Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenye mpira wao wanasema Arsenal anapewa nafasi ya 4 kubeba , yaani anaweza kufika nusu au fainal kabisa


Sasa jiulize manjesta ambao mna Eriki Seven hag mbona wanawaona Kama wasindikizaji


Hujiuliz Why Arsenal hajacheza muda mrefu lakin yupo Pot 2


Ulishajiuliza Hilo swali
 
Top scorer wa muda wote kwa timu ya taifa ya England U21.

Kwa mara ya kwanza ameitwa senior team. Ili wiki ikamilike vizuri siku ya jumapili afanye jambo.
 
Daaahhh Masingeli kwa kupenda kwako kujitoa ufahamu ndio unasababisha timu ikiboronga wenzio wanakujia juu humu.
Haohao wenye mpira wao ndio walisema Arsenyo msimu ulioisha atachukua Epl, haya tuonyeshe hilo kombe la Epl ambalo wenye mpira wao walisema mtachukua?
 
Mimi naweka kumbukumbu sawa

90% ukiwepo wewe mlisema hatuingii top 6

Lakin kushinda no.2 mkadai tumefeli


Hamuoni nyie Ni wanafiki na matapeli ?


Nilisema tutapigania Ubingwa EPL na alikuwa hivo


Msimu huu tutapigania Ubingwa EPL na UCL

Na kile kikombe ambacho 7hag amejifichia tutakitolea macho ili akose kichaka
 
| Eddie Nketiah:


"Siku zote mimi hujaribu kufanya mazoezi kama mnyama na kujitolea kila wakati iwe ninacheza au la.

Hiyo ndiyo mentality niliyo nayo. Ninafanya mazoezi kwa nguvu kwa sababu nadhani ukifanya mazoezi vizuri mara nyingi huakisi kwenye mechi.

Ndivyo ninavyotazama soka na maisha. "Inabidi ujaribu kubadilisha hali yako kwa kufanya kazi kwa bidii na kuonyesha ubora wako.

Hiyo ndiyo mentality niliyonayo na nimekua nayo siku zote, nilipokuwa nakua ....
 
Flano na Genge lake wanajiuliza mbona hawajacheza miaka 7 Lakini wanapewa nafasi kuliko manjesta ya tapeli 7hag

Mbona wamewekwa Pot 2


 
wewe kila siku hoja yako ni hiohio tu mlisema hatuingii top 6.
Wewe wenyewe ulisema Man Utd haingii top 4 kwa pila lake la papatupapatu vipi hatukuingia?
Vipi mechi ya jumapili kauli mbiu yako itakua ni ileile ya "mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea" au umekuja na kauli mbiu mpya?
 
Eddie’s mentality is elite. Every time he’s doubted, he comes back stronger. Never complains. He deserves his flowers.
 
Mbona ipo Waz kuingia top 4 mlipigania had mechi 2 za mwisho sababu ya upuuzi wa Newcastle ,

Kihalisia hamkustahili kuingia Top 4

Ndio Maana mliposema nyie Ni title Contender niliwaambia Hakuna title Contender wa Pira makande , kufika February ,7hag akatupa taulo


Mech ya Jumapili sio Pre season


Tutawapiga Kama Ngoma


Kama Kuna watu wanaogopa kuwaambia ukweli ,Mimi nitawaambia ,Mimi ni Jeshi


Manjesta tukiwafunga 3-0 ,tutakuwa na huzuni


Mtapigwa msako Hadi mseme Bei halisi ya tapeli Anthony masebene
 
Bila kombe ni upumbavu tu this season kipaumbele ni EPL no excuse ya kusema kuwa target yetu ilikuwa ni TOP 4 na Champions league angalau quarter final sio haba!
 
Bodi ya Uefa kuwaweka Arsenyau Pot2 malengo ni kuwarudisha mapema mkacheze futuhi, hio wala haihitaji rocket science kuelewa ndugu yangu Masingeli.
Kwa kocha wenu yule nawaona mkiishia makundi


Wengi wanawaonea aibu kuwaambia ukweli

Mimi nitawaambia hata mnichukie,mm ni Jeshi


7hag Hakuna kocha na Jumapili tutawapiga msako had aseme alimnunua Anthony masebene kwa Bei gani
 
Bila kombe ni upumbavu tu this season kipaumbele ni EPL no excuse ya kusema kuwa target yetu ilikuwa ni TOP 4 na Champions league angalau quarter final sio haba!
Arsenal msimu huu anaenda kupigania ubingwa EPL na UCL

Na lile Carabao energy drink cup tutalitolea macho

Bado sijaona timu ya kutusumbua UCL Zaid ya Mancity
 
charles_watts:

"Sitakaa hapa sasa hivi na kusema hakuna nafasi Arsenal itasajili mtu yeyote."

"Kumekuwa na nyakati nyingi, hata wakati [Takehiro] Tomiyasu aliposaini, siku hiyo hakuna kitu kilichotarajiwa na kisha ghafla, Tomiyasu alisaini siku ya mwisho ya dirisha."

"Ninarudi wakati Thomas Partey aliposaini, niliingia katika siku hiyo ya mwisho nikifikiri Arsenal haitafanya chochote, huo ndio ujumbe tuliokuwa tukipata(kutoka ndani ya Arsenal), kisha wakaenda na kumsajili Thomas Partey."

"Huwezi kamwe kukataa na ikiwa nafasi nzuri itatokea, ambayo Arsenal itaangalia na kufikiria kwamba inatupa kifaa kizuri kwa msimu, basi wanaweza kufanya hivyo."


(YT via tbr)
 
England Core

Aaron Ramsdale,

Bukayo Saka

Declan Rice,

Eddie Nketiah has also been included in the England squad for the first time.

Congratulations, @EddieNketiah9!
 
Huyo Masingeli somtym anakuaga amelewa, anakwambia wanacheza mpira mzuri eti ndio kigezo cha kushinda mechi?! Seriously??
Kwani babu Wenger alikua ancheza mpira mbaya, kwanza wenger alikua anaupga mwingi kuliko hata huyu failure master class. mbona hakuchukua hiyo UEFA.
 
Timu ikipangwa pot 2 inamaanisha haitapangwa na timu iliyokuwa pot 2 timu zitatoka pot 1,3, na 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…