Tatizo hatuna creativity hapa kati, unamuona RVP anahangaika kila position kubuni something, Gervinho na Walcott decision na movement zao ni off-limit, final ball ndio tatizo kwao wote wawili, tunahitaji labda mashambulizi kuanzia midfields players, hawa jamaa wanacheza counter-attack na kwa sababu humid condition wanatusumbua sana.