Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,790
- 4,284
Huyu kijana alifunga goli champions league final na kuwapa blues UEFA CL ya pili aheshimiwe ,mnamsakama kweli mpaka anakosa Raha.Kai mnamtumia vibaya huyu angebaki Chelsea hadi Sasa angekuwa katupia huyu.
Acha kusifia ujinga mkuu.
Ujinga wa Arteta kulazimisha kumchezesha Havertz ndio umesababisha mechi hizi 3 kucheze kwa tabu, kwanini?
- Kumchezesha Havertz ndo kunasababisha tucheze mfumo tunaocheza sasa ambao unamfosi Partey atokee LB, kitu ambacho kuwezi vuna the best out of him (Partey)
- Uwepo wa Havertz hauna faida kwa timu, he is too lazy to be an offensive midfielder. Na anafanya makosa mengi kuliko mazuri na yeye ndie anaeleta imbalance kwenye timu. Ukitaka kujua hilo angalia alivyoingia Fabio Vieira.
Arteta aache sasa kumlinda Havetz, akubali tu £60 mil ni nyingi sana na kaipoteza, pesa ambayo tungeweza kupata mbadala mzuri wa Saka, hapo namzungumzia Diaby/Kudus.