Arteta anataka acheze back 3 na inverted full back atakae enda kucheza kati na rice ni kama kule man city na stones na sasa ni akanji ila too bad beki za leo hizo 3 apart from saliba wengine ni presha sana
Wamemtoaje Chezaji la dunia Kai, bila kai tungeshakuwa tumefungwa goli nyingi mana anazuia mashambulizi kwa kupress, sasa ametoka naona tukifungwa la pili.