Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ten Hag (title challenge): “I think no one in the Premier League can do that, maybe Arsenal , because for the last 25 years, they won the title only one time. So they can talk about that…”
Baba Ubaya kapewa hela nyng aache visingizio...Klopp ana la kujitetea kwmba tajiri ni mbahili ila kocha wenu Hana cha kulalamika na huu ni msimu WA pili kashazoea ligi
 
Arteta haihitaji kusema atafanya Nini ,alipoishia last season

Usajili anaofanya ni jibu tosha kujua tunaenda kufanya Nini

Dutch David Moyes 7hag ametumia Hadi Sasa £400m anawaza kupigania top 4

Klopp yupo sahihi ,hata usajili wa Lavia unasuasua , owners wake wabahili
 
Baba Ubaya kapewa hela nyng aache visingizio...Klopp ana la kujitetea kwmba tajiri ni mbahili ila kocha wenu Hana cha kulalamika na huu ni msimu WA pili kashazoea ligi
Kama ni hivyo Arteta nae asijifiche kwenye chaka la phase 5, kwa kikosi alicho nacho na muda ambao amedumu kama kocha hapo Arsenyo kuanzia msimu ulioisha ulikua ni sahihi na muafaka kwake kuchukua kombe kuliko misimu mingine yoyote.
Yaani msimu ambao Arsenyo ilikua bora kuliko misimu yoyote kwa miaka zaidi ya 20 ameshindwa kubeba hata kombe la mwanaFA halafu mnakuja kudanganyana hapa.
Msimu wa 2021/2022 ndio walau utasema Aseno ilikua bora maana walau walipata kombe la FA.
Msimu unaofata muambieni kabisa akimaliza bila ya kubebe kombe anatimuliwa.
Hizo fezi zake anazitumia kama ngao ya kujilinda kila anapomaliza ligi mikono mitupu.
 
Huku bongo huu uzi unawezakuta kesho madukani. Hivi Arsenal kwanini wasiweke utaratibu nasisi 3rd world country tukawa tunapata vitu OG kwa bei nafuu nakuchangia Team yetu kukuza uchumi?
Wabongo, wakenya, waganda na wanaijeria si unawajua? Hell, hata wazungu wenyewe si unawajua? Tukipata kitu OG huku Kwa bei nafuu watu watakuwa wananunua huku 3rd world countries na kwenda kuziuza ulaya Kwa faida
 
Wenzio Mpaka Sasa tunasubiri Dj spin Sancho magwaya watuthibitishie kuwa hela azijaenda bure lakini ola karibuni kwenye chama Cha kusubiria.
😂😂😂 Antony Masebene ndiye DJ Spin? 😁😁
 
Unajitahidi kumuwekea Arteta kipara Ili afanane na 7hag. Unapaswa kumuwekea 7hag nywele ili afanane na Arteta maana Arteta ndiye role model wa 7hag
 
Msimu uliopita ni wachache wenye jicho ndio tulisema wazi wazi Arsenal anaenda kupigania ubingwa na tuliweka had range ya points kutoka 69 tulizopata ,ambapo tulipofix matatizo fulan zilikuwa zinaenda had 85


Makanjanja mlisema hata top 6 hatuingii

Msimu huu ndio mnadai tutagombea ubingwa ,

Na sisi tunataka Dutch David Moyes kwa madirisha mawili katumia £400m+ agombee EPL , top 4 ni udhaifu
 
Nimegundua mashabiki wa arsenal tunainjoy sana timu yetu
Ni kweli kabisa mashabiki wa Arsenyau hua mnaenjoy sana timu yenu mnapokua kwenye Pre-season na mechi za mwanzo za ligi, ila pia mashabiki wa Arsenyo ndio hua wanaichukia sana timu yao pale ligi inapoelekea ukingoni.
Zis iz a vividi ekzampo
 
Arsenal play football today whole world is happy


It's just a friendly game not civil war
 
| Mikel Arteta:


“We are now in a period where we play the Emirates Cup and the Community Shield, a period where we need to get some freshness in the legs. We have to find that balance in the next few days before the new Premier League season starts.”

[@arsenal]
 
Ni kweli mwaka jana tulikuwa Bora sana ila kuna watu walikuwa Bora kuliko sisi na huo ndio ukweli....na wale waliokuwa Bora ndo hao unaona walichukua makombe yte makubwa....ila huwezi kumsikia hata siku moja Arteta akilalamika sijui hatukuwa na wachezaji wetu wote kama anavyofanya Baba Ubaya...ligi inaanza wiki chache zijazo kwnn Baba Ubaya aanze kutupa taulo mapema hv na mahela kapewa yte hayo....ikifika mpk mwezi wa tatu hajakaa pale juu mi nawashauri mumtimue maana ni Tapeli tu
 
| Mikel Arteta:



“We are now in a period where we play the Emirates Cup and the Community Shield, a period where we need to get some freshness in the legs. We have to find that balance in the next few days before the new Premier League season starts.”


[@arsenal] #afc
 
Baba ubaya ndio kwanza msimu wake wa pili tokea akbidhiwe timu, wakutimuliwa ni Masterclass in failure maana ameshamaliza fezi zote tayari, hivyo hatutegemei visababu vya uongo uongo vyovyote kutoka kwake msimu huu, mambo ya kutuhadaa kua tumeover archive wakati timu haijabeba kitu chochote mkononi huo ni uhaini msimu huu hatutakubaliana nae.
 
Unachafua jukwaa letu ,manyumbu mkoje lakini
Samahani mkuu lengo sio kuchafua jukwaa, nia ilikua ni kumuhakikishia tu huyo jamaa aliekua anajidai kua mashabiki wa Arsenyau ndio wanaoongoza kuifurahia timu yao, hapo nimemuonyesha vivid examples namna gani mashabiki wa Arsenyo hua wanaichukia timu yao pale ligi inapoelekea tamati, tena inafikia baadhi ya mashabiki wengine hua wanaishiwa mpaka hoja na kuamua kulikimbia jukwaa lao baada ya kuwaaminisha misukule ya humu ndani kua mwisho wa msimu lazima wachukue ndoo.
 
Tunataka Dutch David Moyes alete mataji makubwa kwa kusajili CF wa €85m mwenye goli 9
 
Tunataka Dutch David Moyes alete mataji makubwa kwa kusajili CF wa €85m mwenye goli 9
Habari za kuaminika kutoka England ni kwamba makipa wote wa EPL kasoro Andre Onana wameunda group lao la Whatsapp lengo ni kujadili ni namna gani wanaweza kumzuia Rasmus Hojlund, jamaa anaweza kufunga kwa kutumia kila kiungo kwenye mwili wake,Hojlund aliwahi kupiga penati kwa kichwa.
Kuna tetesi zinazagaa kua makipa wa Epl wanampango wa kufanya mgomo wa kuingia uwanjani ligi ikianza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…