hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,400
- 26,952
Kuna mjadala unaendelea kuhusu kikos Cha leo
Tunataka kuwaona Zinny Partey Ødegaard Rice na Kai kwenye lineup
Lakin Kwa uchezaji wa Zinny huwa ana unlock ule upande wa kushoto
Ili wote hao wacheze ,Basi inabidi Kai aanze Kama CF means Nketiah atokee bench
Lakin Kuna Trossard ambaye amekuwa na kiwango kizuri akicheza LCM eneo ambalo kwasasa yupo Rice na Kai
Kwasasa itabid tukubali Kuna wachezaji tunaowapenda waanzie benchi , na urejeo wa Jesus ndio unazidi kuongeza matatizo
Nketiah amekuwa na kiwango Bora imefanya hata kocha ashindwe kumuweka bench
Wachezaji kama Trossard ,Smith Rowe ,David Raya wasubiri mechi za UCL
Binafsi natamani kuiona Arsenal ya 4-3-3
Yenye midfielders Partey Ødegaard na Rice Kama LCM, bado Arsenal hatujatumia hii midfielders ,waandishi walimuuliza Jana Arteta kuhusu hii midfielder, akasema aliitumia dhidi ya city tu, so soon tutaiona akiongezeka na Zinny ,
CF napenda kumuona Jesus ,but kwa game za away napenda kumuona Kai kama CF
Tunataka kuwaona Zinny Partey Ødegaard Rice na Kai kwenye lineup
Lakin Kwa uchezaji wa Zinny huwa ana unlock ule upande wa kushoto
Ili wote hao wacheze ,Basi inabidi Kai aanze Kama CF means Nketiah atokee bench
Lakin Kuna Trossard ambaye amekuwa na kiwango kizuri akicheza LCM eneo ambalo kwasasa yupo Rice na Kai
Kwasasa itabid tukubali Kuna wachezaji tunaowapenda waanzie benchi , na urejeo wa Jesus ndio unazidi kuongeza matatizo
Nketiah amekuwa na kiwango Bora imefanya hata kocha ashindwe kumuweka bench
Wachezaji kama Trossard ,Smith Rowe ,David Raya wasubiri mechi za UCL
Binafsi natamani kuiona Arsenal ya 4-3-3
Yenye midfielders Partey Ødegaard na Rice Kama LCM, bado Arsenal hatujatumia hii midfielders ,waandishi walimuuliza Jana Arteta kuhusu hii midfielder, akasema aliitumia dhidi ya city tu, so soon tutaiona akiongezeka na Zinny ,
CF napenda kumuona Jesus ,but kwa game za away napenda kumuona Kai kama CF