Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkipata hata point moja kwetu msimu huu niulizwe Mimi😅😅😅...na watu wetu ndo wanarudi Sasa....jana Georginho masta...Kiwior na Zinchenko kuna kipindi zilipigwa pasi pale kati hdi Palace wakawa wanajiuliza wanakosea wpi 😅😅😅...Kiboko yenu Zinchenko karudi....maji mtaita mma na ile midfield yenu siku hyo....tukicheza na nyny hatuweki kipa....ni mabeki na viungo tu....hakuna forward pia....tuoneshane makali😅😅😅😅
 
Daaahhh Masingeli nitake radhi Aiseeee

Hii picha inafurahisha na kuhuzunisha kwa wakati mmoja.
 
Karibuni sana Emirates nyie nyumbu. Sisi tukiwasamehe saaanaaa 2-0. Ila mkituletea ujuaji mtakula kichapo Livakuku mtawakumbuka
 
Namuona na mkohoti hapo
Hawa wahuni itakua kuna sehemu wamepiga tukio halafu wakadakwa na raia wenye hasira kali, hapo adhabu ya kwanza naona wapewa ya kupigana makonzi wenyewe kwa wenyewe, kwa height ya huyo jamaa wa Chelsea ni advantage kubwa sana kwake ndio maana anachekelea kabisa pasi na kujua adhabu itakayofata ni ipi
 
Wanaosubiri Kai kukaa bench watasubiri Sana

Arsenal tulikuwa tunakosa mtu anayewin duels na Athleticism

Duels-kai
Athletism-Rice


Kai Havertz stats vs Palace:

24/27 Passes
2 Chances created
90% Pass accuracy
39 Touches
4 Passes into Final third
3 Recoveries

MOST DUELS WON for the second game in a row.

People watch him and just because he doesn’t score or assist they don’t rate him and think he is a liability.
 
Yule wa Nyukesto achana naye mnafiki mkubwa yule. Mimi nampotezeaga tu tangu day one alipotangaza kuacha kushabikia Arsenal mwisho wa msimu baada ya kukosa ubingwa. Mtu umamsoma unajua kabisa maneno ya shabiki wa Arsenal aliyeumia moyo tu, hakuna lingine. Anaponda huku lakini Tukishinda anafurahi ila anakausha. Kwa sasa Yuko zake kajibanza mahali anasherekea ushindi wetu
 
Chelsea wataleta £50m tuwe na subira



Chelsea have sounded out Folarin Balogun in a bid to boost their attack before deadline day.

Balogun is open to leaving the Emirates Stadium for Chelsea.

Arsenal are aware of Chelsea’s interest and want around £50million for their striker, who is out of contract in June 2025.

(@NizaarKinsella / @sr_collings )
 
Ila asenali suala la kurusha mpira linaanza kuwa tatizo tena. Ni kama Wanaotakiwa kurushiwa wanakuwa wanajikabisha kwa maadui kimtindo😆

Kai sio mchezaji anayeonakana vizuri uwanjani labda anaonekana vizuri kwenye takwimu tu.

Na arteta kajiwekea kitanzi mwenyewe kwenye kumsajili kai kwa pesa ndefu,ni ngumu kwake kumuweka benchi,bodi itamhoji.

Ila kuna baadhi ya mechi itakuja kumgharimu sana,kwa sababu kai kwa sasa anakupa vitu vingi ambavyo ni nusu nusu kulingana na mfumo na kuna mechi unahitaji kitu kamili kutoka kwake au wachezaji wawili waliokaribu nae.

Arteta anajitahidi kuunda timu yake mdogo mdogo ila kwakuwa timu inauhitaji wa magoli na wafungaji wengi ni kuanzia eneo la kiungo kai atapata lawama nyingi za kuchelewesha pasi/kukosa goli (ufanisi wake ni wakawaida kwenye maeneo hayo).

