Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wapo but another option ni Trossard not Kai atatuchelewesha
Kai Leo kakosa magoli but sio Big chances ,tuwe wakweli tuondoe negativity

Kwa wachambuzi hata ulaya huko wanamsfia Sana Kai alivyocheza vzr leo, ni humu tu Jf ndio nakuta negativity kuhusu Kai ,

Kacheza kwa usahihi Sana false 9 , hasa kwenye ku press,

Aongeze ball stricking yake tu

Ma CF wachache mkuu, sio kwamba manjesta wamependa kutoa €85m kwa Hojlund mwenye goli 9 au PSG kutoa €80m kwa Goncalo mwenye goli 19 Ligi ya 6 ulaya
 
Acha masihara Kai wa Chelsea na wa leo ni the same person imagine fans wa Chelsea hawakulalamika tena kwa rival wao Arsenal hatujiulizi tu?
Mkuu yaan reference yako kwa Kai ni mashabiki wa Chelsea kulalamika?

Seriously??


Mfumo wa Chelsea umewakataa wachezaji wangapi last season?

Cha kushangaza Kai ndiye alikuwa best player wao
 
Ana depression asikusumbue...akicheki pale nyuma ana Gomez na Matip kwakwli anachanganyikiwa....hvyo kuropoka ni kawaida kwqke
Ni vizuri FIFA wangepiga marufuku akili kisoda kama hizi kuchangia mada za mpira, huu ndio uhuru wa maoni kutema pumba unavyojisikia.
 
Kadri siku zinavyoenda zinazidi thibitisha kutomuachia Partey ulikua uamuzi sahihi zaidi
Mimi nilijua zilikuwa porojo tu Kama zile za Mwaka Jana za Xhaka had Mourinho akatuma ofa

Arteta sio mjinga amuachie Partey kirahisi

Tena na wasiwasi huenda Rice hajasajiliwa Kama DM , amesajiliwa wacheze na Partey kuimarisha kiungo kiwe imara
 
All-time most Community Shield trophies:

◎ 21 - Man Utd
◉ 17 - Arsenal
◎ 16 - Liverpool
◎ 9 - Everton
◎ 7 - Spurs
◎ 6 - Man City
◎ 4 - Chelsea, Wolves

The Gunners move outright 2nd.
 
Niwapongeze arsenali kwa kutwaa FA community shield ni mwanzo mzuri kwenu
.

Kwa leo wachezaji waliyonikosha ni.

1. Timba hapa mmelapa beki mahiri kweli kweli
2. Trossard huyu ni winger kamili. Dogo yupo vizuri kuliko Matinely
3. Partey huyu jini mkata umeme yupo vizuri muombe asipate majeraha msimu huu. Partey ndiyo atasababisha muwe title contenders.
 
Mimi nilijua zilikuwa porojo tu Kama zile za Mwaka Jana za Xhaka had Mourinho akatuma ofa

Arteta sio mjinga amuachie Partey kirahisi

Tena na wasiwasi huenda Rice hajasajiliwa Kama DM , amesajiliwa wacheze na Partey kuimarisha kiungo kiwe imara
Double pivotal. Playing with two defensive midfielders.
 
Halafu unasikia kuna wajinga kama kina Juve wanajileta kimbelembele na hela zao za mbuzi kumtaka Partey....hyu hauzwi kwa pesa yyte...wapite kushoto....kama Wana shida tuwape Pepe
 
Naomba kufahamishwa kw nini dk ziliongezwa 8 na mchezo haukusimama hata mara moja, na halafu mbona game limeenda dk. 100+
Yan saiv hata ufanye sub mchezaj atoke anatembea au anajivuta chini Refa hata haangaiki na ww.. Mtakutana na furushi la dkk baada ya zile 90 za kawaida.

Leo porojo zinazopigwa jukwaa ili na wana Gunners ni unmatched....unaweza sema hii team kwny ligi hii itakua ni moto wa kuotea mbl.

Hongeren wazee wa kupress kwa juu.. Lkn kitendo hiki mlichokifny leo mtakuja kukijutia sana ligi ikianza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…