Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wajaze wenzio ujinga, hao hao akina mudryk ndio wanakuja kuwatandika. Tena mudryk akiwaweka goli awachokonoe pale pale kwnye kidonda.
 
Msimu wa 3 huu nachukua points 6 au 4

Jenga timu kwanza kocha wako mwenyewe anasema anaona hata top 6 itakuwa ngumu
Mind game, asemea anagombea ubingwa tuanze kumpressurelize, Arteta msimu uliopita ndio alitakiwa kuchukua ubingwa mana hakua na presha, alikua anajificha kwnye kichaka ch kujenga timu. Msimu huu ana presha y kubeba ubingwa, mtakua natandikwa hovyo.

Are888 mkimaliza nafasi 4 za juu, niitwe mbwa jike. Nimekaa palee
 
Kenge mtumie €600m muishie nafasi ya 12 msiwe na presha

Ila Arsenal ya maziwa na asali ndio iwe na presha ?


Mind game kwa kiungo Cha Ogochukwu?
 
Wajaze wenzio ujinga, hao hao akina mudryk ndio wanakuja kuwatandika. Tena mudryk akiwaweka goli awachokonoe pale pale kwnye kidonda.
Rasmus Hojlund amefikia idadi sawa ya magoli ya mudrky wa €100m Mudr goal kwenye Premier League.

Mudrky goals 0
Hujlund goals 0

He joined at 7:15pm today.
 
Tilikukataza kujiita mwajuma

Sasa hivi umeanza kutaka kuitwa mbwa jike!
Kwanini usiitwe tu mbwa?
 
Onana + Mount + Hojlund = £150m. Kisha kuna gaidi inagongwa £105m kwa gunia moja la mchele lenye halijui ball ata Kobbie Mainoo is better


West Ham! You will not see heaven. Ndio maana tunawauzia Maguire na McTominnay ndio ata sisi tukule hio hela


Tunaendelea kununua wakuu, wale mlisema club haina hela bado msubiri Amrabat by next week, Alaba/Disasi na Harry Kane kama deadline signing. Mtatoa ndani sana next season na tuliwaambia mnunue goalkeeper mzuri
TUSILAUMIANE
 
Wajaze wenzio ujinga, hao hao akina mudryk ndio wanakuja kuwatandika. Tena mudryk akiwaweka goli awachokonoe pale pale kwnye kidonda.
Ww level zako ni kina Aston villa...mmeshindwa kutufunga na viungo wa ball kina Kovacic ndo mje kutufunga na hayo ma zombie....sahau
 
Ligi inaanza sio mda mrefu...hyo Jesse Pinkman mlomsajili na haka ka mdoli wanakokaita halaand mdogo sijui mtakuja kuwatukana hmu...halafu safari hii malalamiko ya kocha wenu baba Ubaya sijui mara majeruhi mara suspension zimem cost hatuyataki...mmepewa mda wa kutosha kusajili...malalamiko hatutaki mkianza kugombea nafasi ya sita ya Brentford
 
Hatutegemei kusikia habari za Graza hawatoi hela

Mpaka Sasa mount anaonekana mmeshakula za uso


Nyie ni tushawazoea kupigwa ,


Mnanunua CF kwa €85m hana hata goli 10

Hakika utapeli hautakuja kuisha
 
Premier League referees will add up the time lost on free kicks, goal celebrations and penalties from next season.


Last season, the average playing time was 54 minutes and 49 seconds in a game
 
Huyo mbwa jike nimepanga nimjibu kuanzia mwezi wa 12 tukiwa on top Kama kawaida yetu
 
Premier League referees will add up the time lost on free kicks, goal celebrations and penalties from next season.


Last season, the average playing time was 54 minutes and 49 seconds in a game
Hii itakuwa nzuri sana
 
Ila wakuu wengine uvumilivu wa kishabiki Amna kabisa utadhani ni vita punguzeni u serious mpira sio uadui ni burudani.

Naona mnavuka mipaka sasa wakati mpira ni kutaniana Sasa nyie sio utani ni matusi.
Ukijijua uwezi utani Bora ukaushe tu.
Ni wapumbavu flani walokosa ustaarabu....jitu linakuja kutukana na kuongea mambo ya kudhalilisha watu hmu ndani kwa kofia ya ushabiki...jitu kama hili hata katika maisha ya kawaida linaonekana ni hopeless kabisa...
Ila wakuu wengine uvumilivu wa kishabiki Amna kabisa utadhani ni vita punguzeni u serious mpira sio uadui ni burudani.

Naona mnavuka mipaka sasa wakati mpira ni kutaniana Sasa nyie sio utani ni matusi.
Ukijijua uwezi utani Bora ukaushe tu.
Ni wapumbani Fulani walokosa ustaarabu na hekima...inaonekana hata kwny maisha ya kawaida ni hopeless kabisa hii mijitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…