Kai anakasumba ya kuchelewa kuamua nini cha kufanya akiwa na mpira na kwa mfumo wa arteta ukiwa ni mchezaji wa hivyo utakuwa unapishana na mashabiki.

Odegaard/Rice/Partey akikosa goli sio lawama sana ila kai akikosa sasa😆😆😆😆 itabidi avumilie kejeli😆😆😆
 
Karibuni sana Emirates nyie nyumbu. Sisi tukiwasamehe saaanaaa 2-0. Ila mkituletea ujuaji mtakula kichapo Livakuku mtawakumbuka
Jipeni moyo tu lakini mashabiki wote wa Arsenyo nafsi zao zinajua kabisa hio 3Sept lazima watarowekwa, halafu mbaya zaidi mnyama Rasmus Højlund ndio itakua mechi yake ya kwanza, unaambiwa tokea ametua Utd yeye anapiga mazoezi yake maalumu ya hatrick kwa ajili ya Arsenyo.
Siwatishi ila ni muhumu kuambiana ukweli ili baadae tusije tukalaumiana.
 
Ili watu wamuelewe kai,waache kumtazama wanavyotaka awe wamtazame anachofanya sasa hivi
 
FabrizioRomano kuhusu Balogun -


"Nadhani sasa amekuwa akihusishwa na klabu zote kubwa za Ulaya.


Baadhi ya mashabiki wameniuliza kuhusu stori zinazohusu Chelsea na Tottenham, lakini ukweli ni kwamba, ndiyo, anathaminiwa sana na vilabu kadhaa, lakini nia kubwa zaidi sasa ni AS Monaco, na bado wanavutiwa - natarajia ofa mpya kwa Balogun hivi karibuni."


(kupitia @caughtoffside substack)
 
Subiri Masingeli aje kukupinga na takwimu zake uchwara, wewe sasa ndio umemuelezea Kai kiusahihi pasi na kumpunja wala kumpaka poda.
Tatizo la Masingile ana ushawishi wa kuwaaminisha watu nyeusi kua ni nyekundu na watu wakamuamini.
Kai ni mchezaji wa kukufurahisha game moja na kukukera game 6.
 
Ili watu wamuelewe kai,waache kumtazama wanavyotaka awe wamtazame anachofanya sasa hivi
Arteta alisema timu yetu kwenye kiungo inakosa Physicality na Athletism

Sikuwahi elewa anamaanisha Nini ,akasema Kuna mechi EPL Kama hutaweza kushinda Aerial duels na Ground duels , ni ngumu kupata matokeo


Wakati anamsajili Rice akasema ni kwa sababu ataongeza Athletism , mfano tukauona mech Vs City ,Rice anatoka mbali anaenda anachukua mpira kwa mchezaji wa city aliyekuwa anaenda kutoa killer pass

Ukiangalia Kuna mechi mfano vs Everton tulipigwa 1-0 sababu tulizidiwa Aerial duels ,jamaa walikuwa ni long balls tu ,huu ulikuwa ugonjwa wetu
 
Huwez kuona ubora wa Kai ikiwa manjesta mnabutuabutua ,utajuje roles za wachezaji

Pale manjesta mmezoea pass moja kwa Bruno ,amtafute Rashford

Safari hii Rashford karudi default settings
 
Huwez kuona ubora wa Kai ikiwa manjesta mnabutuabutua ,utajuje roles za wachezaji

Pale manjesta mmezoea pass moja kwa Bruno ,amtafute Rashford

Safari hii Rashford karudi default settings
sawa lakini kwa Kai ni sawa na kuupaka rangi upepo.
 
Huyu jamaa Rasmus si anaruhusiwa kucheza dk 15 tu Kwa mechi sita? Ataweza pressing na overload zetu huyu? Acha masihara
 
Expected assists - 0.23
Passes completed in the final third - 18
Passes completed in opposition half - 33
Passes forward under pressure - 8
Distance covered - 11.6km

Declan Rice’s numbers vs. Crystal Palace.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…