney kule etihad kina lewis , doku na matheu Nunez walikua wamebeba kombe la UEFA, You can see the difference watu wanakiss kombe wengine wanashangaa mipira ya uefa.
Huyo jamaa alisema anahama Arsenal kwenda Newcastle kwa mbwembwe Sana ,akiamini Newcastle ita rise , Cha ajabu msimu huu wamekuwa ovyo SanaUnaumia kutokea wapi mkuu?