arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Kaangalie stats za probability walopewa nafasi ya kufika mbali kwny michuano hii kwa Sasa halafu ndo tuongee vzuri...tumia smartphone yako vzuri mkuu🤠🤠🤠....mmeanza na mechi ngumu sana Ligi kuu sitaki kuwa judge ila kuanzia Sasa kwenda mbele tuone huo mpira wenu wa kukimbiza upepo🤠🤠🤠...nyny bdo watoto wadogo sana....EPL huwezi kubeba na kile kikundi chako cha amapiano🤠🤠🤠....kwmba Almiron na Gordon wakupe kombe sio....ww bhana level zako ni zilezile tu... Brentford huko...kina Sheffield na wenzie Wolves....hao ndo masela wako Sasa....bdo hujafika level za kukaa na kuzungumza na wakubwa....narudia bado sanaWewe uefa upo level za team gani? Nijibu tu team 2 ambazo upo level moja nao UEFA nipe na vigezo 2 tu.
Top 4 tupo pale kwa miaka 20 ijayo with EPL trophies na sio kama nyinyi 0 trophies kwa 20 years.