Kuna namna arsenal inabidi wajifunze namna ya kuuza wachezaji.
Rob holding kwa £4 hii hapana.
Palmer ameuzwa kwa £ 40
Folarin euro 40
The negotiation team wajitazame.chelsea kauza magarasa yake kwa bei nzuri mno.
Mikel anasema asingecheza back 4 wakati Zinny hayupo ,
Tactics zinaamua hivo
Niliyasema haya ,na Leo kayasema ,thus why Flano na Genge lake hawataki Mimi kuitwa mchambuz nguli
Nasikia Man Chalobah mlikuwa mnataka £50mil.Chelsea imeingiza pound 260+ kwa kuuza wachezaji kwa musimu mmoja tu. Ila hizi mbanga arse8 zimetumia miaka 11 kuingiza iyo pesa pamoja na manyumbu
Kwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?Niliwahi uliza humu wanao questions tactics za Mikel ,je mmewahi fundisha hata timu za kanisa au msikiti?
Kwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?
Kuna ushabiki wa mpira halafu kuna mipasho. Wa kiume hatakiwi kuwa na mipasho, hasa ukiwa mshabiki wa Arsenal.
Punguza mipasho mtoto wa kiume maana nikikuambia uache kwa haraka haraka kwa kuwa ni tabia yako hutoweza.
Unatupa sifa mbaya wana Gunners.
Huyu jamaa wa ajabu aliwatelekeza wenzake utafikiri Team imekuwa ya 16,kumbe usiongee ukamaliza anashindwa akili na chungu anaweka akiba ya chakula masika yote.Mkuu umemchoka mwana Gunners mwenzio.
Jamaa ni kama nyumbu fulan ivi hana aibu msimu uliopita alikua anajitekenya na kucheka ivi ivi mwsho wa siku alikimbia kama kaona nn sijui akawaacha na wajinga wenzie baadhi hawajui kapotelea wapi.
Huyu ww ukiwa negative na Arteta bas ujue kbs umetafuta vita nae ya 3 ya dunia.
Kwa upeo finyu wa Masingeli Arteta ni Malaika, hakosei. Kila kitu kwake yeye ni sawa as long as ni Arteta kasema.Kwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?
Kuna ushabiki wa mpira halafu kuna mipasho. Wa kiume hatakiwi kuwa na mipasho, hasa ukiwa mshabiki wa Arsenal.
Punguza mipasho mtoto wa kiume maana nikikuambia uache kwa haraka haraka kwa kuwa ni tabia yako hutoweza.
Unatupa sifa mbaya wana Gunners.
Naona unafika mbali kijana ,Wala sijakutajaKwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?
Kuna ushabiki wa mpira halafu kuna mipasho. Wa kiume hatakiwi kuwa na mipasho, hasa ukiwa mshabiki wa Arsenal.
Punguza mipasho mtoto wa kiume maana nikikuambia uache kwa haraka haraka kwa kuwa ni tabia yako hutoweza.
Unatupa sifa mbaya wana Gunners.
Kuna namna arsenal inabidi wajifunze namna ya kuuza wachezaji.
Rob holding kwa £4 hii hapana.
Palmer ameuzwa kwa £ 40
Folarin euro 40
The negotiation team wajitazame.chelsea kauza magarasa yake kwa bei nzuri mno.
Wewe hata kukujibu siwez maana Ni sawa na mwanangu wa darasa la 3Mkuu umemchoka mwana Gunners mwenzio.
Jamaa ni kama nyumbu fulan ivi hana aibu msimu uliopita alikua anajitekenya na kucheka ivi ivi mwsho wa siku alikimbia kama kaona nn sijui akawaacha na wajinga wenzie baadhi hawajui kapotelea wapi.
Huyu ww ukiwa negative na Arteta bas ujue kbs umetafuta vita nae ya 3 ya dunia.
Vipi kuhusu balogun?Tofautisha kuuza mchezaji kwa big teams na mid teams
Rob Holding hakutakiwa Arsenal ,na ana miaka 27
Palmer Ni kinda bado,
Arsenal inawaondoa wachezaji isiowataka,
Huwez kuona kenge yeyote akiulizia mchezaji muhimu wa Arsenal
Wamekuja waarabu kwa Partey,Magalhaes hata Bei hawajatajiwa
Balogun kauzwa wapi ?Vipi kuhusu balogun?
Yeye na Hojlund yupi ana takwimu bora?
Kubali tuu kwenye swala la negotiation Arsenal wanazingua.
Arsenal ilisema kwa timu za EPL kumtaka Balogun Ni £50m+ ndio maana Spurs na Chelsea wakarudi nyumaVipi kuhusu balogun?
Yeye na Hojlund yupi ana takwimu bora?
Kubali tuu kwenye swala la negotiation Arsenal wanazingua.