mm siongelei ushabikiHio ni michezo ya watu wenye akili mingi, ilianza kuwepo tokea kipindi cha vita ya kwanza ya dunia.
Pep kwa hii miakili aliyonayo ukiangalia na akili za competitors wake kama kina Arteta unaona kabisa ataendelea kudominate ligi kwa miaka mingi sana mpaka pale atakapoamua mwenyewe kua sasa inatosha.
Ndio maana mkombozi 10hag akaamua kwa hiyari yake kuja Uingereza kumaliza utawala wa Pep kwenye Premier League.
Tunapowaambiaga kua Jasusi mbobezi 10Hag ni mtetezi wa wanyonge mue mnaelewa
Sasa wewe kwa akili ya kawaida kabisa unaona Mchele uliovunjikavunjika (Decline Rice) una thamani ya £105m?mm siongelei ushabiki
Trossad mkemia mkuuReiss Nelson karejea mazoezini namuona kwa mbali View attachment 2708363
Hivi kwa nini pep aliwauzia zin na jesus, akagoma kuwapa Gundo, Ni kama vile alijua kabisa ni wagonjwa waende tu.Jesus aachane na madaktari wa Arsenal. Akawatafute wale madaktari wa Cazorla.
Cazorla walimzuga zuga na issue ya bacterial infection kwenye mguu na hawakugundua ni bacterial issue. Akaenda Spain akapona na akarudi Villarreal akacheza mpira tena.
Wewe ni mropokaji kupindukia ,Gundo alikuwa injury prone wakutupwa had alipo settle ndio akawa sawa ,the same KDBHivi kwa nini pep aliwauzia zin na jesus, akagoma kuwapa Gundo, Ni kama vile alijua kabisa ni wagonjwa waende tu.
Huu nao si upigaji huu?
Rice inaonesha mapema tu kasha handle price tag yakeDecline rice.
Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini
Liverpool wana hernderson na klop anapambana mara kadhaa kumbakisha babu milner?
Chelsea bora ilikuwa na Terry na lampard
Man city imemleta jack glealish,stones na sasa kuna foden.hawa wote technically sio wachezaji wa guardiola.
Hao wote wana sifa moja inayowaunganisha,ni waingereza.
Waingereza wanatabia ya upambanaji hasa bila kujali wanakipaji au hawana ila watapambana kupata wanachotaka.
Mwingereza anaweza asiwe bora ila akaamini yeye ni bora kuliko wewe na akakushinda.
Waingereza wanaamini kwenye hard working kuliko kipaji.they give it all to preserve their pride.na kwa timu inayohitaji kupambania mataji hii akili na tabia ni muhimu saana.guardiola aliliona akaleta waingereza and it paid.
Decline rice.mwangalie body language yake na umri wake haviendani.ana seniority body language.anaamini anastahili kilicho bora na anaamini anacho kilicho bora cha kuoffer.
Decline rice.Angalia statement zake haamini kama kuna team bora kuliko aliyopo,hakuna kocha bora kuliko anayemfundisha na kikosi chenye wachezaji bora kuliko wanaomzunguka kwa sasa. Hii inaondoa inferior feelings na inaimarisha self esteem yake.Mbishi hasa.
Check anavyohandle media na expectations zinazotokana na price tag yake, Its like I don't care.Price tag imemmaliza pepe,inamtesa mudrick na inamyoosha nunez pale Liverpool .
Mwangalie glealish,hata hakumbuki alinunuliwa kiasi gani.its none of his business anahisi alistahili.Rice ameonyesha kuhandle presha.
Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS.
Mpeni muda decline rice,sio mech kadhaaa,wiki kadhaa au mwezi.mpeni muda awaaambukize tabia ya ushindi.
Watu wanaongea bila data mkuu...ila mm binafsi naumia sana Zinchenko asipokuwepo kuliko asipokuwepo Jesus....Zinny ana akili nyingi sanaWewe ni mropokaji kupindukia ,Gundo alikuwa injury prone wakutupwa had alipo settle ndio akawa sawa ,the same KDB
Jesus unayemzungumzia kuwa ni injury prone ,data zake hizi hapa hajawahi kuwa injury prone,
Gabriel Jesus Premier League availability last 6 seasons:
17/18: 32/38
18/19: 36/38
19/20: 35/38
20/21: 30/38
21/22: 34/38
22/23: 26/38
He’s NOT injury prone like that. His knee is fine, “clean up” is common.
Upo sahihi ,sawa na Mimi ,yaani ilifika muda Zinny hayupo siangalii mechi huyo ndiye most talented player ,most Gifted player kuliko wengiWatu wanaongea bila data mkuu...ila mm binafsi naumia sana Zinchenko asipokuwepo kuliko asipokuwepo Jesus....Zinny ana akili nyingi sana
Kaama nimekuelewa hiviDecline rice.
Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini
Liverpool wana hernderson na klop anapambana mara kadhaa kumbakisha babu milner?
Chelsea bora ilikuwa na Terry na lampard
Man city imemleta jack glealish,stones na sasa kuna foden.hawa wote technically sio wachezaji wa guardiola.
Hao wote wana sifa moja inayowaunganisha,ni waingereza.
Waingereza wanatabia ya upambanaji hasa bila kujali wanakipaji au hawana ila watapambana kupata wanachotaka.
Mwingereza anaweza asiwe bora ila akaamini yeye ni bora kuliko wewe na akakushinda.
Waingereza wanaamini kwenye hard working kuliko kipaji.they give it all to preserve their pride.na kwa timu inayohitaji kupambania mataji hii akili na tabia ni muhimu saana.guardiola aliliona akaleta waingereza and it paid.
Decline rice.mwangalie body language yake na umri wake haviendani.ana seniority body language.anaamini anastahili kilicho bora na anaamini anacho kilicho bora cha kuoffer.
Decline rice.Angalia statement zake haamini kama kuna team bora kuliko aliyopo,hakuna kocha bora kuliko anayemfundisha na kikosi chenye wachezaji bora kuliko wanaomzunguka kwa sasa. Hii inaondoa inferior feelings na inaimarisha self esteem yake.Mbishi hasa.
Check anavyohandle media na expectations zinazotokana na price tag yake, Its like I don't care.Price tag imemmaliza pepe,inamtesa mudrick na inamyoosha nunez pale Liverpool .
Mwangalie glealish,hata hakumbuki alinunuliwa kiasi gani.its none of his business anahisi alistahili.Rice ameonyesha kuhandle presha.
Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS.
Mpeni muda decline rice,sio mech kadhaaa,wiki kadhaa au mwezi.mpeni muda awaaambukize tabia ya ushindi.