Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kila timu mashabiki huwa wanatafuta mbuz wa kafara

Inachekesha Sana ,yaan Kai kupoteza pass inahusihana Nini na Fulham kupaki Basi


Inanikumbusha manjesta walikuwa wanasema pogba anazingua ,alipoondoka wakahamia kwa magwaya ,alipopigwa bench wakahamia kwa Degea , kaondoka wanatafuta mwingine ,kila mshabiki kakamata mbuzi wake


Nyie nyie mashabiki ndio mlikuwa mnasema asitumie 4-3-3

Leo mnasema Tena atumie 4-3-3


Mlimuandama Sana Fabio Vieira ,now mmekaa kimya
 
Fatilia Kwanini makocha kama Emery walifukuzwa

Emery alikuwa hana tofaut na anavyocheza Ten hag ,hakuwahi kuwa na playing style, mashabiki wakaandamana

Shida ya mashabiki wasasa wanataka Arteta arudi kwenye 4-3-3 kitu ambacho sio kibaya , coz Zinny amerejea na Ndiye huwa ni cheat code kwa 4-3-3

Kinachonichekesha mashabiki kutafuta mbuz wa kafara
 
Kai havertz ametugawa mashabiki
Hivi Jana Kuna magoli Kai alikosa?

Tatizo ni chuki tu Wala hakuna kingine

Hii tabia walikuwa nayo manjesta kwa pogba ,wanayo mpaka leo ,wameambukiza had huku


Kwann mtu asiwasifie Fulham kwakushikilia bomba
 
Hamis utakuja kuelewa baadaye sana.

Unamjua Douglas Costa? James Rodriguez?

Hiyo ni mifano miwili tu ya players ambao kocha alihisi kocha mwenzake hajui kumtumia mchezaji husika. Wapinzani wanatroll wanakuambia sasa hivi wapo 003
 

Kuna siku nilisema hapa, kuna watu wanamuabudu arteta
 
JF nzima peke yako unaona Havertz ni bonge la player JITAFAKARI
Sasa wewe aliyekuambia mm nafata mkumbo Nani

Mbona jf nzima ukiwepo wewe ulisema last season hatutaingia top 6 ,


Yaani unataka nifate mkumbo wa wengi ?
 
Ni mjinga tu atakayeamini Kai Havertz ana nafasi ya kuanza kikosi cha Arsenal ahead ya wachezaji waliopo kule mbele.. Hakuna Fluidity mbele akiwepo, ubunifu hafifu.. Wengi wanaomtetea Kai Havertz wanatumia tu historia yake alipokuwa Leverkursen kumlinda, lakini uhalisia wa anachokifanya kwa sasa Arsenal ni kuirudisha timu phase mbili nyuma ambapo tumeanza kusahau.. Kuna muda mpaka Declan Rice jana alianza kumind attitude za jamaa.
 
Sasa wewe aliyekuambia mm nafata mkumbo Nani

Mbona jf nzima ukiwepo wewe ulisema last season hatutaingia top 6 ,


Yaani unataka nifate mkumbo wa wengi ?
Uzuri wote team yetu tunaijua hali halisi ipoje let's wait hyo game ya Sunday Vs Manchester United Partey awe beki number 2 and Kai awe mzururaji utapotea humu JF Fernandez na Marcus Rashford watakavyofurahi kwa counter zao!
 
Hamis utakuja kuelewa baadaye sana.

Unamjua Douglas Costa? James Rodriguez?

Hiyo ni mifano miwili tu ya players ambao kocha alihisi kocha mwenzake hajui kumtumia mchezaji husika. Wapinzani wanatroll wanakuambia sasa hivi wapo 003
Kai anatumia Kiungo au false 9

Mm ni muumini wa 4-3-3 ya Double 8 ndan awepo Zinny

But kwasasa hatungeweza kucheza hivo Coz Zinny na Timber hawakuwepo

Wanaolaumu mfumo mfumo , hawaoneshi ubaya wa huo mfumo

Mm nafahamu Leno ,fabiansk,Martinez tukikutana nao wanakaza Sana ,

Hivi tungecheza kama manjesta je?

Ndio Maana nashangaa mashabiki wa manjesta wanaokuja humu , Arsenal kasare lakin huwez kusema tuna Hali mbaya

Mm napenda LCM wapokezane Rice ,Kai, Vieira ,Smith Rowe , Trossard kulingana na mechi

Hivi ni kweli Kai ndiye sababu ya kutoa sare Jana ?

Mbona Trossard hakuwa vzr , hata Martinelli bado hajaanza ku click ,why mbuz wakafara Kai ?

Hiki kitu ndio sikipend maana ni tabia za mashabiki wa manjesta na Chelsea,
 
Hata Fabio Vieira walisema atolewe mkopo au auzwe ,now Kama hawapo vile

Wanatokea pale anapokosea

Upo off point, tunachosema, Havertz is not fit to start, ajifue, akiwa fit tutam-support. Vieira is different from Havertz, kipindi hayupo fit , kuna vitu ulikuwa unaviona kwake sio hii takataka ya arteta - Havertz. Acha kuabudu, nadhani hata nafsi yako inakusuta.
I guess arteta atakuwa ameishapokea phone call kutoka kwa Edu na investor kuhusu hiyo takataka yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…