Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,820
- 8,500
Huyu jamaa Rasmus si anaruhusiwa kucheza dk 15 tu Kwa mechi sita? Ataweza pressing na overload zetu huyu? Acha masihara
Big up the big mindOya wadau Mimi shabiki wa Liverpool ila nawakubali arsenal kinyama kiufupi epl Nina timu mbili dadeki kazi nzuri arteta ynwa
Kitambi kama cha Roy Hodsonmm boss mkubwa tu, halafu ukute wewe ni dereva wangu hujijui tu, mm nafanya kazi za brain hasa ,na manage watu Kama 100 ,
Hapa na comment pemben yupo dereva wangu ,
Haya sema lingineView attachment 2725069
Masingeli usiwe unabisha hoja bila kuwa na uhakika! Tomy kakaa na mpira 8.8sec wakat Kai kakaa na mpira 8.2sec.Hujui mpira ,aliyekaa na mpira muda mrefu ni Kai
Na Spurs.Mkuu kauli mbiu ni ileile....Kila mtu abaki kwny matatizo yake...yle jamaa wa Nyukesto naona yupo kimya sana🤣🤣🤣....jana itakuwa alikuwa anaangalia mpira akiomba litutokee baya lolote aje kututolea mbovu humu....In short msimu huu maadui wameongezeka zaidi🤣🤣🤣...Wa Man u...wa Chesiiiiii....wa Liverkuku...wa Man shitty...wa Nyukesto yaani wanaomba tembo asipande juu ya mti tena
Si unaona mkuu? Yaani hicho ki Rasmus kikutane na lisaliba au ligabriel...daah. Nakionea huruma sana hiko kijamaa. Flano sometimes anapenda tu kuropoka ujinga, tunsamehe bure. Mara mia Masebene anaweza maana ligabriel linamsamehe mwananchi mwenzake. Na Yule Rashidi huwa wanamuachia apate kigoli mara moja moja maana ni muingereza na nyumbu wanavyopendwa na marefa, ukimtaiti sana unapewa red bila sababu. So tunamuachia kisiasa. Ila kale ka Rasmus.....nakaonea huruma Kwa kweliAtapandwa na Saliba mara mbili tu mgongoni kwny kupiga mipira ya vichwa...uti wa mgongo utastuka😅😅😅....ataomba kutoka na moja kwa moja watampeleka dressing room kufanyiwa assessment....tupo hapa
Masingeli usiwe unabisha hoja bila kuwa na uhakika! Tomy kakaa na mpira 8.8sec wakat Kai kakaa na mpira 8.2sec.
Halafu mshukuru mlipewa mbeleko y penalt na pia Palace wakanyimwa penalt lasihivyo tungekua tunaongea mengine, hapa utaanza kutuletea takwimu zako uchwara utafikiri mpira ulikua unaangalia peke yako na chawa wako arsenal2004
Mpe tu ukweli kuwa wao ni tawi letu.Habari za kuitana machawa zinakujaje Sasa😅😅😅...mbona mnaanza Kuni attack personally Sasa...mnataka tufanane mawazo wte hmu ndani au😅😅😅....umeona mpira alopiga Martinelli jana mkuu au bdo unamfananisha na kile kituko chako Mudirikiiii😅😅😅....siku zte Tapeli lazima na yy atapeliwe....na bado mnamtaka Balogun mtaitapika 50 tusawazishe score😅😅😅...msimu mwingine huu mjiandae kutupa point 6 tawi letu
Masingeli usiwe unabisha hoja bila kuwa na uhakika! Tomy kakaa na mpira 8.8sec wakat Kai kakaa na mpira 8.2sec.
Halafu mshukuru mlipewa mbeleko y penalt na pia Palace wakanyimwa penalt lasihivyo tungekua tunaongea mengine, hapa utaanza kutuletea takwimu zako uchwara utafikiri mpira ulikua unaangalia peke yako na chawa wako arsenal2004
Chawa pro max wa Mc masingeli 😃😂😂😂Habari za kuitana machawa zinakujaje Sasa😅😅😅...mbona mnaanza Kuni attack personally Sasa...mnataka tufanane mawazo wte hmu ndani au😅😅😅....umeona mpira alopiga Martinelli jana mkuu au bdo unamfananisha na kile kituko chako Mudirikiiii😅😅😅....siku zte Tapeli lazima na yy atapeliwe....na bado mnamtaka Balogun mtaitapika 50 tusawazishe score😅😅😅...msimu mwingine huu mjiandae kutupa point 6 tawi letu
🤠🤠🤠Chawa pro max wa Mc masingeli 😃😂😂😂
mm boss mkubwa tu, halafu ukute wewe ni dereva wangu hujijui tu, mm nafanya kazi za brain hasa ,na manage watu Kama 100 ,
Hapa na comment pemben yupo dereva wangu ,
Haya sema lingineView attachment 2725069
Atapandwa na Saliba mara mbili tu mgongoni kwny kupiga mipira ya vichwa...uti wa mgongo utastuka....ataomba kutoka na moja kwa moja watampeleka dressing room kufanyiwa assessment....tupo hapa
Hahaha mzee anza hata jogging za kuzugiamm boss mkubwa tu, halafu ukute wewe ni dereva wangu hujijui tu, mm nafanya kazi za brain hasa ,na manage watu Kama 100 ,
Hapa na comment pemben yupo dereva wangu ,
Haya sema lingineView attachment 2725069
Na mpango huo aseeHahaha mzee anza hata jogging za kuzugia