Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kweli mkuu, fikiria nje una Zinny na Magalhaes

Hata ku appeal kadi ya Tomiyasu,wamekataa

Hapo timber kaumia ,na ataongeza beki Tena kabla dirisha halijafungwa
 
Kuna mtu kaandika hivi



With Partey inverting inside from RB, the LB must be able to offer offensive qualities. Kiwior has shown he can invert inside, Tomiyasu is a natural fullback.

Gabriel is a centre back through and through.

He will return to playing when Zinchenko inverts from the left-hand side.
 
Mim saivi mchezaji akipata muda wa kupumzika sina tatizo kabisa, maana msimu ulioisha ilikua ni mwendo wa kauka nikuvae kuna wakati unafika wachezaji karibu wooote wako hoi.

now tuna wingi wa wachezaji wazuri nje na ndani na ukitaka kujua hilo kila kikosi kikitoma lazima kunakua na maulizo ya Why fulani hayupo
 
What is Havertz doing in that line up? Kwanini asicheze Rice hapo LCM then White arudi RB?
namna timu inavocheza saivi ;role ambayo arteta anampa partey ya kuwa inverted full back wa upande wa kulia kaona anaicheza vema zaidi ndio sababu hataki iyo nafasi acheze mwingine kwa sasa.
 
namna timu inavocheza saivi ;role ambayo arteta anampa partey ya kuwa inverted full back wa upande wa kulia kaona anaicheza vema zaidi ndio sababu hataki iyo nafasi acheze mwingine kwa sasa.
Gabriel hawezi kuanza kamwe kama inverting role inafanywa na RB
 
Gabriel hawezi kuanza kamwe kama inverting role inafanywa na RB
Unataka kusemaje yan?

Kwaiyo angekuepo Timber,Zinny asingecheza kwamwe?

Siku tukiwaona Partey kama LB na Zinny kama RB alafu Gabby asicheze utasemaje Hamis?

Na siku ukimuona Partey kwenye LB na Gabby kwenye CB utasema nin mzee?.
 
Hii idea ya partey kuwa inverted sijaipenda, na nimeipinga toka siku ya kwanza,
Nadhani tungeendelea tulipoishia msimu uliopita ingependeza zaidi.


Golila kwanza tumefungwa kipindi ambacho partey ana switch kwenda kwenye position CDM, saka anatoa boko, chini yupo saliba pekee against 2 kama sikosei,

Ben cheupe hakuwa inverted ila alikuwa ana msaada mkubwa sana upande wa kulia hasa kwenye kuoverlap.
 
Dk ya 14:30 huu mpira kama odergard alivyoporwa mpira asingecheza rafu,ingekuwa tabu, tayari partey alikuwa juu.
 
Naona arteta kaamka, GM6 alikuwa ana makosa mengi mnooo,wengine tulikuwa tukiyaona,watu wakasema ni sababu ya left-footer lazima acheze mfumo unahitaji hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…