Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mshaambiwa Kai tumpe muda ata improve taratibu,izo lawama zenu ndo zinamuondolea confidence.

Na akianza kutupia mtaanza kuja na kumsifia hapa.


 
Mshaambiwa Kai tumpe muda ata improve taratibu,izo lawama zenu ndo zinamuondolea confidence.

Na akianza kutupia mtaanza kuja na kumsifia hapa.


View attachment 2747272
Kai hata apewe miaka 100 ni KIAZI tu hana jipya,hakuna dalili za improvement yoyote kwake,hata huko Timu ya Taifa bado ni KIAZI tu,hana sifa wala kiwango cha kuchezea Arsenal
 
Ramsdale kapigwa goli Kali na Harry magwaya View attachment 2747529
Msameheni bure Lord Maguire alivyomuona Ramsdale akajua ile mechi ya Man Utd vs Arsenal bado inaendelea, hapo Maguire kwa akili yake mpaka anatoka uwanjani anajua kaisaidia Utd kupata goli la 2, ukimuuliza matokeo ya mechi ya jana atakwambia Arsenal 3 - 2 Utd.
 
kwa hio unataka kubisha kua Kai sio mnyumbulifu na pia sio mzuri kwenye aerial duel?
 
"Nadhani Havertz anaweza kuwa bora zaidi ya hapo kwani ana silika ya kushambulia na atakuwa na umaliziaji mzuri anapoingia kwenye nafasi hizo."


huo umaliziaji mzuri sasa wa Kai kiungo ya boli akiwa ndani ya box
 
Hata mtoto wangu wa Nursery akiona mfananisho wa Kai na OZIL atakushangaa sana,Kai ni GARASA kama MAGARASA mengine tu
mkorea anakwambia anamuona Ozil kwenye miguu ya kai.
Yaani mkorea na ndugu yangu arsenal2004 hawa watu wawili chochote watakachoaminishwa na Masingeli hua wanakibeba kama kilivyo na kuanza kuwaaminisha watu mpaka mtu unajiuliza hawa jamaa hua wanakaa kwenye Tv wanaangalia mpira au mpira wao hua wanauangalia kwenye comments za Masingeli?
 
Masingeli kashawabrain wash.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…