Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pépé was a quality player and a dedicated teammate. He didn’t fit the model, was brought in under an unstructured regime, it he was never unprofessional. Created some beautiful moments. Contributed often. It didn’t work out, and that’s ok. But wtf man. Merci Nico. Bon chance!
 

Kwa Pepe mm ni mmojawapo wa waliokuwa wanamkubali
 
Kwa Pepe mm ni mmojawapo wa waliokuwa wanamkubali
Pepe haendani na mfumo wa Arteta wa winger awe anatanua uwanja , Pepe anapenda kucheza mpira wa kaunta

Na Arsenal sio timu ya kutegemea kaunta
 
Mark my word Mkorea

Kai ukitoa kutojiamini hasa kukosa magoli , majukumu mengine anatimiza vzr sio Sana na sio vibaya ,
Hofu yangu ni ule mshahara anaokunja Kai
At the moment yeye ndio most paid player pale arsenal

Je Hii haitaleta shida katika dressing room?

Unakumbuka Nketiah alivyozinguana na Cebalos kipindi yupo kwetu kwa mkopo?
 
Pepe amefeli Kwenye mfumo wa Arteta


Nicolas Pepe's 2020/21 season...

️ 16 goals
6 assists

Arsenal Player of the Season: 2nd place
 
Hofu yangu ni ule mshahara anaokunja Kai
At the moment yeye ndio most paid player pale arsenal

Je Hii haitaleta shida katika dressing room?

Unakumbuka Nketiah alivyozinguana na Cebalos kipindi yupo kwetu kwa mkopo?
Kwasasa Arsenal Ni family,ngumu mchezaji kuinuka kuchafua Hali ya hewa ,ataondolewa mapema Sana ,

Kumbuka Mikel ananguvu Sana kwenye klabu ,

Bodi ilitaka kumtetea Auba abaki, Lakini mwisho walishindwa
 
Pepe amefeli Kwenye mfumo wa Arteta


Nicolas Pepe's 2020/21 season...

️ 16 goals
6 assists

Arsenal Player of the Season: 2nd place
Afadhali ya Pepe,huyu Kai hatafunga hata Goli Tano,labda kila Penati itakayopatikana awe anapewa yeye,zaidi ya hapo ni Mtumishi hewa,ni AIBU kuwa the highest paid na upuuzi anaofanya Uwanjani,anakula Mshahara wa bure tu,ni mzigo kama furushi la maparachichi
 
Kwa ushindi ule wa papatu papatu Beki babu Evans mnashangilia? Mkija OT hamtoki
Papatupapatu Tena

Dk 100 umepiga shot on target 2 tu , Kona 3

Pass 200+ mmcheza kwenye eneo la backline

Mtego wenu wakutaka tumpress onana mpige kaunta tunaujua ,mna mentality ya timu ndogo

Mwaka Jana mlisema Casemiro hakuwepo

Juz mnasema Evans ,Kwan hujui Lisandro Martinez alifeki majeruhi awahi national team,huyo Evans sikasajiliwa na 7hag au amejileta hapo manjesta

Wachezaji wenu hawana pumzi ya kustahimili msako kwa dk 100

Msimu huu tunataka points 6 ,kwa timu ambazo haziwezi kukaa na mpira Ni aibu kutobeba points 6



 
Mwanangu asee ,muache Kai unamuandama Sana
 
We hauoni kama wana Role mbili tofauti.. me nashangaa wanaomlaumu kai . Mnataka acheze kama namba 9 au
 
Hata kama ni role tofauti lakini Kai hajitumi,hebu angalia jinsi Ode anavyohaha Uwanja mzima,lakini Kai hata akiwa na Mpira mashabiki roho juu kwamba atatoa pasi vizuri maana muda wowote ni maboko tu!!!na kumbuka huyo ni mzoefu wa EPL sio mgeni,yule kama kucheza awe anaingia dakika za 75 huko na hapo tuwe na uhakika tunaongoza kwa magoli angalau 2,zaidi ya hapo ni mzigo tu,anawanyonya sana wenzake,kwangu ni MATUMIZI mabaya kumchezesha Kai uwanjani tena dakika 80 wakati nje kuna kina Smith Rowe,Neilson, Viera,Trossad nk
 
Hapo umesema ukweli. Na mimi nakwambia kuwa Kai siyo m bovu ni vile tu bado hajaingia kwenye mfumo. Kwa hyo nakubaliana na wewe kuwa Kai hatakiwi kuanza kabisa kwenye game yoyote ya EPL au UCL
 
Sidhan kama ni kweli Kai anapoteza Sana mipira , accuracy yake ya pass sio mbaya Sana ,pia ndiye mchezaji anaye cover au aliyekimbia Sana kwa Arsenal takwimu zinasema hivo ,

Kai alifanikiwa UCL hasa EPL kipind Cha Tuchel bado hakufanya vzr Sana, pale chelsea wamebadilishwa makocha wengi kwa kipind kifupi , sidhan Kama Kuna mchezaji katoka Chelsea hii iliyovurugika ame settle , Tena Kama ukienda timu isiyo na mfumo rasmi ndio unapotea mazima,

Ila unakumbuka Øde alikuja kwa mkopo miezi 6 Arsenal ,hakufanya chochote , Partey pia alikaa karibu miezi 6 ndio akaanza kucheza vzr ,zipo interview Partey anasema kabisa amekuwa akivurunda, had January 2020/21 Kama sikosei ndio Partey alianza kucheza vzr

Kai mechi 4 tunataka kumkatia tamaa ?

Nilifatilia kwanini Arteta alimsajili Kai ,nikagundua sababu anaamini atamsaidia kwenye False 9 akihitaji kumtumia hapo like vs Mancity , sababu tukiweka ushabiki na chuki ,unapotaja false 9 wanaojua kupress Kuna Jesus ,Kai hawachoki na Wana press kwa Akili , lakin tulikuwa hatuna CF wa kucheza mipira ya juu tukihitaji hivo, ndio sababu ya kumnunua Kai ,

Lakin kumtumia Kama LCM, hapa ndio anahitaji muda hata mechi 20 ndio ataanza kucheza vzr ,uzuri Kuna maeneo hayamsumbui Kama movement anapotakiwa kurudi chini ,kwenda kushambulia ndio maana unamuona anakosa hata magoli ,anaongeza namba ya viungo ,

Tatizo lake anacheza kwa pressure,
 
Hapo umesema ukweli. Na mimi nakwambia kuwa Kai siyo m bovu ni vile tu bado hajaingia kwenye mfumo. Kwa hyo nakubaliana na wewe kuwa Kai hatakiwi kuanza kabisa kwenye game yoyote ya EPL au UCL
Kule UCL ndio anatakiwa acheze na kina Trossard,Raya , Vieira, Nelson,

Lile kundi la UCL ni kundi jepes , yaan pale Sevilla ndio anaonekana mwenye afadhali na ameuza key players,anamrudisha Ramos miaka 36 Kama beki tegemeo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…