Kuna Imani inaniambia soon zitaanza kutoka taarifa za kudus ,Kabla ya kuhangaika na RCB mi nataka tumlete KUDUS Kwanza.
Pale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitantKabla ya kuhangaika na RCB mi nataka tumlete KUDUS Kwanza.
Kwhyo dogo Van De Sar alitufanyia fitina😅😅😅...Pale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitant
Mwaka Jana alikuwepo Van der sar akatufanyia hujuma ili wampeleke Lisandro manjesta,maana ile ofa yetu waliichelewesha Sana kuikubali au kuikataa ,
Mwaka huu yupo Sven pale ,hata dili la Timber katufanyia wepes
Naiman Kama kweli Kudus yupo kwenye mipango Basi soon tutasikia habari ,ngoja wamalize kuwaondoa Pepe na wenzie ,
Yah ,uzuri Sasa yupo Sven mislitant pale , ukiona tetes za Kudus zimerud Sasa hivi ,hesabu deal doneKwhyo dogo Van De Sar alitufanyia fitina...
Funny fact.Pale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitant
Mwaka Jana alikuwepo Van der sar akatufanyia hujuma ili wampeleke Lisandro manjesta,maana ile ofa yetu waliichelewesha Sana kuikubali au kuikataa ,
Mwaka huu yupo Sven pale ,hata dili la Timber katufanyia wepes
Naiman Kama kweli Kudus yupo kwenye mipango Basi soon tutasikia habari ,ngoja wamalize kuwaondoa Pepe na wenzie ,
Scouting team yao ipewe maua.M
Mimi natumia kigezo kimoja tu Cha kumtaka Kudus:
Brighton wanamtaka. Hawa jamaa wako vizuri katika kutambua vipaji, nadhani kuliko hata sisi.
Kama Gerrard alivyoleta uduanzi kwa Douglas LuizKwhyo dogo Van De Sar alitufanyia fitina...
Atuchukulie Mason greenwood pale unyumbuni halafu mwakani atuuziePale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitant
Mwaka Jana alikuwepo Van der sar akatufanyia hujuma ili wampeleke Lisandro manjesta,maana ile ofa yetu waliichelewesha Sana kuikubali au kuikataa ,
Mwaka huu yupo Sven pale ,hata dili la Timber katufanyia wepes
Naiman Kama kweli Kudus yupo kwenye mipango Basi soon tutasikia habari ,ngoja wamalize kuwaondoa Pepe na wenzie ,
Arsenal imekataa ofa yenye thamani ya karibu €40m kutoka kwa AS Monaco kwa ajili ya Folarin Balogun.
Klabu hiyo ya Ufaransa itatejea tena kumtaka Mmarekani huyo.
Monaco tayari wana makubaliano na mchezaji huyo.
Ripoti, @FabriceHawkins.
🤣🤣🤣🤣....hii Sasa mikwaraKama Mkorea anavyowaambiaga, wataita maji mma.
Huku Ramsdale, huku Raya. Teta ball itaua watu. Na hivi Kuna 5 subs...umeshawahi kuona kipa anaingia sub?
Sasa tutakuwa tunamuanzisha Ramsdale wakati mpinzani ana nguvu tunapiga pass zetu fupi to play out from the back na kubuild up taratibu na kufunga magoli machache.
Baadae tunamleta Raya Mzee wa long distance distribution wakati timu zinajitahidi kutushambulia Ili angalau wapate kigoli Cha kufutia machozi. Hapo ndo wanajichanganya, Raya anapokea pasi au anadaka Kona anapiga quality long ball yake yenye ideal projectile na mpira haukawii angani. Projectile moja Kwa Martinelli au Saka wakiwa wametanua uwanja na kutoka nduki kuelekea golini na mabeki washachoka....
Wapinzani tunawahurumia sana
Why another midfielder....we need a RW au tyri washapitisha msaidizi wa Saka ni Nelson....dogo ni mzuri ila pancha nyingi paleTETESI
NEW: Arsenal and Tottenham will battle it out to sign Aston Villa midfielder Douglas Luiz before the window shuts. The player wants Arsenal. The Villains value him at £50m.
[@MailOnline & @footyinsider247]
Broo huyu luiz mpira anaujua aisee ata add. Kitu kikubwa arsenal kwangu mm bora yeye kuliko kudus..ana faida nying haswa tayar yupo England lkn anaujua sana mpira tukimuadd app huyu aisee arsenal itazdi kuwa na depth kubwa.Why another midfielder....we need a RW au tyri washapitisha msaidizi wa Saka ni Nelson....dogo ni mzuri ila pancha nyingi pale
Na pia luiz can play as a RW ila sajili za arteta mostly haangalii position yeye anasajili mchezaji anaeyona ata fit na mfumo wake usishangaa pia akawa kaja chukua nafasi ya martineli ambaye kwakwel mm naona sio perfect sana kama watu wanamvyomuona.Broo huyu luiz mpira anaujua aisee ata add. Kitu kikubwa arsenal kwangu mm bora yeye kuliko kudus..ana faida nying haswa tayar yupo England lkn anaujua sana mpira tukimuadd app huyu aisee arsenal itazdi kuwa na depth kubwa.
Mkuu hyu sio typical winger....hyu ni DM au sometimes can play box to box...tuna watu wengi kwny hlo eneo...wengiii...Sasa huwezi chukua watu bila kuangalia mahitaji yko...unless rumors za Georginho kuondoka ziwe kweli ila kwa Sasa tunahitaji typical RW ambaye wkti mwingine anaweza kucheza hata pale katikati...ndo maana profile ya Kudus Ina fit.... Douglas Luiz ni mchezaji mzuri ila kwa Sasa nafasi ni finyu kwa kikosi tulichonacho na ukiangalia vilevile price tag ykeNa pia luiz can play as a RW ila sajili za arteta mostly haangalii position yeye anasajili mchezaji anaeyona ata fit na mfumo wake usishangaa pia akawa kaja chukua nafasi ya martineli ambaye kwakwel mm naona sio perfect sana kama watu wanamvyomuona.