Hvi yule Rice si tungewaongezea West Ham hata £20million nyingine aisee....sijamuona leo Onana akikukuruka kabisa....au hajacheza msela 🤠🤠🤠🤠....Ramsdale ajiandae kisaikolojia...hyu Raya yaani hafanyi mistake kabisa....ypo Calm kwlikwli....hyo Beto wa Everton alokuwa anasifiwa sijaiona chchte alichofanya...uzuri siku hzi Arsenal tunakufunga hlafu tunakufundisha na namna ya kucheza bolu🤠🤠🤠.....waleteni wengine tucheze nao🤠🤠🤠Clean sheet
1 nil kwa timu iliyoamua kuja kupaki basi sioni kama matokeo mabaya.
Flano na Allypipi...kadi za uanachama bdo zipo nyingi sana tunagawa bure....karibuni ndugu zetu tuje tuburudike na bolu la kisasa....tikitaka flani...yaani unacheki unaona kabisa mpira unapelekwa wapi....siyo Yale mambo ya Bruno akiupata anamcheki Rashidi Makame ypo wapi anabutua huko mbele kwa mbele🤠🤠🤠Hvi yule Rice si tungewaongezea West Ham hata £20million nyingine aisee....sijamuona leo Onana akikukuruka kabisa....au hajacheza msela 🤠🤠🤠🤠....Ramsdale ajiandae kisaikolojia...hyu Raya yaani hafanyi mistake kabisa....ypo Calm kwlikwli....hyo Beto wa Everton alokuwa anasifiwa sijaiona chchte alichofanya...uzuri siku hzi Arsenal tunakufunga hlafu tunakufundisha na namna ya kucheza bolu🤠🤠🤠.....waleteni wengine tucheze nao🤠🤠🤠
Declan Rice vs. Everton:Hvi yule Rice si tungewaongezea West Ham hata £20million nyingine aisee....sijamuona leo Onana akikukuruka kabisa....au hajacheza msela....Ramsdale ajiandae kisaikolojia...hyu Raya yaani hafanyi mistake kabisa....ypo Calm kwlikwli....hyo Beto wa Everton alokuwa anasifiwa sijaiona chchte alichofanya...uzuri siku hzi Arsenal tunakufunga hlafu tunakufundisha na namna ya kucheza bolu
.....waleteni wengine tucheze nao
![]()

Fabio Vieira hii mechi haikumfaa
Jamaa wanacheza undava undava mwanzo mwisho
Tumeshinda kwa Mara ya kwanza toka 2017
Aijaanza first eleven ndio maana, hii Game ilihitaji watu kaziHuu ushindi wa leo umewapa wadau ganzi!? Naona hata Kai hashambuliwi.


Rice anastahili pongezi 👏👏Declan Rice vs. Everton:
90 minutes played
98 touches
89 passes (93% accuracy)
1 key pass
5 long balls (100% success)
1 shot blocked
3 dribbles (100% success)
6 ground duels (4 won)
1 clearance
2 interceptions
Sublime again. His level doesn’t drop. What a player.![]()
Ila zinny kwenye kuchezesha team yupo njema anapiga pass balaaa
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kwakua kaingia dk za lala salama na zaidi ya kukwepa pasi hajafanya blunder nyingine.Huu ushindi wa leo umewapa wadau ganzi!? Naona hata Kai hashambuliwi.
Atokee bench hadi akili ikae sawaKwakua kaingia dk za lala salama na zaidi ya kukwepa pasi hajafanya blunder nyingine.
Isipokua anaonekana yupo off position mara nyingi.
Angeanza na makosa yangekua mengi.
Last game tumeshinda kwa United lakini wote tuliona shida zake kwakua alianza na alikaa muda mkubwa