Arsenal (The Gunners) | Special Thread

DM tuna watu watatu Partey , Jorginho na Rice

LCM tuna Trosaard ,Smith ,Kai na Rice tunapotaka kuwa wagumu Zaid

Kwasasa hatuhitaji DM , Ngumu kuongeza DM atasugua bench ,huwez muweka nje Partey,huwez weka bench £105m


Now ni GK, RW nasikia labda na RCB ,
 
Safi....ukilialia watu wanachukua....Inter na Juve wanajifanya wanaijua hela sana
Wanhufanya wao ni matapeli Sana , Balogun angekuwa wao ,na Arsenal tunamtaka wagetuuzia €80-90m

Waliwauzia Chelsea lukaku kwa £97m

Mwaka mmoja baadae wakamuhitaji lukaku hawataki kutoka €35m

Walimpata Onana Bure , wamewakazia manjesta bila €55-60m hawauzi

Hakuna timu kichefuchefu kufanya nao biashara Kama za Italy ,
 
Wana matatizo ya kiuchumi sasahv hasa Juve baada ya mabalaa yalowakuta kwhyo hata 40 kwao ni nyng sana
 
Sijui Kama Ina ukweli ,chanzo ni


Standard sport


Arsenal remain locked in talks over David Raya while looking to offload some deadwood, and a surprise move for Moises Caicedo is on their radar.
 
Even 40m euros may not be enough for Arsenal to sell Partey. Club already turned down Saudi clubs offering 25-30m euros. Arsenal happy with the player and will need big money for them to consider selling

(@FabrizioRomano on YouTube)
 
Sijui Kama Ina ukweli ,chanzo ni


Standard sport


Arsenal remain locked in talks over David Raya while looking to offload some deadwood, and a surprise move for Moises Caicedo is on their radar.
With £100 million on his head ni ngumu sana....Chelsea watamchukua lakini nahisi kwa £90 million plus add ons maana wao ndo wanamuhitaji sana na kibunda wanacho ila natamani sana na sisi tuingilie tumpandishe thamani tajiri miluzi atoboke
 
bro joginho unamuhesabia kama ni DM
 
Hivi huyu Scamacca asingetufaa kwel
 
"Decline rice.
Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.

Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS."


Mkuu toobiter kwanza nikiri kabisa kua wewe miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal ambao hua nawakubali sana wanapochambua mpira humu bila ya kuweka mbele ushabiki wa timu, hongera sana kwa hilo.
Ila suala la kupigwa kwenu kwenye usajili wa Decline Rice hilo liko wazi kwa kila shabiki wa Arsenal ila kinachofanyika ni kupakapaka rangi ionekane ni sawa.
Kuhusu suala la kujituma kwa roho za kiingereza ni kujipa matumaini ya bure tu, hayo mambo yaliishaga kwenye kizazi cha kina Gerrard, Lampard, Terry na Rooney.
Ingekua ni hivyo tungeiona hio roho ya upambanaji kwa Le Captain Harry Maguire
tokea kufariki kwa Malkia Elizabeth waingereza ni kama wameamua kwa pamoja kujikatia tamaa.
 
Mkuu Maguire mmemuharibia nyie kiwango chake usitake kumsingizia..nyie ndo mmem flopisha kwa kumpa presha na price tag yake...hlafu kile kilichopo old Trafford pale ni kikundi cha wakimbiaji sio wacheza mpira ulitegemea yy acheze mpira gani...Captain fantastic Maguire akipata timu nzuri inayotandaza soka mtaona ubora wake
 
Uzuri wa Asenyo mbele ya Man Utd ni kama binti kigori msumbufu yule wa sitaki nataka, ila unapoanza kumpitishia ulimi taratibu kwa shingo yake, anaanza kulegea na kichwa yake mwenyewe anailekelza kibla.
Hivi kwani sisi na nyinyi lini jamani?
Mpaka mechi ya 4 mbona mbali sana kwani hatuwezi kuomba ratiba ibadilishwe tukutane kwenye mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa Epl?
 
Ongea nao bodi ya ligi wabadilishe tuanze mechi ya kwanza na nyny...
 
Hahaaa mkuu Flano
mimi nisiwe muongo, bado sijawahi kuamini kama le grand captain fantastic super maguire ana ubaya huo ambao man unauona.kwangu mimi nadhan naguire akikaa nyuma ya STRONG MID anaweza akakushangaza.
Utangundua recently baada ya kuboresha performance ya mid taratibu unaona the better version of maguire.
DECLINE RICE.tumepigwa?.kwangu mimi ili niseme ndiyo au hapana nahitaji kumpa muda angalau miez 8 mpaka kumi.

Kuna mtu atasema 105 unampa ten months wakati trossard aliingia na kudeliver kwa low price tu.kumbuka RICE anaingia kwenye timu tofauti tangu aanze carrier yake kama pro player.atakutana na changamoto zifuatazo

Abnormal training intesity.amekutana na training ya juu katika pillars mbalimbali tofauti na alipotoka.unaona hadi amepata maumivu kidogo.

Fluidity na pace tofauti katika mechi. Jamaa ametoka timu ambayo ni defensive minded na counter based.sasa arsenal ni possession na transitional based.lazima ateseke kidogo.maana kila muda watu wako kwenye mwendo

New coaching.jamaa unamsikia anasema unaweza dhani uanjua mpira halafu ghafla unakutana na makocha kama arteta na unagundua hujui kitu.hii inamaanisha nini?.Jamaa anaanza upya.

Mpe muda decline rice na mpe watu wa maana maguire you will notice the difference
 
Pep Guardiola on Declan Rice:

“Arsenal bought an incredible, incredible player.”

(Source: @standardsport)
 
Mid hiyohiyo unayoiona ni weak lakini Martinez amekuja na kutushangaza.
Mimi ninachopinga ni ile roho ya kiingereza ya upambanaji sasa hivi haipo tena mkuu.
Ukitegemea usajili mchezaji wa kiingereza kwa kujiaminisha tu kua waingereza ni wapambanaji inakula kwako mazima.
Rice kwa sisi tusiojua mpira tutampa hata msimu mzima wa kumtathmini lakini hio haiondoi ukweli kua kwa £105m hakuna mchezaji yoyote wa kiingereza kwa sasa mwenye kustahili hio thamani.
 
Pep Guardiola on Declan Rice:

“Arsenal bought an incredible, incredible player.”

(Source: @standardsport)
Pep sio mara yake ya kwanza au ya pili kuwachezea mind games.
Wewe chekelea maneno ya Pep wakati yeye pia akichekelea kuwaingiza chaka.
Pep uhuni ameanza tokea miaka ya 1980 huko kwenye kijiji cha Santpedor kwenye wilaya ya Manresa in northeastern Spain.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…