In short ni kwamba unpredictability yetu ilikua ni kuwakaba wasiscore kuliko sisi kupata magoli au sivyo?Nafasi tatu you can say...mbili alizipata Kai ila hakuwa clinical...na moja deflection iloleta goli...na hao ni City ambao hutegemei utawa dominate kipndi chote tofauti na timu zingine kwny ligi
Wilson, murphy,barnes et vyuma?hao wanamtoa nani kwenye best 11 pale Epl zaid ya kwenda tott ambayo ndo kwasababu keane hayupo tu,
Hueleweki Sasa mkuu😅😅😅...Man City mechi nzima utawashambulia mwanzo mwsho....bdo hzo pumzi hazipo mkuu tusijidwnganye...sio trebek winners kwa ajali wale ...walistahiki...ukikutana nao hutapata chance nyng...utakazopata zitumie kwa ufasaha....lakini vilevile hakikisha hawakuketei madhara sana...that's the logic...ila kusema uwashambulie mwanzo mwsho sahau😅😅😅...Wana wachezaji manunda kwlikwli....waulize Bayern mechi alokula 3 pale ettihad si alijifanya anataka kiwashambulia tu nn kiliwakuta😅😅😅...In short ni kwamba unpredictability yetu ilikua ni kuwakaba wasiscore kuliko sisi kupata magoli au sivyo?
Karibu sana na huku pia mkuuShukrani mkorea kwa Mwaliko, hamis77 we Jamaa nakuwaga interested na Comments Zako, Nimeona Michango Mingi ya waja Huku kuhusu Game ya ArsNott, Honestly hakuna kipya nje ya last Season Game ambayo Arsenal wanapoteza 1-0, ile Game Partey alianza nafasi aloanza Game ya jana na kati walikuwa Xhaka, Jorginho, Ode, CB's Kiwior, Gabriel na White. So kiuhalisia kama amekuja na Mfumo Ule ule alopoteza nao Game, na sababu kubwa ya Arsenal kupoteza ilikuwa kichwani zaidi kuliko habari za Mifumo tofauti wakati ule kwa Arsenal Notts walikuwa na World Class GK in Navas!
Mimi naungana na baadhi ya wachangiaji kwenye Uhitaji zaidi wa Arsenal{CB na CF} Fergie alishapitia mambo mingi mpaka kufikia hatua ya kusema "Attack wins you Games, Defense wins You Titles" Pep na sifa zote karibu Madirisha yote huwa anaboresha Def na sasa kaleta lile Jini Josko {Hapa wengi mtasema kuhusu Timber but Arsenal ukitoa Saliba wanaomkaimu Ubora unapungua sana, Injury yake Imewacost Ubingwa, Jesus anaumia lakini Gari Ars lishawaka na still timu inapata Matokeo, Zile Big Figures Nyuma hazina cha maana akikosekana Saliba} Timber Mchezaji na nusu but anapenda sana Duels kwa EPL kuwa salama season yote Ni kudra tu,
ARS players wengi walikiri kabisa ile kukosa Title ni mentality zaidi, Hapa Experince inafanya kazi zaidi, kama ARS ingekuwa na Mwalimu kariba ya kina PEP, KLOPP et al, wangekuwa na Title mda huu. Leicester walijikuta nafasi ambayo hawakuitegemea wakianza season, ilibidi uzoefu wa kina Ranieri ufanye kazi zaidi ya Uwezo wa Players,
Kuna kitu ki1 nakionaga sana kwa walimu wenye asili ya Kispanish, "EGO" Pep alikuja akataka tuaminisha angeiweza EPL Bila Natural CF, Na aliweka sababu nyingi kwamba Aguero haezi Press, Mwisho Kun ndo alimpa mataji karibu yote, amekuja pata Treble baada ya kusajili CF. Ila awali alituteletea kina Nolito, akaanza amini kina Negredo and Co. Luis Enrique alishndwaga Roma na Celta hivyo hivyo, Case yake Barca ni tofauti {Hakuna mwalimu wa daraja la kati mpaka juu angeshindwa chukua kila kitu na Neymar, Messi na Suarez tena wakiwa kwenye Peak yao} Enrique kachukua Spain anawaacha Alcantara na kina Ramos, hata kama asingewapanga wale washazoea mataji wanajua jinsi ya kuhandle Pressure, hana cha maana kafanya nayo,
