Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nipe hiyo shortcut
Rudi home page,gusa bars tatu zilizoko mkono wa kushoto juu,kisha gusa profile yako I mean avatar yako,itakupeleka kwenye profile yako,gusa sehemu iliyoandikwa posts,then fungua last post yako kwenye uzi wa arsenal baada ya hapo hakutakuwa na shida tena
 
Declan Rice ana uchezaji Fulani wa ki leadership sana. wapinzani wakijaribu kufanya move ya kutushambulia, nikimuona Rice karibu najua move ishakufa hiyo. Hata pass zake na anavyokaa na mpira, hauoni kama ataupoteza. Inshort jamaa anawafanya hata wengine wawe comfortable
 
Chelsea have interest in Balogun. Arsenal want £50m but fully expect that price tag to increase for their London rivals.

(@JoshHollandFL )
 
Chelsea have interest in Balogun. Arsenal want £50m but fully expect that price tag to increase for their London rivals.

(@JoshHollandFL )
Wakifika hyo hela tuwape tutafute watu wengine...mda hauko nasi kwa Sasa...tunahitaji replacement ya Timber ASAP....Mungu aepushilie mbali Saliba asipate majeraha makubwa tutarudi kulekule
 
Smart sana.
 
Chelsea have had discussions with Florian Balogun representatives last night and today. Player has an offer from Monaco. Decision on future next week likely.

(@TheSecretScout_ )
 
Chelsea have had discussions with Florian Balogun representatives last night and today. Player has an offer from Monaco. Decision on future next week likely.

(@TheSecretScout_ )
Hii taarifa kwamba tupo kwny mazungumzo ya kumsajili Cancelo Yana ukweli???....Balogun atakayefika bei auziwe
 
BREAKING:

Folarin Balogun’s decision is expected by the end of next week.

Chelsea have had discussions with his agents yesterday and today.

The American has an offer in the table from Monaco.


Reports, @TheSecretScout_.
 
Hii taarifa kwamba tupo kwny mazungumzo ya kumsajili Cancelo Yana ukweli???....Balogun atakayefika bei auziwe
Cancelo hapana ,cancelo anakaribia kujiunga Barcelona


Arsenal watasajili beki mwingine ame confirm Mikel

So tusubiri
 
Zinchenko is ready to give Arsenal a major boost by returning for Monday's trip to Crystal Palace.

(@johncrossmirror )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…