Kama liverpool wataendelea kujaza mipira mirefu kwenye box yenu kama hivyo, Carrol atawapa shida....vingenevyo sioni kama wanaweza kufanya madhara makubwa labda akiingia Suarez.
Apa Anfield au emirata?
Hivi wee Wacha(1), unapata wapi moyo wa 'kuacha' shughuli zako ukaingia Emirata kuangalia upupu huu wa timu yenu...n hamja gain match fitnes au ndo kiwango kimefika tamat?