Arteta ana mataji matatu10 Hag yule ni kocha wa ball level moja na Pep, ndani ya msimu mmoja tu tayari ametupea kombe, nyinyi Arteta amewapia nini kwenye msimu wake wa kwanza? ndani ya miaka yake minne hapo emirates zaidi ya mwanaFA na kudanganywa na fezi mna nini kingine?
Kinachoendelea Man Utd hivi sasa ni hujuma tu za waziwazi ili kumlazimisha Gilaza auze timu.
Tumia akili Masingeli, punguza unazi ndugu yangu
#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Subiri matusi kutoka kwa chawa wa Arteta, wenye leseni ya ukocha aliefundisha timu ya mpira.. atakuambia wewe hujawahi hata kufundisha timu ya chekechea.angalizo ;kwa sasa arteta asithubutu kuwaanzisha kai na ode kama namba 8 wawili mana mmja atamuingilia mwenzie kwenye role yake na atakuwa mzururaji tu.
Kama wewe jamaa kujibiwa Ni matumizi ya MBkweli kabisa kuna ID huwa anajisuport mwenyewe mana unakuta mtu anamsaport kw kitu cha kipuuzi, kitu hata mtoto mdogo hawez kusuport, unajiuliza anaesuport zimetimia kweli??!
Hivi wewe huoni kama una tatizo? Kila wakati unajizungumzia 'wewe' 'wewe' wtf.Mimi na Baadhi wachache tulipinga ,mwisho wa siku nan alishinda?
Kule jukwaa la manjesta nilisema waziwazi Anthony masebene Ni mchezaji wakawaida Sana na 7hag Ni kocha Kama David Moyes ,nilipingwa na 99%
Leo wanagapi wanaungana na nilichosema?
Kule jukwaa la Chelsea had mlinichukia nilisema toka pre season timu yenu ni mbovu , na mtakuwa mnashinda Kama binary Number
Nini kilitokea ?12th
Sasa ndio ujue Mpira sijaujulia kwenye mabanda ya kubeti
Mkuu wazo lako Ni zuri Sana ,lakin kuweka kumbukumbu sawanketiah jpo simkubali kivile ila mechi ijayo inabidi arteta amuanzishe mana yuko form kwa sasa kwenye kufunga kulinganisha na washmbuliaji wengine.
angalizo ;kwa sasa arteta asithubutu kuwaanzisha kai na ode kama namba 8 wawili mana mmja atamuingilia mwenzie kwenye role yake na atakuwa mzururaji tu.
Like wewe na wengine kunizungumzia MimiHivi wewe huoni kama una tatizo? Kila wakati unajizungumzia 'wewe' 'wewe' wtf.
Wewe ni nani?
Tutajie timu yako uliyofundisha mchambuzi nguli.Sidhan kama.umewahi hata kufundisha timu ya kanisa
Mimi sina, naomba nione ya kwako.Onesha lesen yako kwanza
Ndio umeandika nini sasa we jamaa.Yaan unakereka kujizungumzia Mimi, ila kuzungumziwa hukereki
Mimi Sina ndio maana huwez kuona na questions tactics za MikelTutajie timu yako uliyofundisha mchambuzi nguli.
Mimi sina, naomba nione ya kwako.
Naona unakereka Mimi kujizungumzia, punguza chuki ukiona nakukera unapita comment zangu kimya kimya ,jifunze kwangu Kama mtu anakukera sio lazima umuandame au kumshambulia haikusaidii kituNdio umeandika nini sasa we jamaa.
Subiri matusi kutoka kwa chawa wa Arteta, wenye leseni ya ukocha aliefundisha timu ya mpira.. atakuambia wewe hujawahi hata kufundisha timu ya chekechea.
United is the only club that have beaten Arsenal the most in history.Jumapili inatakiwa upigwe msako wa maana , mashabiki wa nyumbu waone hili jukwaa kituo Cha polisi
Ww hujui kitu mkuu...hujui🤠🤠🤠...ulikuwa unamsifia sana Mount sasahv povu linakutoka kama lote kumlaumu mwamba bila kukubali tatizo ni 7 hag a.k.a baba ubaya..yule ndo shida paleMasingeli mwenyewe anajikubali kinoma, anajiweka level moja na mapundits kama Paul Merson, Danny Murphy, Martin Keown, Garry Neville, Dion Dublin, Chriss Wadie, Mark Lawrenson na Peter Drury.
Huku bongo anasema kidogo George Ambagile ndio wanaweza wakakaa pamoja wakajadiliana kuhusu mpira, ila watu wengine wote hapa bongo hakuna anaejua mpira, halafu ukimpinga kwa hoja anakuambia una wivu unamfatafata sana anakupiga na marufuku kabisa usimquote, akikuhurumia sana atakwambia "wewe jamaa kujibiwa Ni matumizi mabaya ya MB"
#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Sijampiga marufuku mtu asee usinipakazieMasingeli mwenyewe anajikubali kinoma, anajiweka level moja na mapundits kama Paul Merson, Danny Murphy, Martin Keown, Garry Neville, Dion Dublin, Chriss Wadie, Mark Lawrenson na Peter Drury.
Huku bongo anasema kidogo George Ambagile ndio kidogo wanaweza wakakaa pamoja wakajadiliana kuhusu mpira, ila watu wengine wote hapa bongo hakuna anaejua mpira, halafu ukimpinga kwa hoja anakuambia una wivu unamfatafata sana anakupiga na marufuku kabisa usimquote
#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Tunawasubiri j2 mkuu🤠🤠🤠United is the only club that have beaten Arsenal the most in history.
United is the club that inflicted Arsenal their biggest defeat in history
United is the club with most wins against Arsenal in their home ground.
Loyal wives since 16BCView attachment 2733756
Subiri Jumapili Kama utaleta ngonjera humuUnited is the only club that have beaten Arsenal the most in history.
United is the club that inflicted Arsenal their biggest defeat in history
United is the club with most wins against Arsenal in their home ground.
Loyal wives since 16BCView attachment 2733756