hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,400
- 26,952
Umewahi kuona Rashford kafunga 30 goals kwa msimu??
Arteta hatokuja kudevelop mtu kufika level hii.
Mna bahati Maino kaumia, huyu alikua anakuja kuonyesha nini maana ya Rodri- pro max. Tusibishane hadi arudi
Rashford ameanza kufanya vizuri na kurudi default settings toka kwa Mourinho
Mwaka Jana Rashford alikuwa kwenye Form ya maisha ,kwasasa amerud kwenye default settings,tegemea Sasa kuona sura halisi ya tapeli 7hag
7hag kashamkuta Rashford ana cheza hivo hivo
7hag hawez develop talent Kama hizi
Hawez tengeneza a world class RW and LW wingers in the world
Ndio Maana tunaona anatumia €100m anasajili tapeli yule mpanda mpira