arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Halafu mkuu si ni nyny mlimualika bwana mdgo Timber kuja kuangalia mtanange wenu na Man City fainali ya FA....baada ya kutoka pale bwana mdgo akasema HAPANA siwezi kujiunga na hiki kikundi cha wakimbiaji...chap akabadili mawazo
NBayern Hana uwezo wa kuchukua mchezaji tunayemtaka....sasahv tukienda sokoni ukiona tumetuma ofa ujue imeisha hyo ..unabisha subiri uone hyo Raya ataishia wapi🤣🤣🤣
Tunaweza kwli tukatuma ofa ya kumtaka Magwaya....aje kuwa anasafishasafisha viatu vya wachezaji pale Emirates maana ndo kazi itakayomfaa pale fantastic Captain Magwaya🤣🤣Na vile mnaenda kudominate EPL kwa miaka 10 sasa hivi wachezaji wote Arsenyo ndio timu ya ndoto yao.
Hata Magwaya leo akisikia tetesi kua Asenyo inamtaka ataanza kudai kua Asenyo ndio timu ya ndoto yake