Mechi 38Hujanielewa; Ukweli unasemwa. Ukicheza vizuri tutasema na kukupongeza, ukicheza hovyo tutakusema. Last season there was a time Partey alikuwa hovyo, tulimsema. Sasa hivi anacheza vizuri tunampongeza. Sisi sio makondoo.
We call a spade a spade not otherwise
We jamaa huelewi au? Ni kwamba akifanya vibaya anakosolewa akija kufanya vizuri anasifiwa. We ni fuata upepo kila anachofanya Arteta kwako wewe ni sahihi hata kama anakosea.Mlishaponda wachezaji wangapi walipofanya vzr mbona hatuoni mkikiri
Kai ataendelea kucheza daily
Hata Øde mlimuandama Sana humu
Leo mnamuimba
Mchezaji mzuri utamjua asubuhi au mechi za mwanzoni. Fabio Vieira is far better than HavertzSasa Mkuu tofauti ya Fabio amekuja kutoka ligue nyingine huko hajazoea na wala hajamaster mikikimikiki ya EPL tofauti na Havertz ambae Amekua EPL Mda mrefu sasa. Huyu Havertz hata kufungua kuomba mipira hafanyi, basi sawa hafungui kuomba mpira lakini hata kutunza basi mpira unaopewa hafanyi ni anapoteza tu mipira. Yaan ball control Jamaa Hana kabisaa na isitoshe anakimbia kimbia tu na kujificha kwenye kivuli cha mabeki.
Check Mtu kama Declan Rice unaona kabisa Jamaa ambitions na fighting aliyonayo. Why Havertz? Kifupi kwa mechi ya jana, mimi nasema Havertz katugharim ni kama tulikua pungufu tu
Nisikie nikusaidieHata Fabio Vieira walisema atolewe mkopo au auzwe ,now Kama hawapo vile
Wanatokea pale anapokosea
Chelsea tulimpa miaka mitatu, kila kocha aliyekuja alimuamini, sijui ana sura nzuri!Kai havet apewe mda
Hatukatai ,tunataka response hiyo hiyo na wanapofanya vzr ,unaweza kuniambia Kai Jana kakosea kitu ganiWe jamaa huelewi au? Ni kwamba akifanya vibaya anakosolewa akija kufanya vizuri anasifiwa. We ni fuata upepo kila anachofanya Arteta kwako wewe ni sahihi hata kama anakosea.
Na shabiki mzuri ni huyo anayesifia kocha au mchezaji akifanya vizuri na kumkosoa akifanya vibaya.We jamaa huelewi au? Ni kwamba akifanya vibaya anakosolewa akija kufanya vizuri anasifiwa. We ni fuata upepo kila anachofanya Arteta kwako wewe ni sahihi hata kama anakosea.
Hata sikupingiKai ni mzuri kidogo kwenye wide winger, no 10 au atatcking midfield ila msimpe majukumu ya kukaba kwa ukonokono wake ule. Ila hata kwenye hiyo best position bado Kai anafaa kuwa kwenye timu ambazo hazigombei makombe makubwa
Bado Trossard Jana hakuwa vzr ,thus why mm napenda kumuona akitokea benchNisikie nikusaidie
Watu (fans) wa arsenal wanaolaumu wachezaji wao they dont do it out of nowhere
mchezaji anapopata nafasi anapaswa kuonesha ubora wake au nn anaweza kufanya kuisaidia timu so far Kai amecheza mechi zote 3 lakini hata kama hujui mpira unashindwa kuona mchango wake ktk timu
cheki alivyoingia jogihno au zinny angalia walivyokuwa wanapiga forward pass hicho ndicho tunachokitaka ss mashabiki tuone impact ya kila player wetu.
Angalia timber amecheza mechi 2 tu lakini anakupa matumaini as a fan
Nijibu hapa unawezaje kumtoa trossard ambaye yuko form unamwacha Kai ambaye bado haja fit in ??am sure kama trossard angeendelea kuwepo tungewin
Kai anahitaji muda kocha anabidi aelewe hicho kitu au ambadilishie position au tumepigwa yote yanawezekana
Odegard ni bonge la player
Martineli ana mechi na mech
Saka asicheze dkk 90 atafutiwe challenge
Patey kukaa beki ni ufalaa
Kai havet apewe mda
Trosad aingie sub ndo anakuwa mtam
Nketiah ana kitu apewe nafasi
Ramsdale apewe likizo kidogo
Arsenal iache utoto, iache kucheza na refa.
Kumove on kwa Kai?! Kwa kua alikua bora sana au? Ungejua tulivyoshangilia kuondoka kwake, mana alikua anamakwazo mengi kuliko furaha.Hatukatai ,tunataka response hiyo hiyo na wanapofanya vzr ,unaweza kuniambia Kai Jana kakosea kitu gani
Shabiki wa kenge lakin umegoma ku move on kwa Kai
Mbona nyie mna wachezaji wa ovyo kina mudrky ,unahangaika na Arsenal ,wakati kenge mna mizigo yakutosha
Huyu ni aingie sub mpaka atakapokua physical au technical zaidiKitu gani huyu Fabio Vieira amemkosea Arteta?
Fábio Vieira hatambuliki. Anacheza aggresively na anatafuta mipira kwa juhudi kubwa. Anatoa krosi za ajabu, na jana alikuwa na assists moja japo msimu uliopita alipingwa sana na kidogo auzwe au atolewe mkopo. Mtumieni huyu badala ya Havertz
View attachment 2730152