Narudi kwa Mikel, Huyu jamaa ana Potential ya kuwa the Best Manager kwa kipindi kifupi kinachofata, ila asipotoa "EGO" wako naye wenzake na yeye ni mhanga anayo, ARS Inahitaji CB wa kiwango na CF wa uhakika then inakuwa ni Force haswa, mana City unaweza wabana ila Haaland anaweza kufunga hata 3 ndani ya dk 20, ukitaka makombe unatakiwa kuwa na watu hawa, Jesus mchezaji na Nusu ila unakuwa na Plan B ya kina Nketiah ni uongo,
Nahitimisha kwa Suggestion za mimi ARS ilimtaka sana Dusan Vlahovic, Bei yake ishajulikana sasa Pauni 45~60 unajibebea, then unakuwa na Beki mwingine wa kati mwenye Uwezo wa kueleweka Pembeni ya Saliba, hapa nadhani wa Bei za kawaida na ubora juu kuna Nico Schlotterbeck, Facundo Medina au Bastoni.
Mikel Game ya mwisho ya Msimu ulopita ilikuwa Emotional sana kwake na Mashabiki hata kuongea ikawa tabu Emirates, Fans walikuwa wana-Applauds karibu dk na zaidi, Sababu aliwafanya waamini tena, alizidi malengo ila msimu huu wanaamini wanaweza ni mapema sana but ARS inahitaji CF wa maana kuwa Force kamili, Msimu huu wanaamini tuna kitu ila karata ni za kuchanga vyema mana mashindano anakuwa yote ni ya Maana huwezi sema unapotezea moja kubaki na lingine kama ilivyokuwa kwa Europa, kwa sasa Emirates kamziki cha Ligi ya Mabingwa katasikika.
Inatosha waja naomba Kai iwe mada ya wakati Mwingine!
Unalazimisha vtu ambavyo havipo mkuu😅😅😅....hyo kijana wenu Jesus asingeumia angesubiri sana....halafu sisi Kila sehemu inakupa magoli...ww ntajie wachezaji wako watano ambao wanaweza kukupa goli kuanzia 6 kwenda mbele...unategemea forward pekee...mtasubiri sana kwa style hyo😅😅😅....narudia tena hapa....huna kikosi cha kwanza cha ku compete na Arsenal...huna....tukikutana mtapaki basi...unabisha ngoja siku ifike😅😅😅Hao ni subs player wa Newcastle hapo sijaongelea first 11 . Kama kuna mchezaji yeyote yule wa arsenal amemzidi wilson kwa magoli last season mods wanipe ban mapema sana maana nitakuwa napotosha umma
Nitajie mchezaji wenu aliyemzidi wilson magoli?
Hivi nyinyi arsenal mnapendana kujidanganya ndo ile akiumia mchezaji 1 uwongo wote unaonekana mnashikana mashati na ngongoti wenu kai
Arsenal ila mnajua kupenda vya kwenu yaani mapenzi mlionayo kwa kaiutafikiri sio huyu mliyekua mnaponda akiwa chelsea au tulete ushahidi humu.
Em nipe front 3 yenu na idadi ya magoli na assist na mimi nikupe yetu? Kufunga goal nyingi yeye kwa nini hupimi na muda aliocheza na pima na muda waliochezaji wachezaji wetu nafasi ile. Maana nafasi ile wachezaji wachezaji zaid ya wawiliHao ni subs player wa Newcastle hapo sijaongelea first 11 . Kama kuna mchezaji yeyote yule wa arsenal amemzidi wilson kwa magoli last season mods wanipe ban mapema sana maana nitakuwa napotosha umma
Nitajie mchezaji wenu aliyemzidi wilson magoli?
