Work rate zao zinafanana na hazijapishana sana, hivyo anakuja mtu sahihi wa kumpa a real taste ya kugombania namba even though Starboy Saka ataanza.Ivi kudus anamzidi star boy?
Kwa sasa na performance aliyoonyesha Mbao kwenye hii pre season, hatuna wasiwasi wote hata kama Tierney akiondoka saivi.Bora tomiyasu kuliko huyo Tierney
TrueWork rate zao zinafanana na hazijapishana sana, hivyo anakuja mtu sahihi wa kumpa a real taste ya kugombania namba even though Starboy Saka ataanza.
Pia kuna zile game ambazo Saka anatakiwa apumzike kwaajili ya game fulani na wakati huohuo tunatakiwa kuwa na mtu atakayetoa same energy and impact to the team, and that's where KUDUS is coming from and tick all the boxes.
Tunataka mtu atakapopewa nafasi atoe A performanceIvi kudus anamzidi star boy?
Kwa sasa na performance aliyoonyesha Mbao kwenye hii pre season, hatuna wasiwasi wote hata kama Tierney akiondoka saivi.
Ukuta upo vizuri na options za kutosha labda kama kutakua na uhitaji tena wa CB na CF nadhani januari itakua wakati sahihi kabisa.
Kudus it's like kaikataa Brighton ,japo Brighton na Ajax wamekubalina Bei ,Uzuri wa Edu na Mikel always wana plan B ya kila usajili, though msimu huu tumefanikiwa kusajili plan A zetu zote tulizozitaka na kuonyesha zipo tayari kuja kwetu.
Nadhani hata Ishu ya KUDUS kuchelewa baina ya Ajax na Brighton sababu itakua ni sisi, kama kweli tunahitaji ku strengthen our RW and RCM-Kudus is real deal.
Yah maana anacheza RB na LB , lakin nafas yake kabisa ni RCBKwa sasa na performance aliyoonyesha Mbao kwenye hii pre season, hatuna wasiwasi wote hata kama Tierney akiondoka saivi.
Ukuta upo vizuri na options za kutosha labda kama kutakua na uhitaji tena wa CB na CF nadhani januari itakua wakati sahihi kabisa.
Yaan mnamtaka Ivan toney ,mzee wa kubet ,atakuwa anaingia uwanjan kashaiua arsenal kwenye betting,haki mtakuwa hamjielewi
Kwa taarifa za ndan kabisa nilizozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ni hivi, Arteta amepanga kuwachezesha Raya na Ramsdale kwa pamoja.
Formation itakuwa 2-3-3-3. Golini Raya kushoto, Rambo kulia. Raya atakuwa anasaidiana na mabeki na kina Party Party KUOVALODI midfield area.
Hapo ball possession sisi 97% wao 3%.
Tomiyasu anasumbuliwa sana na majeraha ya mara Kwa maraBora tomiyasu kuliko huyo Tierney
Nimemuona Kwa YouTube videos tu ila Kwa kweli sioni akimfikia Saka.Ivi kudus anamzidi star boy?
Lakini hakuna ofa yoyote kwenda kwa Ajax ya kumuhusu Kudus, hapo Brighton wapo miles kuliko sisi, tushishangae kwa taarifa ya deal done kwenda Brighton.Kudus it's like kaikataa Brighton ,japo Brighton na Ajax wamekubalina Bei ,
Lolote linaweza kutokea maana Edu na Arteta wanataka mchezaji awe committed kuichezea Arsenal kabla hawajaingia mazima kumsajili aoneshe nia kweli anapenda kuja Arsenal
Tumeona kwa Timber ,Rice ,Kai ,na Sasa Raya
Spurs walikataliwa £35-40m
Lakin sababu Raya ameonesha Nia kweli ya kuja , dau limeshuka Hadi £28-30m
So Kama kweli walifanya juhudi za dhati kwa kudus ,tutegemee BOMB kwa David Ornstein muda wowote
Maana Chelsea it's like kahamishia nguvu kwa Olise
Saka ni level nyingine aiseeeNimemuona Kwa YouTube videos tu ila Kwa kweli sioni akimfikia Saka.
Kama unafatilia vzr hili sakata , ni siku ya 2 au 3 mchezaji anasita kumalizana personal term na Brighton, na kwenye sajili ,hakunaga kitu rahis Kama personal termLakini hakuna ofa yoyote kwenda kwa Ajax ya kumuhusu Kudus, hapo Brighton wapo miles kuliko sisi, tushishangae kwa taarifa ya deal done kwenda Brighton.
Attitude nzuriAaron Ramsdale kuhusu ushindani wa nafasi ya GK:
“Uje ! Unajua, hakuna kitu kinachokuja kirahisi kwenye soka.
Nimefanya kwa watu wengine wakati nimehamia vilabu vingine, kwa hivyo sitafikiria kuwa haitatokea kwangu pia
[@itvfootball]
Hapa ndipo tunamuhitaji sana KUDUS kama yeye anavyotuhitaji.Mi navyoona tunahitaji RW tu then tuko tyri kucheza michuano yte inayokuja...Backline tuna option ya kutosha...viungo wapo...RW wa uhakika ni Saka..so tunahitaji back up yake
Fact. Kama KUDUS atakaza na kuonyesha he only wants Arsenal nadhani kuna jambo litatokea.Kudus it's like kaikataa Brighton ,japo Brighton na Ajax wamekubalina Bei ,
Lolote linaweza kutokea maana Edu na Arteta wanataka mchezaji awe committed kuichezea Arsenal kabla hawajaingia mazima kumsajili aoneshe nia kweli anapenda kuja Arsenal
Tumeona kwa Timber ,Rice ,Kai ,na Sasa Raya
Spurs walikataliwa £35-40m
Lakin sababu Raya ameonesha Nia kweli ya kuja , dau limeshuka Hadi £28-30m
So Kama kweli walifanya juhudi za dhati kwa kudus ,tutegemee BOMB kwa David Ornstein muda wowote
Maana Chelsea it's like kahamishia nguvu kwa Olise
Kabla ya kuhangaika na RCB mi nataka tumlete KUDUS Kwanza.Yah maana anacheza RB na LB , lakin nafas yake kabisa ni RCB
Tomiyasu the same anacheza nafas zote
Ila nahisi KT akiondoka huenda tukaongeza beki Tena , Arteta bado naona anahitaji a natural RCB quality ,