Bado narudia manjesta hauna timu yakupata hata sare pale EmiratesMasingeli amesababisha mpaka timu yake sasa hivi inaitwa Domodomo Fc.
Ndugu yangu Masingeli kesho Nyumbu tukiwashona utafute tu pakujificha maana Arsenyau wenzako wanalalamika kua msimu ulioisha mmekosa kombe kwa sababu ya domo lako.
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
Sasa wewe unavyosema Erik hafai umewahi kufundisha timu gani mzee?Niliwahi uliza humu wanao questions tactics za Mikel ,je mmewahi fundisha hata timu za kanisa au msikiti?
Je mnajua Kuna structure 43 za defensive ?
Arteta on if he will switch to a back 4 against United:
“Well I played different against City. There were 43 defensive structures.”
“Every game is a different story” #afcView attachment 2735811
Hamisi anatupa burudani kama ya MR BEANSasa wewe unavyosema Erik hafai umewahi kufundisha timu gani mzee?
Mbona unaanza kuleta hoja za kinyumbu?
Binadamu tumejaaliwa akili, hizo ndiyo tunatumia kufananisha na kuchanganua. Akili zako zinakuaminisha Kai ni mchezaji mzuri kwa mwingine haipo hivyo.
Mimi hua nasema Pochettino mbovu wewe unasema ni mzuri na kila.mtu anatoka hoja zake. Kwanini kwa Arteta hutoi hoja unakimbilia hoja anazotakiwa kuleta nyumbu?
Unahisi hao players hata kama hawataki huo mfumo watasema mbele yake?Players & coaches after meeting Arteta: “he sees and thinks the game at a different level, every detail has an explanation for it”
Mashabiki uchwara: “just go back to the back 4 mate!”
#ArsenalView attachment 2736379
Ona watu kama hawa...this is hypocrisyHamisi anatupa burudani kama ya MR BEAN
Halaf kesho ikishinda ni nyie nyie mnaanza mbwe mbwe tena stupid fansUnahisi hao players hata kama hawataki huo mfumo watasema mbele yake?
Bado narudia manjesta hauna timu yakupata hata sare pale Emirates
Hao mashabiki Ni wehu Kama wewe
Hao hao mashabiki ndio unakuta waliosema wamehamia PSG au Newcastle,
Mashabiki wa Arsenal Ni smart na Wana uelewa mkubwa wa soka
Tuliza Makalio huna cha kumpangia mtu cha kuongea wote ni Arsenal fans humu hatuwezi kufanana ideas so tuliaHalaf kesho ikishinda ni nyie nyie mnaanza mbwe mbwe tena stupid fans
Unakurupuka tu kijinga jinga tunaongelea mfumo humu wa sasa jinsi unavyopwaya so kama Hamisi anaukubali wengine wasiusemee ili?grow up young boy myself siwezi kuargue na anybody ambaye atakuwa kinyume na mwenzake sometimes hata bosi wetu hehehehe Hamisi nakubaliana sometimes sikubaliani nae licha wote ni Arsenal fansHalaf kesho ikishinda ni nyie nyie mnaanza mbwe mbwe tena stupid fans
Ili wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.
Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.
Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.
Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.
Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.
Eti haujawai kuwa kocha ata timu ya kanisaKwa upeo finyu wa Masingeli Arteta ni Malaika, hakosei. Kila kitu kwake yeye ni sawa as long as ni Arteta kasema.
Huu ni ushabiki uliopitiliza. Anawaambia kondoo wake msiwe kama mashabik wa Man u au chelsea kuwakosoa makocha. kama kocha anazingua asikosolewe kisa hatujawahi kuwa hata kocha wa timu ya kanisa.
Mwambie baba ako ayatulizeTuliza Makalio huna cha kumpangia mtu cha kuongea wote ni Arsenal fans humu hatuwezi kufanana ideas so tulia
Yaani humu kua Arsenal fan ni lazima ukubali kua wote mna akili moja, ukikataa ukondoo unaonekana wewe ni mamluki.Unakurupuka tu kijinga jinga tunaongelea mfumo humu wa sasa jinsi unavyopwaya so kama Hamisi anaukubali wengine wasiusemee ili?grow up young boy myself siwezi kuargue na anybody ambaye atakuwa kinyume na mwenzake sometimes hata bosi wetu hehehehe Hamisi nakubaliana sometimes sikubaliani nae licha wote ni Arsenal fans
Ww ni mzee wa kuuma na kupuliza😅😅😅...unajua litimu lako livivu na kule kwny jukwaa Lenu huwa unatapika kwlikwli...Sasa ile spirit unaleta hdi hmu kufarakanisha watu...kapambanenj kumtoa glazer kule sio kutuletea vita hmu ndani....Kai anatupa burudani sana🤠🤠🤠Yaani humu kua Arsenal fan ni lazima ukubali kua wote mna akili moja, ukikataa ukondoo unaonekana wewe ni mamluki.
Humu kuna umuhimu wa kuanzisha kampeni ya kataa ukondoo maana watu wamefungwa akili wamekua kama misukule.
Hahaha dahHamisi anatupa burudani kama ya MR BEAN
Hahaha dahHamisi anatupa burudani kama ya MR BEAN
Duh na matusi mmeanza.Ili wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.
Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.
Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.
Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.
Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.