Arsenal (The Gunners) | Special Thread

lazima umuone sahihi.
Kama vipi ngoja nikamshawishi ahamie huku kwa Masterclass Mikel Arteta the tactician, aje afurahie Teta ball burudani kwa wote, aache kuteseka huko unyumbuni.
Yule mwamba anapinga sajili za kitapeli kama Hojlund kufeli vipimo na kufichwa


Anapinga sajili za kitapeli Kama za Anthony masebene,mount ,

Mpaka Sasa 7hag kashatumia €450m lakini anasema Hana mpango wakupigania EPL ,

Xyz yupo sahihi 100%
 
Yule jamaa hawez kufurahia mpira wa kijinga wa Erik 7 hag a Dutch David Moyes

Kama wewe unavyowaona wapo sahihi mamluki humu na yule jamaa tunamuona yupo sahihi

Leo nitakuja kumpa sapoti Kama wewe unavyowapa sapoti UKAWA
lile ni jukwaa huru kabisa Mkuu, hivyo jisikie uko huru muda wowote kuchangia chochote tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu kabisa.
Sema sasa hivi jukwaa letu limepoa sana, siku nzima comments zinaweza zisifike hata 10 ndio maana akina Flano tumeamua kuweka kambi humu tukifurahia pressing & overloading toka kwa Teta ball burudani kwa wote.
 
Karibu Sana hakika Teta ball ni balaa ,wewe tumepiga pass 800+ possession 85+

Magoli ya kideo

Assist za kideo

Kwanini usishinde humu ,hata ningekuwa Mimi ndio wewe ningeshinda humu
 
Karibu Sana hakika Teta ball ni balaa ,wewe tumepiga pass 800+ possession 85+

Magoli ya kideo

Assist za kideo

Kwanini usishinde humu ,hata ningekuwa Mimi ndio wewe ningeshinda humu
pass 800+ possession 89% attempts 875 halafu mnaambulia goli 2.
Forest pass 47 possession 11% attempts 6 lakini wana goli moja tena chupuchupu wasawazishe.
Ndio maana kila siku huwa tunasema humu Arsenyau ni kikundi cha waimba kwaya.
 
Emirates haijawahi kuwa shida kwetu...ni kuwashika mkono na kuwavutia chumbani mje mchezee ndevu😅😅😅....halafu kwa dharau huwa tunawatanguliza kabisa na goli tunawapa....ila mwsho wa gemu ubao huwa unasoma vngne kabisa😅😅😅...Sasa ni kutafuta namna ya kuja kuwabaka hukohuko kwenu kwny matofali ya kuchoma😅😅😅....na dawa itapatikana karibuni....kuhusu hao Newcastle bdo ni vijana wadogo sana....wanajifunza namna ya kucheza...tukikutana ni kuficha mpira tu....wahangaike kama kuku mwny kideri😅😅😅...halafu mwshoooni tunachinja....unabisha....subiri uone tukikutana nao😅😅😅
 
Wenger orphans mna karibishwa kwa wingi pale Old Trafford kupata burudani kabambe uwezi kuipata kwokwote kule.

Unajua ni kwanini tunacheza peke yetu leo sababu The biggest team in world is playing today lazima mkae vibonde wote mkituangalia.
 
With Newcastle attempts to sign Cucurella stalling, a move for Tierney looks far more likely. Arsenal prefer to sell, but there’s more chance of the Gunners accepting a loan-to-buy deal that allows us to sign now and pay later.

(@NUFCblogcouk Exclusive)

nufcblog.co.uk/2023/08/14/exc…
 
Mpka sasa kubwa jinga la Epl hajapatikana hii inanipa mashaka.
 
Bruno Fernandes juu ya mtu mgumu zaidi ambaye amekutana nae EPL:

"Ni ngumu. Katika Premier League unacheza dhidi ya wachezaji wa juu, bora. Naweza kukuambia Kante alikuwa mgumu, Rodri ni mgumu sana, Declan Rice ni mgumu sana.

"Declan na Rodri wanafanana kimwili. Kante ni mdogo lakini ni mwepesi na mkali."
 
Mikel Arteta kuhusu Timber:

"Mchezaji kiraka! Jinsi alivyozoea na kuingia kwenye timu, jambo la kustaajabisha .

Ninamwomba acheze upande wa kulia, acheze upande wa kushoto, ni mchezaji mwenye akili sana. Inakuja kwa asili , na jinsi yetu tunavyocheza."


[@footballntnt]
 
Timber inaonekana aliumia Calf ,huenda akakosa mechi kadhaa ,

Soon itatoka taarifa

Ni wakati wa Zinny na Kiwior wasukume Gurudumu
 
Injury yake huwa inamuweka mtu nje kwa muda gani
Calf injury ni wiki 4-6

But wameshamfanyia diagnosis tusubiri majibu leo yanaweza kutoka

Nashukuru wanasema sio knee(Goti)

So kama ni Calf hawez kukaa muda mrefu Sana ,
 
Huyu tapeli ukiuliza pesa aliyosajiliwa unaweza kipiga yowee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…