Ndio matumizi yenyewe mabaya ninayo kuambia, hapo Wembley kwa timu zinazojilewa wameshakabidhiwa makombe ya Uefa na Europa.Sasa huo Wembley yanachezwa hasa makombe gani Kama sio domestic cups
FA,FA COMMUNITY SHIELD,CARABAO
Yani wanafananisha The gunners ya Tactician wa mpira Mikel Arteta the Masterclass, na Ile ya Mzee Wenger mwishonimwishoniOya unafananisha Arsenal hii ya Asali na maziwa na ile ya miaka mitatu minne iliyopita ?
Unafananisha Arsenal hii iliyomchezea shoga enu mama cita , 1-3-6 ,huku wimbo wa UTATOA HUTOI ukiimbwaView attachment 2711032
Hizi timu zinalia umaskini,zinamtaka balogun kwa less than £45-50m
Wao ukitaka mchezaji wao wakawaida zinataka €100m
Angalia Atalanta , Hojlund mchezaji wakawaida tu , goals 9 mechi 32 , yameuza kwa €85m
Goncalo Ramos , Ligi ureno rank ya 6 , ameuzwa €80m
Ni kweli tulikaa juu kwa mda mrefu na aliyetutoa alibeba makombe matatu makubwa it means alikuwa strong kuliko sisi mentally na kikosi Chao kilikuwa na depth ya kutosha....ndo maana tukatafuta watu kwny maeneo pungufu....kwa misimu sita Man City wamebeba kombe mara Tano Liver alijitutumimua ndo akabeba kombe mara moja pamoja na kuwa na prime ya kina Salah...Mane na firmino....hvyo only Man City is the only team to beat this time around....Sasa unapokuja kuanza kunijazia pumba hmu za kina Newcastle sijui mara Chelkenge nakuona kama hujielewi ndo maana nasema tena na narudia....mlicho achieve mwaka jana ndo mwanzo na mwsho....mchezaji mmojammoja tu mliyenaye tukisema tufanye comparison na wachezaji wengine wa vilabu vikubwa bdo mpo mbali sana kuwafikia....ndo maana nikakuambia fanyeni recruitment nzuri mcheze mzozeane kwa misimu 3 walau....ndo mje Sasa lakini sasahv kuja kushindana na sisi hapa bdo sana....narudia tena level zenu ni kina Brentford
Elewa kwamba tukifika tu hii fainali....Kwa kuwa ni uwanja wetu wa nyumbani, jua tunabeba kombeNdio matumizi yenyewe mabaya ninayo kuambia, hapo Wembley kwa timu zinazojilewa wameshakabidhiwa makombe ya Uefa na Europa.
Na msimu huu 2023/2024 Uefa final inapigwa hapohapo Wembley ambapo nyinyi mnapanajisi kwa vikombe vyenu vya mbuzi na hizo ngao.
Ww ongea yte....ila mi nimeshakueleza...suala la kupambana na sisi halipo...bado watoto wadogo sana nyny...bdo sana....nafasi zenu ni za 8 huko kushuka chiniSawa mkuu mwezi ndo huu umefika tusubiri tuone kumbuka tu pale arsenal hakuna mchezaji aliyemzidi wilson kwa magoli, timu iliyofungwa goli chache ni Newcastle na hata game zake alizocheza na bingwa man city alionyesha kabisa anaweza kupambana nae sio kama wewe unakula vyuma 3 mara vyuma 4 .
Wewe unafikiri ulicho achieve kuwa tittle bottlers utakipata tena ? Kwa hawa kina kai na Nketiah? Msijeanza kutukana tu hapa, kama unajiona wewe ni bora kuliko Newcastle basi sawa.
Elewa kwamba tukifika tu hii fainali....Kwa kuwa ni uwanja wetu wa nyumbani, jua tunabeba kombe
Mkuu umesahau na beki ya Maghalasa a.k.a kichwa cha bataSawa mkuu mwezi ndo huu umefika tusubiri tuone kumbuka tu pale arsenal hakuna mchezaji aliyemzidi wilson kwa magoli, timu iliyofungwa goli chache ni Newcastle na hata game zake alizocheza na bingwa man city alionyesha kabisa anaweza kupambana nae sio kama wewe unakula vyuma 3 mara vyuma 4 .
