Football chameleon. One team overcame 100 tactics, 120 different setupMsimu huu Arteta anataka kufanya kitu kitakua memorable for years
Itunze hii
Kweli mkuu, fikiria nje una Zinny na MagalhaesGM6 ni moja wa wachezaji waliocheza game nyingi sana mwaka jana na mwaka juzi Arteta anapata kiburi cha kumuweka nje kwa sababu anawigo wa machaguo mengi pale nyuma, kama ilivyo kwa saka akipatikana mchezaji mwenye angalau aslimia 70 ya anachokitoa Saka na yeye atapata muda wa kupumzika kidogo. Sina shaka kabisa na uwezo wa GM6
Kuna mtu kaandika hiviGM6 ni moja wa wachezaji waliocheza game nyingi sana mwaka jana na mwaka juzi Arteta anapata kiburi cha kumuweka nje kwa sababu anawigo wa machaguo mengi pale nyuma, kama ilivyo kwa saka akipatikana mchezaji mwenye angalau aslimia 70 ya anachokitoa Saka na yeye atapata muda wa kupumzika kidogo. Sina shaka kabisa na uwezo wa GM6
Mim saivi mchezaji akipata muda wa kupumzika sina tatizo kabisa, maana msimu ulioisha ilikua ni mwendo wa kauka nikuvae kuna wakati unafika wachezaji karibu wooote wako hoi.Kuna mtu kaandika hivi
With Partey inverting inside from RB, the LB must be able to offer offensive qualities. Kiwior has shown he can invert inside, Tomiyasu is a natural fullback.
Gabriel is a centre back through and through.
He will return to playing when Zinchenko inverts from the left-hand side.
namna timu inavocheza saivi ;role ambayo arteta anampa partey ya kuwa inverted full back wa upande wa kulia kaona anaicheza vema zaidi ndio sababu hataki iyo nafasi acheze mwingine kwa sasa.What is Havertz doing in that line up? Kwanini asicheze Rice hapo LCM then White arudi RB?
Gabriel hawezi kuanza kamwe kama inverting role inafanywa na RBnamna timu inavocheza saivi ;role ambayo arteta anampa partey ya kuwa inverted full back wa upande wa kulia kaona anaicheza vema zaidi ndio sababu hataki iyo nafasi acheze mwingine kwa sasa.
Unataka kusemaje yan?Gabriel hawezi kuanza kamwe kama inverting role inafanywa na RB
Japo kwangu kunateketea
Arteta kuna vitu anaforce vitamgharimu.What is Havertz doing in that line up? Kwanini asicheze Rice hapo LCM then White arudi RB?
Naona arteta kaamka, GM6 alikuwa ana makosa mengi mnooo,wengine tulikuwa tukiyaona,watu wakasema ni sababu ya left-footer lazima acheze mfumo unahitaji hivyoGM6 ni moja wa wachezaji waliocheza game nyingi sana mwaka jana na mwaka juzi Arteta anapata kiburi cha kumuweka nje kwa sababu anawigo wa machaguo mengi pale nyuma, kama ilivyo kwa saka akipatikana mchezaji mwenye angalau aslimia 70 ya anachokitoa Saka na yeye atapata muda wa kupumzika kidogo. Sina shaka kabisa na uwezo wa GM6