Arteta yupo sana🤠🤠🤠...na ninachokiona Emile Smith Rowe atabaki na Gabriel naye atabaki....tumecheza mechi tatu tu za msimu....si Kila mtu atacheza...tuna michuano mingi safari hii...mingi mno...Kila mtu atapata dakika za kutosha....mbona David Raya watu hawalalamiki hachezi mechi ya pili hii...Kai will deliver with time....j2 tunaanza kushinda mfululizo huku watu wakitoka na possession ya 80% kwa 20%🤠🤠🤠....kuna mtu mwingine mmoja atasajiliwa kabla ya dirisha kufungwa.....nahisi on deadline dayArteta hawez kufukuzwa ,kwanza pale Emirates Kuna banner na anaimbwa daily
Ni mashabiki wenye mihemko tu wanaoongea mitandaon ambao hawana effect yoyote
Siku Arteta akielekea kufukuzwa nitakwambia pale utakapoona tunacheza Kama Erik 7 hag,ukiona Arsenal tunacheza Kama hivo mapema tu safari inamuhusu
KSE wamemuamini ,unajua katika bodi ya Arsenal ,alikuwa anaingia Arsene Wenger ,na Sasa anaingia Arteta ? Unajua ana maamuzi kwenye bodi ya Arsenal Tena makubwa pamoja na kwenye timu
Akitaka mchezaji fulan awepo anabaki, e.g Elneny
Unajua bodi karibu yote ilitaka Auba asamehewe akiwepo Edu, Arteta akagoma na akasikilizwa
Sasa wewe endelela kulalamika mitandaoni apange unavyotaka wewe ,Mara oho atafukuzwa
Hata Wenger hakufukuzwa ila mashabiki tulimchoka tukitaka sura mpya
Siku Arteta ukiona anacheza Kama manjesta Basi atajiuzulu
Mkuu hawa wapiga kelele wapotezee kama huwajui watakuumiza kichwaArteta yupo sana...na ninachokiona Emile Smith Rowe atabaki na Gabriel naye atabaki....tumecheza mechi tatu tu za msimu....si Kila mtu atacheza...tuna michuano mingi safari hii...mingi mno...Kila mtu atapata dakika za kutosha....mbona David Raya watu hawalalamiki hachezi mechi ya pili hii...Kai will deliver with time....j2 tunaanza kushinda mfululizo huku watu wakitoka na possession ya 80% kwa 20%....kuna mtu mwingine mmoja atasajiliwa kabla ya dirisha kufungwa.....nahisi on deadline day
SafiMudrky plus
For Emile Smith Rowe
Arsenal say NO
Acha kujitekenya mwenyewe, tupe source? Ifike mahali mumove on kw Mudryk, tunajua aliwaumiza nafsi zenu ila mwacheni kijana wa watu yeye katulia ila nyie ndio manateseka.Mudrky plus
For Emile Smith Rowe
Arsenal say NO
Wao walijifanya wajanja kututibulia Hilo dili kipindi kile halafu leo wanataka tubadilishane nao...Kila mtu abaki na matatizo yake🤠🤠🤠Safi
Bakini na Mudi wenu🤠🤠🤠...hatumtakiAcha kujitekenya mwenyewe, tupe source? Ifike mahali mumove on kw Mudryk, tunajua aliwaumiza nafsi zenu ila mwacheni kijana wa watu yeye katulia ila nyie ndio manateseka.
Halafu naona unaforce kuwa chelsea inataka wachezaji kutoka Arse88, ulianza kwa Balogun now umehamia kwa Rowe? Wapumzishe kondoo wako kw habar zako za kutunga.
Wao walijifanya wajanja kututibulia Hilo dili kipindi kile halafu leo wanataka tubadilishane nao...Kila mtu abaki na matatizo yake
Mbona tunafanya huu ujinga wa kukataa?Mudrky plus
For Emile Smith Rowe
Arsenal say NO
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbona tunafanya huu ujinga wa kukataa?
Chukua huyo flop Muddy na mshiko. Anakuja huku kwetu, anaimprove anakuwa balaa zito. Peleka ESR kule, anaflop haraka sana anapigwa bench. Next season tunaemchukua tena Kwa 5m. Tunajikuta tuna ESR, Muddy na mshiko. Arteta na Edu wataanza kuwa na akili lini hamis77 ?
Wapi umeona tunataka tumuuze Mudryk kama sio story za vijiweni Mc masingeli anawaletea humu, halafu wewe pekee ndio umegoma kushtuka na story za Masingeli.Bakini na Mudi wenu🤠🤠🤠...hatumtaki
Wao walijifanya wajanja kututibulia Hilo dili kipindi kile halafu leo wanataka tubadilishane nao...Kila mtu abaki na matatizo yake
Mumuuze wapi🤣🤣🤣....mnataka kufanya barter trade na sisi....hatutaki🤠🤠🤠....bakini na Mudi wenu....Wapi umeona tunataka tumuuze Mudryk kama sio story za vijiweni Mc masingeli anawaletea humu, halafu wewe pekee ndio umegoma kushtuka na story za Masingeli.
Taratiibu tunaanza kuelewana.Kai atacheza na atakaa bench vilevile ,
Kabisa...Chelkenge Wana matatizo mengi sana pale....Mudi, Reece James, stelingiiii, galaghaaaaa, full beki minywele yule namba tatu.....yaani hayo yote ni matakataka...sisi wenyewe tumeyaondoka matatizo mawili. Bdo matatu...holding, Cedric, Pepe ....halafu watulaghai tena kutupa Mudi....tumegoma🤠🤠🤠🤠Ata me navoona kila mtu abak na ya kwake matatizo tu asee…
Kabisa...Chelkenge Wana matatizo mengi sana pale....Mudi, Reece James, stelingiiii, galaghaaaaa, full beki minywele yule namba tatu.....yaani hayo yote ni matakataka...sisi wenyewe tumeyaondoka matatizo mawili. Bdo matatu...holding, Cedric, Pepe ....halafu watulaghai tena kutupa Mudi....tumegoma