Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unamtisha Flano na Genge lake sasa
Si wamemleta unfit Hojlund aje kutuchachafya kwny ligi Sasa wameshapigwa...dogo ni pancha tyri...na wasijichanganye wakamuanzisha kwny gemu yetu na wao maana watamtoa na machela uwanjani akiwa kwny mashine ya kupumulia....wanasajili vilema halafu wanakuja kutupigia kelele hmu
 
Kwa taarifa za ndan kabisa nilizozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ni hivi, Arteta amepanga kuwachezesha Raya na Ramsdale kwa pamoja.

Formation itakuwa 2-3-3-3. Golini Raya kushoto, Rambo kulia. Raya atakuwa anasaidiana na mabeki na kina Party Party KUOVALODI midfield area.

Hapo ball possession sisi 97% wao 3%.
 
Oya
 
Mimi huwa nasema wanadai na chuki , Yule dogo alifukuza had wakala ,akajiunga na wakala wa 7hag , taarifa zimetoka Leo kafeli vipimo ila ataendelea kucheza kwa tahadhari ,

Huwa namwambia Flano kocha wake anafanya sajili za kitapeli
 

 
Mimi huwa nasema wanadai na chuki , Yule dogo alifukuza had wakala ,akajiunga na wakala wa 7hag , taarifa zimetoka Leo kafeli vipimo ila ataendelea kucheza kwa tahadhari ,

Huwa namwambia Flano kocha wake anafanya sajili za kitapeli
10hag yupo on mission to destroy nyumbu gang
 
|| Real Sociedad and Arsenal are already in talks to acquire Kieran Tierney through a loan with a purchase option, a method preferred by the two clubs


[Via - @MatteMoretto / @Relevo-Tier 1
 
Yaan Arteta anatafuta uchonganishi aisee

Ila naamini Raya kaja kaahidiwa nafasi


Lazima atakuwa kaambiwa atadaka UCL na FA ,


EPL amuachie Ramsdale
Ukitrace back utagundua kabla ya kumsajili Rambo, tulimtaka sana Raya by then ila tukakaziwa ikashindikana. That means, arteta anamkubali zaidi Raya over Rambo na last season performance inaamua pia.
 
|| Real Sociedad and Arsenal are already in talks to acquire Kieran Tierney through a loan with a purchase option, a method preferred by the two clubs


[Via - @MatteMoretto / @Relevo-Tier 1
Waweke clause ya obligation to buy akimaliza mkopo wake....kiukweli kabisa kwa Sasa yy ni chaguo la nne kwny nafasi yake...Zinny...Kiwior...sometimes Timber...Tomiyasu
 
Ukitrace back utagundua kabla ya kumsajili Rambo, tulimtaka sana Raya by then ila tukakaziwa ikashindikana. That means, arteta anamkubali zaidi Raya over Rambo na last season performance inaamua pia.
Nakumbuka ,Arteta alimtaka Sana Raya ,

Sajili zake za mwanzo karibu zote ni Chaguo la 2 ,

Tuliwakosa kina Locateli , Vlahovic, n.k
 
Waweke clause ya obligation to buy akimaliza mkopo wake....kiukweli kabisa kwa Sasa yy ni chaguo la nne kwny nafasi yake...Zinny...Kiwior...sometimes Timber...Tomiyasu
Absolutely true
Kiukwel Tierney sio mnyumbulikaji, ku-integrate pale tunavyo overload bado hayupo vizuri
 
Nakumbuka ,Arteta alimtaka Sana Raya ,

Sajili zake za mwanzo karibu zote ni Chaguo la 2 ,

Tuliwakosa kina Locateli , Vlahovic, n.k
Uzuri wa Edu na Mikel always wana plan B ya kila usajili, though msimu huu tumefanikiwa kusajili plan A zetu zote tulizozitaka na kuonyesha zipo tayari kuja kwetu.

Nadhani hata Ishu ya KUDUS kuchelewa baina ya Ajax na Brighton sababu itakua ni sisi, kama kweli tunahitaji ku strengthen our RW and RCM-Kudus is real deal.
 
Ivi kudus anamzidi star boy?
Work rate zao zinafanana na hazijapishana sana, hivyo anakuja mtu sahihi wa kumpa a real taste ya kugombania namba even though Starboy Saka ataanza.

Pia kuna zile game ambazo Saka anatakiwa apumzike kwaajili ya game fulani na wakati huohuo tunatakiwa kuwa na mtu atakayetoa same energy and impact to the team, and that's where KUDUS is coming from and tick all the boxes.
 
Bora tomiyasu kuliko huyo Tierney
Kwa sasa na performance aliyoonyesha Mbao kwenye hii pre season, hatuna wasiwasi wote hata kama Tierney akiondoka saivi.
Ukuta upo vizuri na options za kutosha labda kama kutakua na uhitaji tena wa CB na CF nadhani januari itakua wakati sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…