Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu hapo chini ndio umeua kabisa


Arsenal NDOO

hiyo ndoo inaandikwa hivyo
 
Inatosha Mzee Baba utakimbiza watu humu Jukwaani nachokukubaligi una DATA and EVIDENCE
Unajua bro ishu ni kwamba kuna watu tukiona mchezaji hatuendi kusoma maoni ya watu kwanza ili tujue tunamjuaje.

Hua tunamuangalia mchezaji au mechi tunasema tulichoona, articles hua tunaziangali kuona ni kipi wenzangu wanaona mimi sikioni.

Hapa tuna mashabiki ambao hawaongei mawazo yao kila wanachaondika ni wamedokoa article online na kuileta. Na haitusumbui tunaishi nao.

Tumefanya usajili wa Kai, tangu Kai yupo Chelsea nilikua nasema hana finishing yeye na wenzake lakini shabiki mwingine anakopi article inayoelezea pros za Kai kuja Arsenal na anaamini ni itawork out hivyo tu bila kuangalia factors zingine
 
Hii ni leo kabla Chelkenge halijabamizwa mimi nasema Pochettino siyo kocha mzuri.

Na nimesema hivyo tangu anafika Chelkenge
 
At the moment huyo mtu ni MARTIN ODEGARD

Huyo ndio anapelekewa mipira muda wote, yeye ndio anafanya turns zake na kutafuta penetration

Ode na Veira
Hawa ndio wenye quality hiyo

Ili acheze Kai, partey au rice mmoja aanzie bench, na sio odegard

Kiuongo kikwa na partey, rice, Kai
Hapo odegard yupo bench tutarukaruka tu, na kutafuta magoli ya papatu papatu

Kama unaingia sokoni, kutafuta quality katika hauo majukumu, yupo Frank dejong pale Barca kumtoa ndio inshu
 
Hahaa kuna sauti inaniambia huu mwaka wachezaji wetu wakipata proper psychological treatment basi kuna kitu tunaweza fanya
Uefa au Ligi
moja tunapita nalo tupate proper pyschological treatment au improper

Uefa, ligi, fa, Carabao
Hapo tunapita na mawili

Itunze hii. Sijalewa
 
Mimi na wewe huwa tunaendana kimtazamo sometimes kusifia sana kitu ambacho kiuhalisia ni nothing ujue ni ujinga tu
 
Hakika broh Ode ni brain kwa arsenal kwa kiasi kikubwa tu
ndomana ukiangalia game nyingi ambazo hachezi vizuri timu huwa ina struggle kupata matokeo.
 
The same Kai angekuwepo Chelsea au timu nyengine, tungemuona hamis77 na comment hizi:

"Nilisema tangu mwanzo, Havertz sio mchezaji. Mmejaza ma- average players.
Muda utaongea."

"Huyo Havertz wenu atahitaji nafasi 10 kwenye mechi ili ashinde, hayupo clinical.
Kila siku nasema hili ila watu wa humu mmekaza vichwa."

😂😂😂 jamaa yenu kila kitu kasema yeye.
 
newcastle huu mpira ndio wakienda nao UCL kule.. kuingia round of 16 itakuwa maajbu.
Nilimwambia yule Labyrinth 84...bdo wao ni watoto wadogo sana🤠🤠....akawa anabwatabwata tu....wakimaliza top 4 msimu huu tupo hapa🤠🤠
 
Yule HAMIS77 ni CHAKUBIMBI mmoja anayejifanya anajua kila kitu kumbe PIMBI tu,halafu anajiita MCHAMBUZI nguli
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…