Ukitaka kumuogopa Zinny Nenda Youtube katafuta Clip za Game ya Arsenal vs Nyukesto last season ile ya 0-0 Emirates zinazomuhusu Zinny ndo utajua jamaa anapiga pasi kwa kutumia Uchawi, sio kawaida kabisa uyo kiumbe.Ødegaard Ni talent halafu anauelewa mkubwa Sana tofaut na umri wake
Arteta alisema alimpa ukaptain sababu ukimpa maelekezo anayatekeleza kwa usahihi lakini ana uwezo pia wakuyafikisha kwa wengine
Ndio mchezaji ambaye anakuwa karibu Sana na kocha mazoezini kuliko wengine ,
Lakin kwa Zinchenko yule talent ya kuzaliwa ,ipo tu ,huwa sichoki kumuangalia ,atapiga pass kwenye mazingira yoyote Yale ,ana invert holding, winger , attacking midfielder ,
Mwisho binafsi Zinny anabaki most talented player kwenye timu ya Arsenal , wapo wengi Kama Fabio Vieira, Øde, Smith Rowe ,but Zinny hata mazoezini mpira huwa unamtii
Huko uliko hakuna kamba na mti ukajinyonge?Nimeumia sana kufungwa na Wenger orphans aise sina raha huku street kabisa.
View attachment 2739785
Sasa na mimi najiona kama arteta kwa kai.. 🤣Unpredictable, sometimes anacheza vizuri, siku nyingine average siku nyingine below average
Wachukue mpunga huo.Liverpool wapo mtegoni ,hii ofa ya pili ya wasaudia £200m wakiikataa noma, wakiikubali wajiandae ku struggle
Unpredictable, sometimes anacheza vizuri, siku nyingine average siku nyingine below average
Wachezaj wa Newcastle walisema walikuwa hawaelewi anachowafanyaUkitaka kumuogopa Zinny Nenda Youtube katafuta Clip za Game ya Arsenal vs Nyukesto last season ile ya 0-0 Emirates zinazomuhusu Zinny ndo utajua jamaa anapiga pasi kwa kutumia Uchawi, sio kawaida kabisa uyo kiumbe.
Jesus mara chache San kukupa game mbovu, sikumbuki lini, Jesus wengi wanataka awe Kama halland ,Jesus asipokupa magoli ,atakusaidia kuwa kiungo ,winga , atafanya kuunganisha Timu, sikumbuki lini alikuwa na game mbovuSasa na mimi najiona kama arteta kwa kai..
Sio siri mimi namuamini saana jesus, hata akicheza kawaida naamini si wa kukaa benchi.
Hii Ni aibu ,Nimeumia sana kufungwa na Wenger orphans aise sina raha huku street kabisa.
View attachment 2739785
Imekuwaje Tena aisee
Anachofanya jesus, si halaand wala osimhen wanaweza fanya..Jesus mara chache San kukupa game mbovu, sikumbuki lini, Jesus wengi wanataka awe Kama halland ,Jesus asipokupa magoli ,atakusaidia kuwa kiungo ,winga , atafanya kuunganisha Timu, sikumbuki lini alikuwa na game mbovu
Eddie ameongea leoSijui kwa nini watu wanamuonaga JESUS ni mchezaji wa kawaida ? kwangu kati ya wachezaji watano muhimu wa arsenal mwaka jana Jesus yupo.wakati tunamtaka madrid nao walikuwa wanamtaka.kama unaangalia mpira vizuri hakuna beki anayeweza kumkaba Jesus.ni foward pekee anayeweza kupangua beki wza timu pinzani wanaokaba kwa kurundikana.kati ya wachezaji tuliopata kwa bei rahisi ni Jesus,tuombee asiumie hizo goal ishirini anafikisha,ninachofurahi amesaidia sana kuinua kiwango cha nketiah.na kwa sasa kitu kizuri kuhusu timu yetu benchi letu lote linaweza kuathiri mchezo yoyote akiingia uwanjani