Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mimi sina chochote na wewe huna chochote utofauti tu wewe umeshiriki zaidi ya miaka 20 hakuna ulichokipata tofauti na mimi ambaye nipo mwanzo wa kukitafuta na kukipata.

Akili ya losers siku zote ni kushindwa yaani unafurahia kucheza fainali zote ukafungwa.
Kuna ile movie yenu yenyewe inaonyeshwa jinsi mlivyo “ALL OR NOTHING “ kati ya hivyo viwili mlipata kipi kama sio NOTHING
 
Kwhyo kipindi chte hupati nafasi ya kushiriki ulikuwa unacheza ligi ya mchangani au hiihii ligi kuu 🤠🤠🤠...eti ndo mara ya kwanza nashiriki😅😅😅...ndo maana nasema ww bdo mtoto mdogo...lini Arsenal alikuwa anatoa hela za maana kununua wachezaji kama sio misimu kama miwili nyuma ndo tumeanza kuona hyo ambition....kipindi cha Wenger sisi na nyny hakukuwa na tofauti maana tulikuwa na vikosi vinavyofanana ila na violkombe vya chai tukashinda....narudia tena...kiuhalisia hmu wa kutuvimbia ni Manyumbu..machelkenge na livakuku ila sio ww Nyukesto...bdo mtoto mdogo sana....wafundishe kina Almironi mpira kwanza ndo uje kupiga kelele hmu🤠🤠🤠
 
Bukayo Saka ametaja goli dhidi ya nyumbu msimu uliopita ni bao analopenda zaidi alilofunga wakati wa uchezaji wake hadi sasa.

Mechi Inayofuata Ni vs manjesta
 

Hatukuwa na backup ya pesa kama nyinyi wala ambition za ubingwa hazikuwepo kutokana na uchumi wa club. Uzuri unakubali kwamba hatuna tofauti kwenye champions league japo mmeshiriki mara nyingi zaidi.
Almron amesajiliwa kwa pesa ya kawaida tu na mpira anaopiga ni mkubwa kuliko Nketiah + viera+ kai ukibisha tukuletee stats hapa kama kawaida ukimbie .

Arsenal wengi timu imewafanya mchanganyikiwe ndo maana Nketiah bado mnamuona dogo janja et young player
sasa kina gordon watakuwa kina nani?

Gordon , Tonali, isak ,botman, nunez, szoboszlai, foden wote hawa wote ni wadogo kwa nkentiah lakini huwezi kukuta wanachukulia kama young players kwenye clubs zao sababu ya win mentality iliyopo kwenye hizo clubs nyinyi sasa yaani mnamchukulia jitu zima Nketiah kama vile ndo gordon au palmer.
Mnatiana ujinga eti ana finishing nzuri
uwe na finishing nzuri umalize msimu na goals 6 si vituko ivi mnaleta
 
DJ waletee

White
Ødegaard
Saka

Huu upande wa kulia una goli 3 zitazalishwa ,

Mark my word
 
Crystal Palace confirm they have agreed a fee with Arsenal for Rob Holding in region of 4m

@TeleFootball #Arsenal #CPFC
 
Mikel Arteta jinsi alivyo na furaha na kiwango cha Arsenal msimu huu:

"Nimefurahi sana, nilisema dhidi ya Fulham, na nimetazama mchezo mara mbili, tulicheza mara kumi bora, sita au kumi, lakini kwa hakika tulicheza vizuri zaidi, lakini yote ni matokeo."

"Jambo moja ni kucheza vizuri sana, jambo lingine ni kushindana vizuri na kile ambacho hatukufanya wakati tulilazimika kushindana katika nyakati fulani, ni njia bora zaidi ya kufanya hivyo. Tulicheza vizuri zaidi mara kumi, ninakuhakikishia hilo tena."
 
Mikel Arteta ikiwa atashawishika kutumia timu sawa na msimu uliopita:

"Itakuwa tofauti kwa sababu ni msimu tofauti na huo ndio uzuri wa kitu ambacho ninakifurahia zaidi, kwamba ni kipya na tunaweza kufanya mengi, bora zaidi kwenye mambo mengi." [Arsenal]

"Siwezi kufanya hivyo (kutumia timu moja), ninawasikiliza tofauti. Zinchenko alikuwa majeruhi, Granit hayupo, kwa hivyo ninaweza kufanya hivyo? Isipokuwa niwarejeshe. Sidhani kama itafanyika."
 
Ko arsenal alikuwa na back up ya pesa🤠🤠🤠...huwa unafatilia kwa ukaribu madirisha ya usajili kuona jinsi mashabiki wa Arsenal Dunia nzima walivyokuwa wanalalama namna klabu ilivyokuwa haitoi pesa kusajili kipindi kile...halafu unazungumzia Nketiah🤠🤠🤠....mechi ngapi ametupa points 3 hyu dogo....unapozungumzia ukubwa wa mchezaji unazungumzia nafasi anazopewa kwny timu au aina ya timu anayochezea🤠🤠🤠....umecheza mechi 3 mpk Sasa na una point 3 mkuu🤠🤠....nilikuambia ww bdo ni WA kawaida sana bwana mdgo na hiko kikundi chako cha mdundiko....utakuja kunielewa vzuri mpk tukifika January uone ulipo....hiyo nafasi mloshika mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...utawapisha kina Liver...Chelkenge na Manyumbu...ww utarudi mtaa wa saba huko😅😅....maana ndo level zenu hzo...wafundishe mpira vzuri kina Gordon na Almiron ndo uje kubishana hmu ndani
 
Niliwahi uliza humu wanao questions tactics za Mikel ,je mmewahi fundisha hata timu za kanisa au msikiti?


