Iweke kabisa ili tukishinda tuwe tuna referenceBrother brother.
Congratulations! Naitafuta moja ya post yangu nliosema tutashinda EPL msimu wa 2023/2024.
Hapo sawa , mm napingana wanaoweka chuki zaidi, swala la kuanza kwasasa Fabio Vieira,Jesus wanapaswa kuanza first elevenMkuu ni kweli tunamsupport ila shida yetu asiwe starter Kila mechi.
Lile goli unatolea posa kwa familia yoyote inayopenda mpira na unapewa mke.Jesus kaonyesha ukomavu aiseee, mi mtu ika lamba nyasiππ
Aiseee kwanza ninge kuwa Mimi ninge achia mkoma baada ya kukaribia goli.Lile goli unatolea posa kwa familia yoyote inayopenda mpira na unapewa mke.
Sijui kwasababu nampenda Martin ΓdegaardLile goli unatolea posa kwa familia yoyote inayopenda mpira na unapewa mke.
Mimi sijawahi mkataa huyu kiumbe, nilikuwa natamani huyu apate mud wa kucheza mwingi mbele ya xhaka, hilo lingefanyila huenda leo angekuwa bora zaidi ya hivi.Guys never learn.
Wengi mlianza kumkataa Vieira, bado tunahitaji mengi lakini you can see he's not a shit player kama wengi mlivohubiri humu.
Bado hamjaniingiza kwenye mtego wa Harvetz. Ntamsapoti mpaka mwisho.View attachment 2738244
Yote yote ni sawa tu, kila goli n utamu wake pale.Sijui kwasababu nampenda Martin Γdegaard
Akiwa maeneo yale huwa nahesabu kamba ,ana ball striking ya kutosha
Goli la Jesus tamu sababu alitulia Sana,hakuwa na wenge
Na Mimi niliiona hiyoWakati wanatoka mapumziko ya kipindi cha kwanza Zinny alionekana kwenye Tv akimpa Kai maelekezo kuhusu positioning wataalamu wa body language tulielewa.
Mim niliamua kusubiri maana namba zake kule ureno zinatisha aliongoza kwa assist,hivo nilijua ana kituMimi sijawahi mkataa huyu kiumbe, nilikuwa natamani huyu apate mud wa kucheza mwingi mbele ya xhaka, hilo lingefanyila huenda leo angekuwa bora zaidi ya hivi.
Niliona ,na hii Ni sababu ndio wanacheza kwa mara ya kwanza ule upande ,Wakati wanatoka mapumziko ya kipindi cha kwanza Zinny alionekana kwenye Tv akimpa Kai maelekezo kuhusu positioning wataalamu wa body language tulielewa.
Hivi Uefa ndo michuano miepesi kidogo eeh hadi tubadili best 11 kiasi hiki?Smith Rowe, Trossard,Raya Vieira ,JoJo, Hawa waanze kupata nafasi mechi za UCL league Sasa
Hivi Uefa ndo michuano miepesi kidogo eeh hadi tubadili best 11 kiasi hiki?