Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpaka dakika ya 60+ ,Pep alikuwa hajapata hata On target

A 4CBc plus Rice naturally ni CB/DM

 
Huyu injury prone Kama ni kweli Bora imekataliwa

| Arsenal make a very big offer to FC Barcelona for Ansu Fati, but he rejected it immediately. He will stay at the club.

@sanantheone
Haiwezi kua kweli.

Huyu Fati wakati anaanza mpira Barca ikaweka release clause 1B

Dogo mwenyewe ni mweupe kimpira sijapata kuona. Kwa alioanza nao sasa hivi wanatia mchango lwenye timu zao
 
Haiwezi kua kweli.

Huyu Fati wakati anaanza mpira Barca ikaweka release clause 1B

Dogo mwenyewe ni mweupe kimpira sijapata kuona. Kwa alioanza nao sasa hivi wanatia mchango lwenye timu zao
Alitabiriwa makubwa Sana

Fabrizio kasema Kuna klabu Zaid ya moja zimemuhitaji, hajazitaja

Habari za Spain ndio wanasema Arsenal wanamuhitaji Kama backup ya Saka


Barca wachezaji wao wote wanawawekea Release clause kubwa toka wafanyiwe uhuni na Neymar ,kipind kile walijua release clause ya €200m ni kubwa Sana haifikiwi
 
Haiwezi kua kweli.

Huyu Fati wakati anaanza mpira Barca ikaweka release clause 1B

Dogo mwenyewe ni mweupe kimpira sijapata kuona. Kwa alioanza nao sasa hivi wanatia mchango lwenye timu zao
Injury prone wakutisha ,mim sijawahi mkubali ,Kuna huyu na Ferran Torres ,

Pale Madrid nasubiri Jude nihakikishe wanachosema watu, namuona very overrated
 
ndugu yangu masingeli mbona unakua mgumu sana kuelewa?
Haya soma mwenyewe hapo uone nani amepewa kombe na nani amekabidhiwa ngao. View attachment 2710890View attachment 2710891
Haya nakupa mkeka weka pesa upate pesa ya bia wiki ijayo

Jamvi la kumkaribisha muhindi.

Man city

Arsenal

Brighton

Westham over 1.5
Everton over 1.5
Newcastle over 1.5
Spurs over 1.5
Manjesta DRAW

Ukichanika huu niulizwe mimi
 
David Raya move to Arsenal is now a done deal just waiting to be announced.

Arsenal will pay a fee of between £25-30 million for the 27-year-old.

[Football Transfers]

footballtransfers.com/en/transfer-ne…
 
|| Beşiktaş have reached an agreement with Nicolas Pépé on financial issues. Deal to be finalised if the player terminates with Arsenal


[Via - @GokmenOzcan].
 
Tena huyo Pep alishangilia sana
goli lilipoingia utadhani ni World Cup final. Clip zipo
 
Liverpool anamjulia sana tu City na anamfunga mara kibao. Kwake halikuwa jambo jipya. Sisi tunamuona City kama kikwazo pekee kwetu kubeba ligi na ametusumbua miaka nenda rudi. Tunachukulia kila tunapomfunga, haswa Kwa style yetu ya uchezaji kama ishara kuwa tunaanza kumkaribia na kummudu. Huu ushindi kwetu ni 'symbolic' zaidi naona
 
Inaonyesha kwenye upigaji wa penalty jana kulikua na makadilio ya sekunde kuanzia 6-7 kudelay kwa wachezaji wa Arsenal baada ya mwamuzi kupuliza filimbi

Uku kwa wachezaji wa Man City ni Sekunde sisizozidi 2

 
Kwa hio kumbe hamshangilii kubeba Ngao, mnachoshangilia ni kudraw na mliMan City?
 
Mimi na bia mbalimbali tena kamari za mikeka ndio kabisaaaa, naonaga tu hio minamba namba lakini sijui hata hua inafanyaje kazi na wala sitaki hata kujua
 
Hapo Pep hakua anashangilia ushindi wa kuchukua Ngao, bali hapo Le professeur Peperoni Guardiola alikua anafurahia goli maridadi kabisa lililofungwa kiustadi na kijana wake Cole Jermaine Palmer.
Wewe jamaa muhuni Sana ,

Haya nakupa hii list ya Sajili za kitapeli kuwa kutokea

Sky sport wanaripoti, Manjesta na Chelsea ndio mnaongoza kwa Sajili za kitapeli episode
 
Wewe jamaa muhuni Sana ,

Haya nakupa hii list ya Sajili za kitapeli kuwa kutokea

Sky sport wanaripoti, Manjesta na Chelsea ndio mnaongoza kwa Sajili za kitapeli episodeView attachment 2710976
Unajua kwa Ulaya Man Utd inajulikana ndio timu tajiri kuliko zote, sasa suala la tajiri kununua bidhaa aliyoipenda kwa bei ya juu sio jambo la kushangaza kwa matajiri wenzake, Ila maskini wa Tandale akisikia Bakhresa kanunua Supermarket fungu mbili za mchicha kwa 50,000/- lazima povu liwe jingi, hio 50,000/- itamuuma na kumsokota roho utafikiri imetoka mfukoni mwake.
Matajiri kupigwa ndio sehemu ya matumizi ya utajiri wake kijana hilo lisikuume sana.
 
Ila kili za mashabiki wa Arsenyo banaaaa
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…