Embu angalia nani kaanza kutuka kama sio Arsenal mwenzio sio unatetea upumbavu, acha hizo. Sijawah mtukana mtu ila mtu anatokea anakwambia una mambo ya kishoga?!!Huyu jamaa huwa Kuna muda muache ,huwa anakuwa like crazy hivi, Kuna time watu Kama Hawa usiwajibu ,lengo lao huwa habari humu ziwe za matusi, waanze kusema mashabiki wa Arsenal Wana matusi ,n.k
Itategemea na ubora wake msimu huuRambo hawezi kukaa nje kizembe
Uefa, ligi na FA watapigwa rotation za maana
Alafu kumbuka makipa na wao huwa wanaumia
Rambo ni hatari sana akiamua kuuweka uzembe pembeniItategemea na ubora wake msimu huu
Raya kama atakuja kweri , basi Bwan mdogo Ramsdale atakua kwenye real challange.
Raya akija na form yake ya sasa basi lolot laweza kutokea.
Nitajie makipa watatu Bora pale eplNiliwaambia Arsenyani mna wachezaji wakali 4 tu.
Kocha wenu kashtuka anataka kipa mwingine.
Raya hawezi kua back up mkuu
Huu usajili utiki tu, Ramsadale ametu disappoint sana, siku hizi ukiona kapiga long pass ujue ishapotea, hata magoli anayoruhusu ni mepesimepesi tu.Arsenal will bid soon for Raya
(@FabrizioRomano )
Ndugu zetu wa unyumbuni na ukengeni wakiisoma hii watakuja na makasiriko hao, utadhani sisi ndo tumesemaFabrizio Romano
David Raya prefers Arsenal move over Bayern.
Yameisha kikubwa tuepuke lugha za kuudhi na kuleta machafukoEmbu angalia nani kaanza kutuka kama sio Arsenal mwenzio sio unatetea upumbavu, acha hizo. Sijawah mtukana mtu ila mtu anatokea anakwambia una mambo ya kishoga?!!
Mpira ni furaha na kutaniana, sasa kama mtu hawezi kutaniwa ni bora akakaa kimya tu, sio kuanza kusema nina mambo y kishoga. Na wewe unakuja unadandia tu bila kumkanya Arsenal mwenzio
Niliwaambia Arsenyani mna wachezaji wakali 4 tu.
Kocha wenu kashtuka anataka kipa mwingine.
Niliwaambia Arsenyani mna wachezaji wakali 4 tu.
Kocha wenu kashtuka anataka kipa mwingine.
Nilisubili neno lako kaka mkubwaRaya hawezi kua back up mkuu
Najua uwezo wa Raya kuanzia shot stopping had footworkRaya hawezi kua back up mkuu
Timu ndivyo inavyotakiwa kusukwa kaka, inabidi kwenye kila nafasi kati ya mashabiki 10 basi kura zinagawanywa kama ilivyokua na Timber vs White na maeneo mengine sio kukalili team kama ilivyo kwa Newcastle yako vipi kaka mechi yenu mlitoka vipi juzi???Tuliambiwa ndo kipa mwenye thamani duniani , sasa tetesi za raya tayariii tunaanza kusikia ramsdale atacheza carabao na fa cupila fans wa arsenal mnajua kufurahisha watu
Watakuja na makasirikioNdugu zetu wa unyumbuni na ukengeni wakiisoma hii watakuja na makasiriko hao, utadhani sisi ndo tumesema
Kuna watu unapoteza MB kuwajibu aseeTimu ndivyo inavyotakiwa kusukwa kaka, inabidi kwenye kila nafasi kati ya mashabiki 10 basi kura zinagawanywa kama ilivyokua na Timber vs White na maeneo mengine sio kukalili team kama ilivyo kwa Newcastle yako vipi kaka mechi yenu mlitoka vipi juzi???
Tuitane majina ya utani ya kistaarabu.Yameisha kikubwa tuepuke lugha za kuudhi na kuleta machafuko
Timu ndivyo inavyotakiwa kusukwa kaka, inabidi kwenye kila nafasi kati ya mashabiki 10 basi kura zinagawanywa kama ilivyokua na Timber vs White na maeneo mengine sio kukalili team kama ilivyo kwa Newcastle yako vipi kaka mechi yenu mlitoka vipi juzi???
Tuitane majina ya utani ya kistaarabu.
Mimi natangaza rasmi kuanzia leo man u nitakuwa nawaita kuku wa maziwa