Hahaha! ishu popa mkuu...niko vacation kjjn kwetu huku Sitimbi, so i had to drove 50Km to taoo kuja iwai game game yenu, nkafika late....
Ila aiseee awa ndugu zangu wanajua mpira kuliko AW, kuna kina Thomas Mulambo apa wanachambua mpira mm sina mbavu....hahaha! et AW anatumia Masab@&ri kusajili.