hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,385
- 26,948
Kila timu mashabiki huwa wanatafuta mbuz wa kafaraHuko mitandaoni kuna pass mbili huyo UHARO Kai alipewa akapoteza mpaka mtu unashangaa,ndio kimekuwa kibwagizo jinsi alivyo mpuuzi,halafu ukija JF unamkuta Hamis anakwambia ndio anasaidia ku-win eti mipira ya juu,ipi hiyo??yule Kai ni UHARO kama miharo mingine tu
Inachekesha Sana ,yaan Kai kupoteza pass inahusihana Nini na Fulham kupaki Basi
Inanikumbusha manjesta walikuwa wanasema pogba anazingua ,alipoondoka wakahamia kwa magwaya ,alipopigwa bench wakahamia kwa Degea , kaondoka wanatafuta mwingine ,kila mshabiki kakamata mbuzi wake
Nyie nyie mashabiki ndio mlikuwa mnasema asitumie 4-3-3
Leo mnasema Tena atumie 4-3-3
Mlimuandama Sana Fabio Vieira ,now mmekaa kimya