Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi tulitengeneza clear chances ngapi?
 
Mkuu si tumekubaliana tutakutana halafu tuone huo mpira wenu au kuna lingine labdaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...mbona unajitutumua sana kurap...tutakutana then tutacheza halafu tuone...mbona rahisi tuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
tum
 
Nyie Newcastle mna makombe mangapi ya ligiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…....sisi 20 years hatuna kombe la ligi...nyny mabingwa wa liniπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hawa nawamudu vizuriii
tu , wanadhani tukiwaambia ukweli tunawachukia kumbe chuki zitoke wapi 20 years 0 epl si kuwachukia itakuwa uchawi.
 
Kiukweli mi naona unazunguka kwakua swali langu ni jepesi wewe unafosi kulitolea stori
Kuzunguka kvpπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…....unataka nikujibu vp labdaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...nimekujibu na mifano nimekutolea....au unataka tuchezaje mkuu...sema ww basi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Huyu anaumwa Nketia kaanza game 9 na goal 4. Uyu nkentia akipewa game time ya kutosha hakuna striker wa kumfikia goal pale kwenu msimu ulioisha alikua na wastan wa kucheza dakika 37 tu.
 
Saka:

β€œI’m really looking forward to the season. I think last year we showed everyone the level we can get to, and now people expect that level and more, so we’re ready to give our best."


More from Saka below!


@StuartLeonAFC | #Arsenal #AFC
 
Daaahhhh wewe jamaa kiboko ndio maana humu kuna watu wanakumind mpaka wamekipiga marufuku kuwaqoute

Aiseee hata mimi ningekua Arsenyau ningekupiga marufuku usiniqoute maana sio kwa maevidence haya ya naked truth.
 
Huyu anaumwa Nketia kaanza game 9 na goal 4. Uyu nkentia akipewa game time ya kutosha hakuna striker wa kumfikia goal pale kwenu msimu ulioisha alikua na wastan wa kucheza dakika 37 tu.

sasa hizi takwimu ni za EPL official website au unaona kama nimejitungia mkuu, tumeamua kuwauliza wenye ligi wenyewe bado unabisha unaniletea takwimu za kwenye gahawa.
 
Basi ngoja nirahisishe.

Game plan ilikua kuzuia siyo kuscore?
Unachokitaka hasa ni nn....ebu tuanzie hapo kwanzaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…....maana naona nakuelezea with vivid examples ila unajifanya kama huelewi....ndo maana nimekupa nafasi ww useme unataka tucheze vipi labda especially tukikutana na CityπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…....eleza ww mkuu
 
Mkuu usiseme mtupelekeshe, sema mtupelekee moto.
Sema moto (in Prophet IPM voice)
Nyie wakimbiza upepo na wale wakimbiza upepo mkikutana ndo mtaona mechi ngumu...sio sisi mkuu...hao ndo watoto wadogo sanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…....jana wamekutana na Villa nyuma wanafunguka kijingajinga nao wanajiona wakubwa...ndo maana nikasema tukutane nao halafu tuone hzo vurugu za kina Almiron na wenzie watazifanyia wapiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...niache kuwaza Manyumbu tulogawana mbao mwaka jana niwawaze Hawa midebwedo tuliookota point 4 mwaka jana kwli??πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Daaahhhh wewe jamaa kiboko ndio maana humu kuna watu wanakumind mpaka wamekipiga marufuku kuwaqoute

Aiseee hata mimi ningekua Arsenyau ningekupiga marufuku usiniqoute maana sio kwa maevidence haya ya naked truth.

yaani mtu kaomba stats nimempa direct kutoka kwa EPL yenyewe lakini anaona kama nimetunga basi alete zake atuambie kazitoa wapi?
 
Daaahhhh wewe jamaa kiboko ndio maana humu kuna watu wanakumind mpaka wamekipiga marufuku kuwaqoute

Aiseee hata mimi ningekua Arsenyau ningekupiga marufuku usiniqoute maana sio kwa maevidence haya ya naked truth.
Atembelee tena sources zake aangalie upya...nketiah kacheza mechi ngapi kama starter na kaingia kama Sub mechi ngapi....mnatunga uongouongo Ili m justify uzushi wenu....narudia tena...Newcastle level zao ni kina Luton town...sio ssπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 


Uongo ukwapi hapo mzee? Hao ndo wenye ligi wameonyesha then unataka niangalie upya wapi
unabishana na hawa wenye ligi ama?
 
So hujui game plan ilikua inataka nini?
 
Unamaanisha nini Arsenal alikua overachiever?
 
View attachment 2716672
Uongo ukwapi hapo mzee? Hao ndo wenye ligi wameonyesha then unataka niangalie upya wapi
unabishana na hawa wenye ligi ama?
Ameanza mechi 9...sub mechi 18....goals 4...the main starter pale mbele alikuwa JesusπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…....sub ni mda wwte hata dk ya 90...tunaweka probability ya kuwa na nafasi ya kufunga zaidi ukianza....nasikitika sana tutakapokutana na nyny ndugu zetu dogo hataanza mechi maana Jesus atakuwa amerudi....nyny bdo ni watoto wadogo sanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
So hujui game plan ilikua inataka nini?
Sijui mkuuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...nijuze ww unayejua...maana naona unaniuliza tu wkti nimekupa nafasi ya kunielezea na ww...unakwama wapiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Unamaanisha nini Arsenal alikua overachiever?
Hata Newcastle alipata bahati tu pale alipomaliza.....maana Liver walivyoamka it was too lateπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...ila Hawa msimu huu nafasi Yao ya 6 kushuka chini huko kwa kina Brentford
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…