Wewe unafikiri ulicho achieve kuwa tittle bottlers utakipata tena ? Kwa hawa kina kai na Nketiah? Msijeanza kutukana tu hapa, kama unajiona wewe ni bora kuliko Newcastle basi sawa.
Ashaanza kua deal, kugombewa na vilabu zaid ya viwili sio mbayaBREAKING:
Arsenal have turned down a formal offer from AS Monaco for Folarin Balogun. [@David_Ornstein]
Monaco had an opening verbal proposal for the USMNT international rejected following a pre-season friendly between the clubs last week
Mkuu umesahau na beki ya Maghalasa a.k.a kichwa cha bata
Uefa si ndo tunakutana na hawa hawa kina Barca,Man city,monaco, psg,inter, bayern, asa nani wakututisha hapo kama pep jana tumepishana nae vizuri tu au kuna timu zingine?eti fainali wakati mnatolewa mapema tu kwenye makundi.
Hivi nyie maArsenyau mnafikiria Uefa ni kama Ngao au Fa?
beki akishika mpira tu anatetemeka anakutana na madogo janja kina gordon, garnacho na pellestiri si ndo kabisa itakuwa vituko.
Kuna mwamba hapo juu anakuambia tukifika fainaliyani kushinda hio shilingi 5 anafikiri uefa ni sehemu ya vituko sijuiii yani europa tu kashindwa kufika ndo afike fainali ya uefa.
Ubaya wenu mna mapungufu ya akili,mentality zetu zimegana hata mabadiliko yanayotokea kiuchezaji hamuwezi kuyaona,kimfumo hamuwezi kuyaona, mnazani arsenal ndo ile ile ya kumaliza nafasi ya 8 kwenye msimamo, badilisheni izo mentality na mkubali ukweli uliopo,beki akishika mpira tu anatetemeka anakutana na madogo janja kina gordon, garnacho na pellestiri si ndo kabisa itakuwa vituko.
Kuna mwamba hapo juu anakuambia tukifika fainaliyani kushinda hio shilingi 5 anafikiri uefa ni sehemu ya vituko sijuiii yani europa tu kashindwa kufika ndo afike fainali ya uefa.
Sisi tukisikia tu fainali ni Wembley inatutosha kufika. Na tukifika tu Kila aliye na pumzi anajua kitachotokeaeti fainali wakati mnatolewa mapema tu kwenye makundi.
Hivi nyie maArsenyau mnafikiria Uefa ni kama Ngao au Fa?
Ubaya wenu mna mapungufu ya akili,mentality zetu zimegana hata mabadiliko yanayotokea kiuchezaji hamuwezi kuyaona,kimfumo hamuwezi kuyaona, mnazani arsenal ndo ile ile ya kumaliza nafasi ya 8 kwenye msimamo, badilisheni izo mentality na mkubali ukweli uliopo,
Ivyo viporo mlivyokua mmeviandaa jana kama tungepoteza pasingetosha humu.
Sisi tukisikia tu fainali ni Wembley inatutosha kufika. Na tukifika tu Kila aliye na pumzi anajua kitachotokea
Wazee wakupishana siokwa sporting mlishindwa kupishana ndo mnaweza kumfunga bayern nyinyi au Liverpool au psg kuna first and second leg huko uefa mnaweza game ya kwanza mkapishana vizuriii then game ya pili mkala 4,5 au 6.
Uchezaji gani huu wa kina havertz au Nketiah sio? Timu imebakisha game 10 halafu ipo 8 points ahead inacheza jumapili to j2 lakini ikashindwa kuchukua kombe ndo ije kuchukua kombe saivi kweli?
Malalamiko pekekeni polisihawa wazee wa false hope tuwachukulie tu hivyohivyo, hizi bashasha na hopes zao za mwanzo wa ligi hua zinawafanyaga wanateseka sana inapofika mwisho wa msimu.
Huyo shoga yenu mnayeachaga timu zenu mnaanza kumshangiliasema hawa wanangu wenyewe wazee wa teta ball burudani kwa wote, chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass hua nawakubali kinyama jinsi wanavyokuwaga na maconfidence wakati ligi inavyoanza.