Sijamaimd mkuu mm nawekaga kumbukumbu sawa ,maana most ya fans humu wengi Wana uwezo mdogo,Daaahhh kwa hio umemmind mshikaji kisa kusema tu Anthony masebene Ni mchezaji mzuri?
Masingeli punguza wivu kwa winga letu la boli Antony Matheus dos Santos
#Arsenyo Kondoo
#Harvez KiatuView attachment 2733762
Sijampiga marufuku mtu asee usinipakazie
Nilimpiga marufuku jamaa mmoja mamluki anasema yeye Ni Newcastle kahama Arsenal, halafu hana hoja
Mimi kwa hapa bongo nakaa na Ambangile , wewe mwenyewe unalijua Hilo
Tatizo humu Jf fata upepo wengi
Wewe mwenyewe shahidi mangapi niliwaambia kule jukwaan kwenu Leo mnaona aibu mmebaki mnamsifia 7hag kwa unafiki
Juz mashabiki wa manjesta wamemuandama Sana Ambangile wakamchukia sababu amesema 7hag Hana Talent ID,Hana playing style, hajui kusajili ,hizi hoja nilijadiliana nae mwaka Jana ,akasema ni kweli ngoja ampe muda 7hag, Sasa hivi mashabiki wa manjesta wanamchukia
Hapa bongo makanjanja wengi , wachambuzi nguli wachache
Usione humu naenda kinyume na 90% Ni sababu wengi uwezo wa kufikiri na kuchanganua mdogo
Nakupa
Mtu anakwambia mudrky Ni zaidi ya Martinelli,Tena anabisha ukimpa fact anasema analazimishwa kukubali
Haya Arsenal wamekataa swap na Mudrky kwa mchezaji ambaye ni sub ,means huyo mudrky hafai hata kukaa sub Arsenal
Huo Ni mfano tu ipo mingi
Sina udikteta mkuu , most of our fan base haijui soka ,daaahhhh aiseee sawa Pundit letu la taifa, mimi mwenyewe hua nakukubali kimyakimya, ila Masebene ukipunguza udikteta na Unazi nakuona kabisa una kitu utafika mbali.
Ww hujui kitu mkuu...hujui...ulikuwa unamsifia sana Mount sasahv povu linakutoka kama lote kumlaumu mwamba bila kukubali tatizo ni 7 hag a.k.a baba ubaya..yule ndo shida pale
Safi kabisa maana sisi mashabiki wa United hatutaki mue na sababu yoyote ya kujitetea baada ya kupewa kipigo cha mbwa koko kutoka kwa vijana machachari wa 10 Hag.
Mkuu usije tu kubadili manenoSafi kabisa maana sisi mashabiki wa United hatutaki mue na sababu yoyote ya kujitetea baada ya kupewa kipigo cha mbwa koko kutoka kwa vijana machachari wa 10 Hag.
Ila Arsenyau hua hamkosagi sababu za kujitetea, hio Jumapili mkifungwa lawama zote atabebeshwa refa pamoja na VAR ila mashabiki wachache wa Arsenal wenye kujielewa wanajua kabisa tatizo hapo ni Arteta na huyo Kai wake.
MkuuSafi kabisa maana sisi mashabiki wa United hatutaki mue na sababu yoyote ya kujitetea baada ya kupewa kipigo cha mbwa koko kutoka kwa vijana machachari wa 10 Hag.
Ila Arsenyau hua hamkosagi sababu za kujitetea, hio Jumapili mkifungwa lawama zote atabebeshwa refa pamoja na VAR ila mashabiki wachache wa Arsenal wenye kujielewa wanajua kabisa tatizo hapo ni Arteta na huyo Kai wake.
Hata mbadili wamiliki mara 10 as long as baba ubaya ni kocha bdo mtakuwa mnarukaruka tu uwanjaniYule double Agent hana baya, kazi yake kubwa aliyopewa na Sheikh Jassim pale Man Utd ni kuhakikisha anawataabisha mashabiki mpaka wamng'oe Glazzer.
Wewe hujui mpira na mafumbo yako kama demu.. umekalia majungu tu mpira huujui kenge wewe!Arteta Leo akiwa mazoezini,halafu anatokea mtu mmoja mla mihogo yupo ikwiriri anataka Mikel apange kwa kumsikiliza yeye