Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,108
- 3,192
Sasa ww una nini mkuu....mbona unazungukazunguka sana....nimekuuliza ww umeshinda ubingwa wa ligi mara ngapi tangu mpira uanze kuchezwa Pale Uingereza...halafu ww mara ya mwsho kucheza UEFA ni lini...na ulifika wpi....jibu hyo maswali ndo tuendelee...mi nimeshawahi kucheza fainali ya UEFA na Europa zte nikafungwa....ww tangu klabu imeumbwa umewahi kucheza fainali ya UEFA au Europa
Mimi sina chochote na wewe huna chochote utofauti tu wewe umeshiriki zaidi ya miaka 20 hakuna ulichokipata tofauti na mimi ambaye nipo mwanzo wa kukitafuta na kukipata.
Akili ya losers siku zote ni kushindwa yaani unafurahia kucheza fainali zote ukafungwa.
Kuna ile movie yenu yenyewe inaonyeshwa jinsi mlivyo “ALL OR NOTHING “ kati ya hivyo viwili mlipata kipi kama sio NOTHING