Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Big games zote naenda na Raya, middle team zote naenda na Raya, izo chelsea na wengine washuka daraja naenda na Rams. Hapa nazungumzia kila mmja akiwa kwenye A perfomance yake.Kwahiyo Raya vs Ramsdale yupi ni bora zaidi kwako ambaye if mkiwa nao wote unahisi first 11 ataonekana sana?
Newcastle tukowanacheza madogo janja lakini moto wao si mdogo kuna dogo anaitwa eliot Anderson weka hili jina kichwani , then tukutane hapo August uzuriii wa magpies hata ukitangulia kwa 2 goals bado wanarudiii nadhani this season tutakuwa king of comeback!!!
Tuitane majina ya utani ya kistaarabu.
Mimi natangaza rasmi kuanzia leo man u nitakuwa nawaita kuku wa maziwa
Big games zote naenda na Raya, middle team zote naenda na Raya, izo chelsea na wengine washuka daraja naenda na Rams. Hapa nazungumzia kila mmja akiwa kwenye A perfomance yake.
Ramsdale hayupo kwenye hiyo list hakuna sababu ya kutaja.Nitajie makipa watatu Bora pale epl
Arsenal fans wanategemea Raya asajiliwe kuwa backup GK na wao wanaamini kabisa Raya atakubali hiyo offer!!! 😂😂😂Tuliambiwa ndo kipa mwenye thamani duniani , sasa tetesi za raya tayariii tunaanza kusikia ramsdale atacheza carabao na fa cupila fans wa arsenal mnajua kufurahisha watu
Ramsdale hayupo kwenye hiyo list hakuna sababu ya kutaja.
Mtateseka Sana , Arsenal will add quality player in each positionArsenal fans wanategemea Raya asajiliwe kuwa backup GK na wao wanaamini kabisa Raya atakubali hiyo offer!!!
Raya > Ramsdale.
Wanateseka
Mtateseka sana
Inabidi wajue kipa #1 tunaeWanateseka
Ramsdale kasain juz mkataba wa miaka 4 ,
Kuletwa Raya kwanza ni kuziba nafasi ya Turner
Pili ni kumpush Ramsdale au akae bench aanze Raya
Au wagawane michuano
Ni ukweli tu inatakiwa ukubaliane nao kuna makipa bora zaidi ya Ramsdale kwenye EPL.
Mtateseka sana
Raya ni kipa bora kushinda Ramsdale mkimchukua sioni sababu ya Ramsdale kuanza EPL au UCL.Mtateseka Sana , Arsenal will add quality player in each position
Lazima apiganie namba ,
Nakubali kabisa Raya ni mzuri kuliko Rams ,but akija apiganie namba ,Rams kasain mkataba mrefu juzi tu, lazima ili alinde namba yake afanye vzr ZaidRaya ni kipa bora kushinda Ramsdale mkimchukua sioni sababu ya Ramsdale kuanza EPL au UCL.
Ramsdale ni kipa mzuri ila siyo kwa timu insyotaka kuleta challenge.
Squad depth ni muhimu ila sitaki mumpate Raya, mbaki na Bruce Lee wenu yuleyule.
Naomba Nitajie watano tu mkuuNi ukweli tu inatakiwa ukubaliane nao kuna makipa bora zaidi ya Ramsdale kwenye EPL.
Hii ndiyo top 5 yangu EPL:Naomba Nitajie watano tu mkuu