Hivi nyinyi arsenal mnapendana kujidanganya ndo ile akiumia mchezaji 1 uwongo wote unaonekana mnashikana mashati na ngongoti wenu kai
Arsenal ila mnajua kupenda vya kwenu yaani mapenzi mlionayo kwa kaiutafikiri sio huyu mliyekua mnaponda akiwa chelsea au tulete ushahidi humu.
Mbona sasa wewe ndiyo haueleweki bro.Hueleweki Sasa mkuu😅😅😅...Man City mechi nzima utawashambulia mwanzo mwsho....bdo hzo pumzi hazipo mkuu tusijidwnganye...sio trebek winners kwa ajali wale ...walistahiki...ukikutana nao hutapata chance nyng...utakazopata zitumie kwa ufasaha....lakini vilevile hakikisha hawakuketei madhara sana...that's the logic...ila kusema uwashambulie mwanzo mwsho sahau😅😅😅...Wana wachezaji manunda kwlikwli....waulize Bayern mechi alokula 3 pale ettihad si alijifanya anataka kiwashambulia tu nn kiliwakuta😅😅😅...
Em nipe front 3 yenu na idadi ya magoli na assist na mimi nikupe yetu? Kufunga goal nyingi yeye kwa nini hupimi na muda aliocheza na pima na muda waliochezaji wachezaji wetu nafasi ile. Maana nafasi ile wachezaji wachezaji zaid ya wawili
Jesus
Nketia
Troussard hata game time zao huwez ziweka sawa na willison.
Jamaa we ni noma, unapgaga kwenye mshono ukiambatanisha na evidence😂😂Msimu uliopita stats ni hizi
Odergard Apps 37 Goals 15
Martineli Apps 36 Goals 15
Saka Apps 38 Goals 14
Jesus Apps 26 Goals 11
Trossard Apps 36 Goals 8
Nkentiah Apps 30 Goals 4
Newcastle stats zao ni hizi
Wilson Apps 31 Goals 18
Almron Apps 34 Goals 11
Barnes Apps 34 Goals 13
Isak. Apps 22 Goals 10
Joelinton Apps 32 Goals 6
Hapo barnes alikua yupo relegated team Leicester na bado he was. Hizo ndo takwimu official sasa wewe sijui unaongea nini hapo kwenye game time.
NB: ikumbukwe hapo arsenal mlikua ni overachiever mmeruka mpaka phase mnajiona mpo phase 3 mbele
ZaMbona sasa wewe ndiyo haueleweki bro.
We are unapredictable hawajapata shot mpaka 60s minutes huko
At the same time sisi tukatengeneza chances 3.
Unpredictability yetu ilikua kuzuia wao wasipate goli ila sisi tusiscore?
Swali jepesi umeamua kuzunguka
....Msimu uliopita stats ni hizi
Odergard Apps 37 Goals 15
Martineli Apps 36 Goals 15
Saka Apps 38 Goals 14
Jesus Apps 26 Goals 11
Trossard Apps 36 Goals 8
Nkentiah Apps 30 Goals 4
Newcastle stats zao ni hizi
Wilson Apps 31 Goals 18
Almron Apps 34 Goals 11
Barnes Apps 34 Goals 13
Isak. Apps 22 Goals 10
Joelinton Apps 32 Goals 6
Hapo barnes alikua yupo relegated team Leicester na bado he was. Hizo ndo takwimu official sasa wewe sijui unaongea nini hapo kwenye game time.
