Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndo hapo tunaposema ukizidiwa huna haja ya kushindana possession.

Chukua mpira nenda nao mbele.

Sisi City katuzidi hatuna haja ya kushindana nao possession. Chukua mpira nenda nao mbele
 
Partey, rice, odegard
Labda tuamke vibaya au game itukatae pamoja na visa vya marefa

Mbavu timber, mbavu white

Wings; saka na martinel

Una mkemia mkuu trossad, hao wajinga wajipange sana
Huu msimu tutaoneshana makali

Kwa timu hiyo halafu tukae nyuma tuvizie kaunta ,ah wapi ni toe to toe
 
Huu msimu tutaoneshana makali

Kwa timu hiyo halafu tukae nyuma tuvizie kaunta ,ah wapi ni toe to toe
Msimu uliopita majerui dakika za mwishoni

Msimu huu wote wamerudi wakiwa vyema na usajiri wa kishindo

Maji wataita mma
 
Ukweli unaouma, wamepiga kwenye mshono
 
Msimu uliopita majerui dakika za mwishoni

Msimu huu wote wamerudi wakiwa vyema na usajiri wa kishindo

Maji wataita mma
Mambo yakupaki Basi aachiwe nyumbu ya Dutch David Moyes Erik 7 hag
 
Mwanangu Labyrinth 84 unapotea sana humu mkuu, mimi hua nazikubali sana nondo zako na zile evidence unazowapeaga humu hawa Kondoo, wanapokosa hoja ya kukujibu wanakua wakali balaa.
Hawa wahuni hawatakiwi kupumzishwa humu inatakiwa kila baada ya masaa mawili wakumbushwe kua wao ni mid table team.
 
𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: 𝐃𝐀𝐕𝐈𝐃 𝐑𝐀𝐘𝐀:

David Raya is joining Arsenal!


Within our continued research of the current transfer window.

@PurplePanel confirms that Arsenal and Brentford have reached an agreement over the transfer of David Raya.

Understand that the fee will be around the region of £30M including add–ons.

As confirmed, Raya had a preference for joining Arsenal over Bayern, as the player wants to stay in the vicinity of London.

Personal terms have already been agreed upon.

Checkmate


#AFC
 
Mwaka huu kazi unayo

Mamluki wanangoja tufungwe waje, Tukishinda wanalala mbele

Mapema Leo mshaanza kumshangilia bwana enu city , ikifika January timu zenu hoi , mnahamia city ,hamna misimamo kabisa
 
Arsenal leo mjikaze. Kataeni utumwa
Tulikuwa tunajenga timu , Mancity ni kibonde wetu Kama Chelsea tu ,alitusumbua Sana kipind Cha Mourinho, mwisho karudi kuwa mteja muaminifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…