Kaka kwa kwema huko ulipo?mkorea anakwambia anamuona Ozil kwenye miguu ya kai.
Yaani mkorea na ndugu yangu arsenal2004 hawa watu wawili chochote watakachoaminishwa na Masingeli hua wanakibeba kama kilivyo na kuanza kuwaaminisha watu mpaka mtu unajiuliza hawa jamaa hua wanakaa kwenye Tv wanaangalia mpira au mpira wao hua wanauangalia kwenye comments za Masingeli?
Forgotten heroTrossard in LCM (Left 8 position) kaweka kamba kali.
He also asked Arteta on his game time last week..
View attachment 2747685
Kaaambiwa asubiri UCL next weekTrossard in LCM (Left 8 position) kaweka kamba kali.
He also asked Arteta on his game time last week..
View attachment 2747685
Hawa jamaa wanadhan unasema tu ,Kai kaanza kufananishwa na Ozil akiwa na miaka 18 pale Leverkusen , wajeruman na ulimwengu wa Soka ndio walikuwa wanasema mrith wa Ozil kapatikanaKai ni new Ozil
Itunze hii mkuu
Kai angekuwa ovyo Kama unavyohubiri ,Basi manjesta wasingepiga pass 200 Kati ya 214 kwenye backline Yao na kushindwa kuvuka midfield ya Kai ambaye wewe unasema Ni mbovu Sanamkorea anakwambia anamuona Ozil kwenye miguu ya kai.
Yaani mkorea na ndugu yangu arsenal2004 hawa watu wawili chochote watakachoaminishwa na Masingeli hua wanakibeba kama kilivyo na kuanza kuwaaminisha watu mpaka mtu unajiuliza hawa jamaa hua wanakaa kwenye Tv wanaangalia mpira au mpira wao hua wanauangalia kwenye comments za Masingeli?
Watu tunaoDuring the international break, we learnt that;
Tomiyasu is a proper center back
Ødegaard has traded his assists for goals so let’s be worried
Havertz is a RCM so Ødegaard should shift to LCM for him
Gabriel is Brazil’s best CB
Trossard has the best finishing across our frontline
Add yoursView attachment 2747881
Mechi za kutosha ndio zinaanza SasaWatu tunao
Maji wataita mma
We Flano konyo sana wewe... hahahaha 🤣🤣🤣.Msameheni bure Lord Maguire alivyomuona Ramsdale akajua ile mechi ya Man Utd vs Arsenal bado inaendelea, hapo Maguire kwa akili yake mpaka anatoka uwanjani anajua kaisaidia Utd kupata goli la 2, ukimuuliza matokeo ya mechi ya jana atakwambia Arsenal 3 - 2 Utd.
Acha kumfananisha fundi OZIL na TAKATAKA kama Kai aisee,huko ni kumkosea HESHIMA fundi Ozil
Flano anazingua SanaWe Flano konyo sana wewe... hahahaha.