NB: ikumbukwe hapo arsenal mlikua ni overachiever mmeruka mpaka phase mnajiona mpo phase 3 mbele
Kwni Arsenal na Newcastle ni lini...maana naona unajitahidi sana kuwakuza hao jamaa zako....tukikutana tuone huo mpira wenu mnaocheza mtuchezee...nyny wakimbiaji dawa yenu ni kuficha mpira....mbaki mnazurura tu uwanjani....siku ifike tukate mzizi wa fitna....maana hata hyo mwaka jana hzo point nne tulizochukua hazikutosha....inatakiwa safari hii tuwaburuze kwlikwli heshima irudi
....
Sawa tunawasubiri mkuu😅😅😅...tunawasubiri kwa hamu sana na kina Almiron mje mtupelekesheTulia wewe si tunamalizana na visiki vya epl then tunakuja kwenu ma false hopers, mpaka sasa tupo pale juu with massive winning 5-1 wewe unafikiri kwanini jana mlitaka kushikana mashati humu sababu ni moja tu magoli machache na chance chache mlizopata kwa forest ni tofauti na ile Arsenal ya humu ndani tunayoambiwa timu zinaweza zisilete wachezaji uwanjani. Jana villa ilikua ale chuma si chini ya 8 kuna tonali, wilson , isak walipata chances lakini ni vile tu huruma za howe kwa emery. Embu nitajie nafasi 3 tu mlizokosa kwa forest uone kama zipo .
Next game vs bingwa city then liverpool nyinyi bado sana mtalia ndo mtuweke kina partey kama full back anakutana na vijana watasha kina almron na gordon mashati lazima mshikane mwaka huu. Nikukumbushe tu our signings tonali 1 goals , barnes 1 goals and 1 assist wapi ngongoti kai
Kiukweli mi naona unazunguka kwakua swali langu ni jepesi wewe unafosi kulitolea storiNimekujibu vzuri sana ila inaonekana hutaki kuelewa....narudia tena....mechi za City kupata nafasi nyng huwezi kwa sababu ni ma specialist kwny kukaa na mpira na pia ni pressure resistant kwlikwli...na nimekutolea mifano ya waliojaribu kufunguka kucheza nao nn kiliwakuta...unataka walau kwnda nao toe to toe...tumia nafasi utakazopata vzuri halafu wanyime wao nafasi ya kutengeneza nafasi nyingi maana wanakuwasha even with a single mistake na siku ile ukiona lile goli walilotupiga...Sasa unataka nikueleweshe vp mkuu....nyuma tulijaribu kucheza mpira wetu tukikutana nao nn kilitukuta😅😅😅
Za
Jamaa we ni noma, unapgaga kwenye mshono ukiambatanisha na evidence
Ujuaji ukiwa unamaanisha nini?Mkuu vitu vingine tuacheni ujuaji
Hao forest mfumo wao mechi ya mwisho tukishindwa kuwangua nyuma wanakaa watano
Walitupiga goli 1
Ndio sababu ikabidi Jana wachezewe 3-Diamond-3
Ambayo ina attackers 6 ku overload back 5 Yao
6v5 ili kutengeneza nafasi nyingi
Hiyo kaunta unayosemea wamepiga ngapi?
Je mfumo gani ambao tuliwahi kucheza kaunta haupigwi ?
Kwa timu zinazotumia back 5 ,msimu huu tutakuwa tunaingia na 3-diamond-3 ,ndio dawa Yao
Ni dhambi kubwa mnoo kumfananisha fundi ozil na huyu kai, ana safari ndefu kufika kwa mesut, jana namuona hata kuuficha mpira kwake ni kazi.A very big misconception mbona alifeli kwa Willian, Tavares na Lokonga?. Kila mwenye akili anajua Harvetz ni ozil wa kichina!!!na Bora ozil alikua creative na accurate ila huyu ni mzigo na hawezi kufunga!!
Huyu anaweza kuwa anguko la Arteta kama ataendelea kumkumbatia, ESR na Trossard are far better kuliko huyu ngongoti.
Sawa tunawasubiri mkuu...tunawasubiri kwa hamu sana na kina Almiron mje mtupelekeshe