Je mnajua Kuna structure 43 za defensive ?


Arteta on if he will switch to a back 4 against United:

“Well I played different against City. There were 43 defensive structures.”

“Every game is a different story” #afc
 
Ww leta stats zte hmu ndani🤠🤠🤠...ila sisi hatutegemei mtu mmoja kufunga mkuu....kaangalie kwny ligi Tano Bora duniani Arsenal ilifunga magoli mangapi kwa ujumla na ilikuwa ya ngapi miongoni mwa timu zilizofunga magoli mengi ndo utaelewa🤠🤠🤠....kama kuna timu zaidi ya Man City na Dortmund zilizotupita kwny hlo basi itakuwa maajabu sana😅😅😅....nyny bdo ni wadogo sana....ngoja tukutane hlfu tuwaoneshe kwmba nyny bdo ni watoto wadogo sana
 
TRANSFER

Rob Holding to Palace - "Here we go"

Player already undergoing medical ahead of 4m pound permanent switch

(@FabrizioRomano )
 
Mikel Arteta on the role Emile Smith Rowe will play this season:

"The same role as everybody else. To try to give his best, to try to make the team better."
#AFC
 
Mikel Arteta kuhusu O. Zinchenko:

"Ni mchezaji muhimu sana, lakini pia Jurrien. Alichokuwa akitupa katika michezo hiyo michache ya kwanza kilikuwa cha ajabu.

Lakini hayupo, kwa hivyo lazima tufanye kitu kingine." "Na ikiwa tutapata jeraha lingine, lazima tufanye kitu kingine. Na ikiwa Bukayo hayupo, tutakuwa na kitu kingine.


(Arsenal)
 
Former Man City defender Joleon Lescott on #Arsenal's Champions League draw:


“I think they’ll be confident of topping that group and going through. I’m confident in Arsenal winning that group to be honest…there’s not many challenges there. Again, variation in challenges, styles and atmospheres, but the way Arsenal have been playing I’d expect them to win that.”
 

Unaongea kama vile hapo top 4 umepazoea labda ngoja nikukumbushe tu kidogo 2016/2017 -5 , 2017/2018 - 6 , 2018/2019 - 5, 2019/2020 -8 , 2020/2021 -8 , 2021/2022-5 .

Kuna mwaka ulikua unapishana point 2 na Sheffield united ukaachwa na wolves point yaani kubahatisha this season unataka kuwakata wenzako yaani una miaka 2 mfululizo unashika nafasi ya 8
leo sehemu yako pendwa unaikata na washikaji zako kina wolves unawakana .

Usijifiche kwenyewe suala la kutotoa hela hilo si kweli kabisa kina auba, mustafi , sanchez, ozil ,xhaka na pepe wote hawa mmetoboka pesa ndefu .

Newcastle imefungwa na man city na liverpool timu ambazo hutakaa upate matokeo yoyote this season , atleast hata Newcastle tukikutana na city tunaonyesha uhai sasa wewe emirates umekula 3 ukaenda etihad ukala chuma 4 na hapo ulikua umejipachika jina la title contender
hata draw tu kwa city ulishindwa kupata.
Hizo points3 ziliwafikisha wapi?

Emery mlimbania hela akajikaza kawafikisha europa fainali na pesa kiduchu . Huyu teta wenu hela nyingi lakini hakuna cha maana mlichofanya zaidi ya matumaini bandia anayowapa kila siku.
 
Umesema mwenyewe Emery kabaniwa kupewa pesa 🤠 🤠....Pepe alimleta nani🤠🤠🤠...halafu kipindi sisi tunashika hzo nafasi za sita nyny mlikuwa mnashika ya ngapi mkuu🤠🤠🤠....unaweza ku compete na beki ya kina Mustafi....mbona unaongea kama ulikuwa sio mwenzetu kipindi kile tukiteseka wte....Aubaumeyang...kina Ozil...sijui Xhaka...unawaxgezesha ndani una Maitland Niles na Mertesacker unategemea uchukue ubingwa🤠🤠🤠....inaonekana kumbe nabishana na mtu ambaye hajui lolote kuhusu mpira....Man City amenifunga mwaka jana ni kwli kabisa....kwni mwaka huu ufunguzi wa ligi matokeo yamekuwaje mkuu🤠🤠🤠....na nyny mlocheza nao watu mmepumzika wiki nzima...wenzenu wamepumzika siku moja na bdo mkalambwa...nani ni kilaza hapo🤠🤠🤠....halafu hao Livakuku wanapewa red card kipindi cha kwanza na tyri unaongoza halafu mpira unaisha ukiwa umebiduliwa tyri...na ww unajiita competitor🤠🤠🤠....narudia tena ukimaliza top 4 mwaka huu katambike...na UEFA ukivuka hatua ya makundi tutaweka kwny ajabu la nane la Dunia....nyny bdo watoto wadogo sana🤠🤠🤠
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…